Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

Hii sio nyumba ni bomu litakalowadondokea watu
Ukweli ni mchungu mkuu. Lkn huo ndio ukweli. Ulitaka nitetee kitu ambacho hakina uimara?
Nimesema 30 mil inatosha kujenga banda over
Hivi sio wewe una matangazo humu kuwa UNAWAJENGEA WATU NYUMBA KWA 32M??!!! Kumbe ulikuwa unamaanisha unawajengea MABANDA!!

kwa mtu ambae anafanya biashara ya nyumba kama wewe ni busara sana ukajiepusha na comments kama hizi. Kwasababu hata wewe vile vile si kila mtu ana-appreciate unachokifanya.
 
Nakubaliana na SMU huo mjumba balaa, yaani mkubwa kweli kweli.

Ukijenga mjumba wa size hiyo jee watoto wako wakishaondoka wamemaliza shule utaufanya nini? Vile vile ni kujihakikishia idadi kubwa ya wageni kwa muda wote kwani kuna nafasi ya kutosha.

Maintenance costs ndio hazisemeki, unaweza kufaidi for the first four to five years, baadae ndio harakati za maintenance zinapoanza hapo.

Halafu TRA watakapokupiga hiyo property tax ndio utakoma ubishi.

Majumba ya aina hiyo yalikuwa yanajengwa mnamo miaka ya tisini sio sasa hivi.
Hivi mkuu nina plan ya nyumba ya vyumba vi4. Ina sqm 167. Hii ni kubwa sana au kawaida?
 
Hivi mkuu nina plan ya nyumba ya vyumba vi4. Ina sqm 167. Hii ni kubwa sana au kawaida?
Sina utaalamu lakini vyumba vinne ni std: kimoja wazazi, ke, me na mgeni (wa muda).

Ama sqm inategemea vyumba vyako unapenda vya ukubwa gani. Na hiyo yako ni kama 16 x 10 ambayo ni wastani
 
Kwa Ujenzi wa Nyumba

Ujenzi wa Godown

Ujenzi wa Maghorofa

Kwa Kutumia
1.Interlock Block
2.Tofali za Aina Mbalimbali(Chipping )

Kwa Ujenzi wa Nyumba Hadi Tzs Million 25

Unakaribishwa Kwa Ujenzi Safi

Kwa Mafundi Waliobobea na Wataalamu wa Hali ya Juu Karibu Kwenye Kampuni Yetu Kwa Ujenzi Bora.

Tuna Project Nyingi za Ujenzi Katika Mikoa ya DODOMA,DSM na KIGOMA

Pia Tutatengeza Ramani na Kuandaa BOQ ama Makadirio ya Ujenzi wako Kwa Gharama Nafuu Kabisa

Tupigie kwa

0715-908698(Call/Whatsaap)
0759-538688(_Call)

OMARI RAJABU
ADMINSTRATION OFFICE
EYESONEPROPERTY TANZANIA LTD

DAR ES SALAAM TANZANIA

Tunajenga Mkoa Wowote

00d6b559173ab189429dec01de190a4c.jpg
489131ad883a201f73eaf6bf3d8885b6.jpg
Je mnachimba mashimo kwa ajili ya kutekea maji? Tank la lita 40,000/= linaweza kucost shilling ngapi? La kuchimbia ardhini..
 
Back
Top Bottom