Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

Kwa Ujenzi wa Nyumba

Ujenzi wa Godown

Ujenzi wa Maghorofa
664c674ebad404d7025bf3d63a0f7615.jpg
8dc0c8931c15bd6a0f3ad01f48092fa6.jpg

Kwa Kutumia
1.Tofali za Aina Mbalimbali Kuanzia Chipping na Kawaida

Kwa Ujenzi wa Nyumba Kuanzia Tzs Million 25

Unakaribishwa Kwa Ujenzi Safi

Kwa Mafundi Waliobobea na Wataalamu wa Hali ya Juu Karibu Kwenye Kampuni Yetu Kwa Ujenzi Bora.

Tuna Project Nyingi za Ujenzi Katika Mikoa ya DODOMA,DSM na KIGOMA

Pia Tutatengeza Ramani na Kuandaa BOQ ama Makadirio ya Ujenzi wako Kwa Gharama Nafuu Kabisa

Tupigie kwa

0715-908698(Call/Whatsaap)
0759-538688(_Call)

OMARI RAJABU
ADMINSTRATION OFFICE
EYESONEPROPERTY TANZANIA LTD

DAR ES SALAAM TANZANIA

Tunajenga Mkoa Wowote

Tupitie kwenye Tovuti yetu hapo Chini

follow a link to this website:
b9b07429e1fbf0095ec0fa034cd41ce9.jpg
7d5fab3e4a857568fc6932628cca1fa9.jpg
be7a02378e558c231a507199cd30b0b0.jpg
cc627cb1ea9da14d88b4dae59aaa735b.jpg
fe5090c0bc26d7f8a2abee6fd516d8f6.jpg
Eyeson - properties and real estate
 
Kwa Ujenzi wa Nyumba

Ujenzi wa Godown

Ujenzi wa Maghorofa
664c674ebad404d7025bf3d63a0f7615.jpg
8dc0c8931c15bd6a0f3ad01f48092fa6.jpg

Kwa Kutumia
1.Tofali za Aina Mbalimbali Kuanzia Chipping na Kawaida

Kwa Ujenzi wa Nyumba Kuanzia Tzs Million 25

Unakaribishwa Kwa Ujenzi Safi

Kwa Mafundi Waliobobea na Wataalamu wa Hali ya Juu Karibu Kwenye Kampuni Yetu Kwa Ujenzi Bora.

Tuna Project Nyingi za Ujenzi Katika Mikoa ya DODOMA,DSM na KIGOMA

Pia Tutatengeza Ramani na Kuandaa BOQ ama Makadirio ya Ujenzi wako Kwa Gharama Nafuu Kabisa

Tupigie kwa

0715-908698(Call/Whatsaap)
0759-538688(_Call)

OMARI RAJABU
ADMINSTRATION OFFICE
EYESONEPROPERTY TANZANIA LTD

DAR ES SALAAM TANZANIA

Tunajenga Mkoa Wowote

Tupitie kwenye Tovuti yetu hapo Chini

follow a link to this website:
b9b07429e1fbf0095ec0fa034cd41ce9.jpg
7d5fab3e4a857568fc6932628cca1fa9.jpg
be7a02378e558c231a507199cd30b0b0.jpg
cc627cb1ea9da14d88b4dae59aaa735b.jpg
fe5090c0bc26d7f8a2abee6fd516d8f6.jpg
Eyeson - properties and real estate

kitu kama iko ghorofa 1 inaweza kukust kama bei gan
 
Sasa mkuu hizo nyumba ni zako ama? Maana kama ndio ingekuwa zangu ningedai posho kidogo, maana zinakutangazia biashara yako.

Alafu pia usiwasahau kuwapa posho zao za tangazo jf

Kazi nzuri mkuu, komaa tu
 
c1ae91ef2df71f4a81ed0fe443a92c50.jpg
Nyumba Peke yake ni Milion 65-70 na Fensi ya Nyumba Makadirio ni Milion 25 so Kwa Maelezo zaidi na Vipimo vya Plots yako na Aina ya Nyumba Unayojenga Karibu Ofisini

Mkuu! Mbona bei ipo juu sana!!! Nyumba kama hiyo nlokutumia iwe ya viumba vitatu ni 70 milioni? + fensi 95 milioni mkuu!!
 
Kwa makadirio ya kawaida ni million 40 ila bei inaweza kuongezeka au kupungua kutokana na materials tutakayo yatumia karibu sana kiongozi .

Mkuu! Mbona bei ipo juu sana!!! Nyumba kama hiyo nlokutumia iwe ya viumba vitatu ni 70 milioni? + fensi 95 milioni mkuu!!
 
View attachment 700089

Mkuu! Mbona bei ipo juu sana!!! Nyumba kama hiyo nlokutumia iwe ya viumba vitatu ni 70 milioni? + fensi 95 milioni mkuu!!
Kwa Aina ya Nyumba Ulioonesha Ndio Bei yake so Kwa Uhakika zaidi Njoo Ofisini na Ramani yako Tufanye Estimate ya Kisayansi Kwa Uhakika zaidi Maana Makadirio Halisi ni Muhimu Yafanyike On Papers ...Hivyo Tuwasiliane Kwa 0715-908698(WhatsApp/Call) au 0759-538688(Call Only)
 
Tatizo lako liko Wapi ???? Mkuu
Tatizo langu ni kwamba, unatumia kazi YANGU kutangaza biashara yako bila idhini yangu...

Tangu mwanzo najaribu kukwepesha Kusema ni kazi yangu nikijua utaelewa( kukutunzia heshima), kumbe ndo kwaaanza unazidi kukaza..

NADHANI UMEELEWA MKUU..
 
Tatizo langu ni kwamba, unatumia kazi YANGU kutangaza biashara yako bila idhini yangu...

Tangu mwanzo najaribu kukwepesha Kusema ni kazi yangu nikijua utaelewa( kukutunzia heshima), kumbe ndo kwaaanza unazidi kukaza..

NADHANI UMEELEWA MKUU..
Kazi yako kivipi
 
Labda tueleweshane na kusaidiana katika hili,
Kinachowafanya nikijenga kupitia nyie iwe gharama nafuu kuliko nikijenga mie na mafund wangu ni nini hasa??
 
Kwa Aina ya Nyumba Ulioonesha Ndio Bei yake so Kwa Uhakika zaidi Njoo Ofisini na Ramani yako Tufanye Estimate ya Kisayansi Kwa Uhakika zaidi Maana Makadirio Halisi ni Muhimu Yafanyike On Papers ...Hivyo Tuwasiliane Kwa 0715-908698(WhatsApp/Call) au 0759-538688(Call Only)

Shukran mkuu!
 
24 Reactions
Reply
Back
Top Bottom