The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Labda hiyo tui ndio Kazi pekee ya kitukuka aliyoifanya..Mbali ya uchumi, Mwalimu alikuwa na kazi ngumu sana kuliunganisha Taifa kuwa moja na ukabila ukafutika, hiyo ilikuwa kazi ya kutukuka sana, Cha ajabu, ikaharibiwa ndani ya kipindi kifupi tu cha m iaka 6.
Dhalimu shujaa wa Africa akapanda tena mbegu ya chuki ,ukabila,ukanda na migawanyiko mingine