Mizigo yapungua bandari ya DSM

Mizigo yapungua bandari ya DSM

12512792_1392231797470770_5533159620618514600_n.jpg

asigwa kamanda, nilikua napita kimya lakini nimeona nikuamkue...shikamoo
Sasa bomba mmeliomba mpewe na kung'ang'ania hadi kwa majonzi na kutia huruma, sasa kwa mambo kama haya mtalitunza kweli??
 
Haya ni makosa ya rais aliyeondoka madarakani badala ya kujenga reli yeye alishikilia barabara kwa ajili ya malori, sasa hii ndio price tunayolipa
Kwanini isiwe ni makosa ya kuanzia raisi nyerere hadi raisi kikwete? Iwe ni kosa la kikwete peke yake?
 
Acha bandari ife tu!! Tuna watumiaji wa Pombe na sigara takriban million 4.3!! Na wamepokea kwa furaha ongezeko la bei!! Kwanza hao wafanyabiashara hatuna haja nao!! Hatuwezi kuendelea kuwanyenyekea Ebo!!! Hawajui kuwa serikali ya magufuli imejitosheleza kwa kila kitu? Wafadhili tumeshawatimua!! Sasa Hivi ni zamu ya wafanyabiashara, bora bandari yetu tuigeuze Beach!!
Hahaha kwahiyo tunaelekea kwa Mugabe?
 
asigwa kamanda, nilikua napita kimya lakini nimeona nikuamkue...shikamoo
Sasa bomba mmeliomba mpewe na kung'ang'ania hadi kwa majonzi na kutia huruma, sasa kwa mambo kama haya mtalitunza kweli??
ha ha ha, mkuu shukrani kwa kunijulia hali, kumbe na huku unapitaga??

Bomba kupita litapita tu sababu kubwa ni kutokuwa na milima mikali upande wetu na hii ni hoja kubwa ambayo Total wanaisimamia, wanadai ku pump mafuta kupitia Kenya ni gharama sana kwa sababu ya miinuko mikali tofauti na Tanzania ambapo sehemu kubwa ni tambarare.

Lakini good News pia kutoka MCC kwa wamarekani ni kuwa wameanza kulegeza masharti ya kurudisha fedha na kikubwa wanadai turekebishe mambo madogo madogo turudishiwe pesa na suala la uchaguzi wa Zanzibar sio ishu tena.

Kwa hiyo ile head ache imepungua
 
Hah.... sasa hao tutawasaidiaje? Walikuwa wamezoea ukwepa kodi!!!!!
 
mpita njia utelekeze hiace Tunduma yenye thamani zaidi ya milioni ishirini Tanzania ni mzigo gani huo uweke katika hiace ukulipe kwa nadharia yako iyo mkuu..walikwepa kulipa kodi ila sio kwa mtindo wako wa kusikia vijiweni huo..
 
aliyasema hayo wapi?
lini ?

na ilikuwa ni kwenye nini??


bila kujibu hayo maswali hii habari inaonekana ni ya kishabiki
 
Huu uzushi wa kuzusha vitu vya uongo unatakiwa uishe... Dar Port sasahivi ina meli 13 on board
portleo.png


Meli zenyewe zilizopo ni hizo hapa...
portleo1.png
portleo2.png
portleotena.png

Mombasa pia kuna meli 13 kama sisi sasahivi... Kuandika habari za uzushi haisaidii..
 
mpita njia utelekeze hiace Tunduma yenye thamani zaidi ya milioni ishirini Tanzania ni mzigo gani huo uweke katika hiace ukulipe kwa nadharia yako iyo mkuu..walikwepa kulipa kodi ila sio kwa mtindo wako wa kusikia vijiweni huo..
Soma vizuri, mfano wa Hiace.
Kuna gari UK zinaitwa LDV Convoy ni Kubwa kidogo kuliko Hiace zinauzwa £400-£600 pounds.
Transport Tilbury - £1300
Port Charges Dar $400 kwa gari Transit

Mpaka Dar £1900 + $400 = 6,080,000 Tshs 6,080,000

Imagine umepakia LCD TV 200 ndani yake Ambazo umezinunua £50 each ambayo ni 160,000.

Sasa ukichukua 6,080,000/200 tv= 30,400 +160,000= 190,400 Ndio gharama ya kila TV ikiwa nje Dar.

Inasafishwa vizuri inawekwa dukani unauziwa kwa 500,000 Tshs ambapo faida ni over 300,000 x 200 tvs= 60,000,000 Tshs.

Sasa hilo ligari italitaka tena la nini???

1459675248269.jpg


Ova
 
Habari njema ni kwamba mamlaka ya bandari imetambua matatizo na kuonesha ni namna gani wanaweza kufanya vizuri.
 
mpita njia utelekeze hiace Tunduma yenye thamani zaidi ya milioni ishirini Tanzania ni mzigo gani huo uweke katika hiace ukulipe kwa nadharia yako iyo mkuu..walikwepa kulipa kodi ila sio kwa mtindo wako wa kusikia vijiweni huo..
Sawa nasikia vijiweni.
Ila sio anayepost/ JF ni mtu wakijiweni au siasa.

01a4fa06356790e1e21a356f3d3239f4.jpg


fa8e4de44dd78006b07cdb9930a005a7.jpg


Unataka zaidi au umetosheka??
 
