Wakuu... ninaomba kupata makisio ya GAHARAMA ZA UFUNDI wa nyumba ninayotarajia kujenga... Lengo ni ili niweze kujua namna ya kujiandaa kwa kumlipa fundi kwa kujua makisio ya gharama kwa uzoefu wenu yanavyokuwa.
Nyumba ni contemporary itakuwa maeneo ya Dar.
Karibuni wakuu mfunguke.
Nyumba ni contemporary itakuwa maeneo ya Dar.
- 3 bedrooms (1 master + 2 za kawaida)
- public toilet 1
- sitting room
- jiko
- store
- laundry ndogo
- kaofisi kadogo
Karibuni wakuu mfunguke.