Mizengo Pinda: Mnaitaka Tanganyika ipi?.

Mizengo Pinda: Mnaitaka Tanganyika ipi?.

Hujafa,Hujaumbika.

So what,si pia imeandikwa hakuna litokealo ila kwa mapenzi ya muumba!!!!!
So hata hili la posho ni mapenzi ya muumba!!!!!?????

Si umepewa utashi zaidi ya wanyama wengine,utumie sasa!!!!!!
 
Serikali moja ndiyo niitakayo mimi. Zanzibar ni jimbo tu. A governor should suffice.
 
Huenda pinda alikuwa anaongea na watoto wadogo wa wajumbe wa jumuiya ya wazazi ya CCM, huwezi kumwaga pumba hizi mbele ya watu wazima.
Hapana. Alikuwa anaongea na hawa hapa,

unnamed+(3).jpg

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati wa ufunguzi semina ya viongozi na watendaji wa Jumuiya ya Wazazi Ngazi ya Taifa, mikoa na Wilaya nchini iliyofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM mjini Dodoma Februari 22, 2014wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua semiana hiyo.
 
Aisee hili Pinda halifi tu?
Ni yeye ndie alietibua mambo afu anataka kujikosha na pumba zake!
Pambaf sake mwache akafie mbele huko!
Namchukia kama mavi ya jirani!
 
Hivi kuna Nchi ya China kabla na baada ya ukoloni wa Japan,How about Kenya,Uganda,Nigeria,Ghana mbona hawakubadilisha majina bora mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi 😛hoto:
Mkoloni mweupe ndiyo yupi huyo na mkoloni mweusi ndiyo nani, lakini vile vile, nini tofauti zao?.
 
pinda amepinda; amepinda akili, mawazo, maamuzi,uelewa, lakini pia kapinda sura
Indeed!
Anachojaribu kutuaminisha ni kuwa Tanganyika ilidumu muda mfupi na kufa.

Je? anaweza kutuonyesha document yoyote inayoonyesha kifo cha Tanganyika?

CCM wamelewa madaraka.
 
Aisee hili Pinda halifi tu?
Ni yeye ndie alietibua mambo afu anataka kujikosha na pumba zake!
Pambaf sake mwache akafie mbele huko!
Namchukia kama mavi ya jirani!
Mkuu, Matusi hayajengi hoja. Jenga hoja na hoja itasimama hata bila matusi kwa sababu matusi ni kiashirio cha kukosa hoja.

Ni angalizo tu.
 
mtuelimshe basi,mnasema serikali mbili na huku hamfafanui uzuri wake,maana yake nini?halafu katiba nzuri inayowafaa wananchi ni ile inayotokana na maoni ya wananchi.kwanini nyinyi ccm inapinga mawazo ya wananchi?hiyo itakuwa ni katiba ya ccm kwa manufaa ya ccm tu.na hilo linaonesha jinsi gani ccm haiwajali wananchi wake.inawaoma kama wapumbavu fulani wasiofaa kuishi katika nchi hii kwahiyo kila jambo hupanga wao kwa manufaa yao.nimekuwa nikisema watanzania wengi kwakuwa ni maskini wakiugua hawanamatumaini ya kuishi kwani hospitali huduma mbovuuu!lakini wao ccm hutibiwa ulaya sasa nikuulize wewe simiyu hiki chama kinawajali wananchi?wanaokichagua nao ni ma mburula kama ulivyo wewe,utasikia eti ccm imenilea,ukimuona anayesema hayo kachooooookaaa!nitaichukia ccm na watu wake daima.

Ni kweli mkuu hawa jamaa wanatakiwa kutuwezesha (to create awareness) kama wanaona hatuelewi, but huwezi kumhukumu mtu kuwa wewe ni mjinga wakati hujamuelimisha na kujua ujinga wake, ulipo. Watuambie faida za muungano wa tatu kinagaubaga kwa kuwa wao ndiyo wanaongoza nchi. Mimi najua kuna watu hata huu muungano hawautaki basi tu ni kulazimishwa. Ndiyo maana wengine wameamua kusupport serikali tatu, kwa declare interest mimi nikiwa mmoja wao.
 
Ningemsifu ka ma angeuliza swali hilohilo kwa Zanzibar. Unafiki ni mbaya sana. Anawaogopa?

Sisi wazanzibar tunataka zanzibar yetu, kama pinda na anti- Zanzibar sentiments wezake bado wanaweweseka usingizini kazi kwao, wache wakatae asili yao kwani mkataa kwao mtumwa.
 
Maneno mengi ya kuhalalisha serikali mbili hayatusaidii kwa kipindi hiki. CCM na serikali yake walikuwa wapi wakati serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikipitisha Katiba ya kujitambua kuwa Zanzibar ni nchi na wakaainisha na mipaka yao. Walipitisha Katiba inayokinzana na Katiba ya Jamuhuri ya Muungano. misimamo mingine ni majanga matupu.
 
Hoja zaifu za Pinda , hoja za nyanya na unyerere zimepitwa na wakati
 
Namuunga mkono moja kwa moja eti mtu ana miaka 25 eti kwa sababu kapata tiketi ya kuingia bungeni kama mjumbe unasikia anasema serikali Tatu wakati hata wakati Tanganyika inapata uhuru hakuwepo,Pinda nakupongeza kwa msimamo wako thabiti

Kwani 9 Disemba huwa tunaadhimisha sikukuu ya uhuru wa nchi ipi, Tanzania au Tanganyika?
 
Bora Tanganyika ya mkoloni mzungu kuliko Tanzania ya mkoloni mweusi ccm!!!!!!!!!!!!
 
Kwa nini iku zote wanapotetea serekali mbili siku zote ufafafanuzi unakuwa yale mabaya lakini hawatuelezi faida ispokuwa udugu na umoja wa kitaifa na nyerere kasema, what!
 
Back
Top Bottom