Baada ya Rais magufuli kuingia madarakani yeye na serikali yake walikuta uozo mwingi sana bandarini.

Mizigo mingi iliingia bila ya kulipia ushuru. Na pesa ambayo serikali ingepata iliingia mifukoni mwa watumishi wachache wa bandari wasio waaminifu hivyo kujitajilisha wao.

Sababu zimeelezwa zinazofanya bandari ispate Mizigo.
Kama vile rand zidi ya dollar, ukosefu wa reli, ongezeko la kodi ya thamani na mengineo mengi.

Ukiangalia kwa sasa bandari imeboresha huduma zake ikiwemo kudhibiti upotevu wa Mizigo ya wateja, upakuaji wa haraka wa Mizigo na megineo mengi mazuri likiwemo la kudhibiti mapato ya bandari.

Kwa maoni yangu mimi binafsi, kwa mujibu wa katiba nina uhuru wa kuyatoa ili mradi nisivuje sheria za nchi.

Kupungua kwa Mizigo bandarini kumetokana na kuzibwa mianya ya ukwepaji ushuru.

Wafanyabiashara wengi walikua wanaingiza bidhaa bila kulipia ushuru wakiwatumia watumishi wa bandari wasio waaminifu.

Janja yao kwisha hivyo wamekimbilia sehemu za wapiga deal.
Mbona kabla bandari haijasafishwa Mizigo ilikua mingi na pesa ilikua hailingani na Mizigo inayoingia?

Ni suala la muda tu.
Ni bora kupata Mizigo michache inayolipa kodi kuliko mingi inayopita duty-free.

Changamoto inabaki kwa mamlaka ya bandari kwa kushirikiana na sector mbali mbali kuhakikisha Mizigo inaongezeka bandarini na mapato kwa nchi yanongezeka.

Biashara ni advertising and attractions.
Ni kazi ya mamlaka kuhakikisha bandari ina win ushindani wa biashara.
Mamlaka dhamana hiyo mmepewa, ubunifu unatakiwa.
Pambaneni kweli kweli.

Nawasilisha.
 
Kama mizigo imepungua kwa sababu ya kusimamia sheria na haki badala ya ujanjaujanja wa kukwepa kodi, basi ni bora ipungue tu, Ni bora tupate mizigo michache yenye kulipa ushuru na kodi zote, kuliko mizigo mingi yenye ujanjaujanja mwingi



acha kukurupuka hiyoo takwini ni ya jan2015---jan2016. toka mambo ya ujanja ujanja kudhibitiwa yamechukua muda gani? changamoto ni washindani wetu wamekuwa wabunifu na maswala ya kiuchumi. ungeeleza mbinu za kushindana nao.
sio kila jambo ni kuweka ushabiki wa kisiasa.
 
mpita njia mzigo wa transit unapoutoa unakua chini ya dhamana ya agent ambaye yeye ndie atakaeulizwa wewe usipotoa ilo gari Boda na pis kwa uwizi wa kipindi kile nakukatalia kuwa hauwezi weka ivyo maana watu walikua wanasoma bill of landing na mzigo uliopo mizigo ambayo haijaandikwa imeibiwa sana na jamaa wa bandari..watu walikua wanaiba hadi side mirror waache Tv kweli mkuu..
 
Sababu za reli...matumizi ya randi ndio zimeanza magufuli alipoingia? Ajabu?
 
Kupungua kwa mizigo ni kwa sababu ya kuongezeka kwa ufanisi na speed ya kutoa mizigo bandarini.
 
mpita njia mzigo wa transit unapoutoa unakua chini ya dhamana ya agent ambaye yeye ndie atakaeulizwa wewe usipotoa ilo gari Boda na pis kwa uwizi wa kipindi kile nakukatalia kuwa hauwezi weka ivyo maana watu walikua wanasoma bill of landing na mzigo uliopo mizigo ambayo haijaandikwa imeibiwa sana na jamaa wa bandari..watu walikua wanaiba hadi side mirror waache Tv kweli mkuu..
Ilikuwa hivi.
TRA/TPA hawatozi ushuru/charge ya mzigo wowote ambao umepakiwa ndani ya gari.

Wao wanatoza gharama za kukushushia gari/kukuhifadhia hadi siku utakapolichukua. Kwa hiyo gari zenye mizigo zikawa zinapita tu.

Mwaka nakumbuka 2004 wakasema gari za Transit zisiwe zinapakia. Hapo ndipo watu getini wakaanza kupiga pesa.

Kuhusu agent yeye Bond yake inaishia Tunduma, ukisha lodge document border yeye Bond yake inaachiwa.
Kuanzia Zambia kuendelea agent wa TZ haimuhusu.

Kuhusu ulizi huwo ni ujanja wako mwenyewe. Mara nyingi huwa wanachomea kwenye milango, wengine wanaweza bawaba. Ila wizi ulipungua sana kuanzia 2007 kuendelea.Mara nyingi wafanya Kazi wa TPA kama kuna kitu wamekipenda huwa wanakuja kukuomba.

Mjomba watu wamepiga pesa huwezi amini kwa system hizo Na ziko nyingi huo mfano mdogo tu nimekupa.
 
Back
Top Bottom