johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,108
Mkuu wa Wilaya ya Songea amesema Misaada kutoka Nje ina Masharti magumu na yanayoumiza
DC alikuwa anatoa salamu za mkoa kwenye Ibada ya Kanisa Halisi jana Jumapili
DC ametoa mfano wa Nchi ya Ugiriki ( Thesalonike) ambayo sasa imeingiza kwenye Katiba yake ruhusa ya Ndoa za Jinsia Moja kitu ambacho ni chukizo mbele ya Mungu wa Mbinguni
DC ametaka watu wafanye Kazi badala ya kutegemea Misaada na Mikopo
Chanzo: Star tv
DC alikuwa anatoa salamu za mkoa kwenye Ibada ya Kanisa Halisi jana Jumapili
DC ametoa mfano wa Nchi ya Ugiriki ( Thesalonike) ambayo sasa imeingiza kwenye Katiba yake ruhusa ya Ndoa za Jinsia Moja kitu ambacho ni chukizo mbele ya Mungu wa Mbinguni
DC ametaka watu wafanye Kazi badala ya kutegemea Misaada na Mikopo
Chanzo: Star tv