Eyeson Property
Senior Member
- Jan 23, 2018
- 182
- 34
Kwa Ujenzi wa Nyumba
Ujenzi wa Godown
Ujenzi wa Maghorofa
Kwa Kutumia
1.Tofali za Aina Mbalimbali Kuanzia Chipping na Kawaida
Kwa Ujenzi wa Nyumba Kuanzia Tzs Million 25
Unakaribishwa Kwa Ujenzi Safi
Kwa Mafundi Waliobobea na Wataalamu wa Hali ya Juu Karibu Kwenye Kampuni Yetu Kwa Ujenzi Bora.
Tuna Project Nyingi za Ujenzi Katika Mikoa ya DODOMA,DSM na KIGOMA
Pia Tutatengeza Ramani na Kuandaa BOQ ama Makadirio ya Ujenzi wako Kwa Gharama Nafuu Kabisa
Tupigie kwa
0715-908698(Call/Whatsaap)
0759-538688(_Call)
OMARI RAJABU
ADMINSTRATION OFFICE
EYESONEPROPERTY TANZANIA LTD
DAR ES SALAAM TANZANIA
Tunajenga Mkoa Wowote
Tupitie kwenye Tovuti yetu hapo Chini
follow a link to this website:Eyeson - properties and real estate
Hii picha nayozungumzia sio yako, na wala sio ya kampuni yenu... Au unataka nikutumie floor na elevations zote?Ni Picha za Kampuni na sio ya Mtu
Nyumba Peke yake ni Milion 65-70 na Fensi ya Nyumba Makadirio ni Milion 25 so Kwa Maelezo zaidi na Vipimo vya Plots yako na Aina ya Nyumba Unayojenga Karibu Ofisini
Kwa makadirio ya kawaida ni million 40 ila bei inaweza kuongezeka au kupungua kutokana na materials tutakayo yatumia karibu sana kiongozi .
Kuanzia Tsh Milion 150 so Tuwasiliane Kwa 0715908698kitu kama iko ghorofa 1 inaweza kukust kama bei gan
Kwa Aina ya Nyumba Ulioonesha Ndio Bei yake so Kwa Uhakika zaidi Njoo Ofisini na Ramani yako Tufanye Estimate ya Kisayansi Kwa Uhakika zaidi Maana Makadirio Halisi ni Muhimu Yafanyike On Papers ...Hivyo Tuwasiliane Kwa 0715-908698(WhatsApp/Call) au 0759-538688(Call Only)View attachment 700089
Mkuu! Mbona bei ipo juu sana!!! Nyumba kama hiyo nlokutumia iwe ya viumba vitatu ni 70 milioni? + fensi 95 milioni mkuu!!
Tatizo lako liko Wapi ???? MkuuHii picha nayozungumzia sio yako, na wala sio ya kampuni yenu... Au unataka nikutumie floor na elevations zote?
Tatizo langu ni kwamba, unatumia kazi YANGU kutangaza biashara yako bila idhini yangu...Tatizo lako liko Wapi ???? Mkuu
Kazi yako kivipiTatizo langu ni kwamba, unatumia kazi YANGU kutangaza biashara yako bila idhini yangu...
Tangu mwanzo najaribu kukwepesha Kusema ni kazi yangu nikijua utaelewa( kukutunzia heshima), kumbe ndo kwaaanza unazidi kukaza..
NADHANI UMEELEWA MKUU..
Kwa Aina ya Nyumba Ulioonesha Ndio Bei yake so Kwa Uhakika zaidi Njoo Ofisini na Ramani yako Tufanye Estimate ya Kisayansi Kwa Uhakika zaidi Maana Makadirio Halisi ni Muhimu Yafanyike On Papers ...Hivyo Tuwasiliane Kwa 0715-908698(WhatsApp/Call) au 0759-538688(Call Only)
2 bilion mkuu? Dah!Naweza kukupa full ramani ya nyumba ya vyumba 2 kimoja Master, sebule, public toilet na jiko kwa hela ya mboga kwasababu niliwahi kujenga kama hiyo itakufaa Sana
Tuwasiliane Kwa 0715-908698(call/WhatsApp) au 0759-538688Shukran mkuu!
Usawa huu unaongelea mil. 45?Unatoa room 3 na Makadirio ni kwenye Milion 45 na Kuendelea kutokana na Aina ya vifaa unavyotumia
' uNa inategemea hyo nyumba ni ya high quality yan kisasa zaidi au ndo simple kama ni high quality jua gharama hzo hazitoshi kuikamilisha nyumba hyo ya vyumba vitano
Tuwasiliane Kwa 0715-908698(call/WhatsApp) au 0759-538688