mtuelimshe basi,mnasema serikali mbili na huku hamfafanui uzuri wake,maana yake nini?halafu katiba nzuri inayowafaa wananchi ni ile inayotokana na maoni ya wananchi.kwanini nyinyi ccm inapinga mawazo ya wananchi?hiyo itakuwa ni katiba ya ccm kwa manufaa ya ccm tu.na hilo linaonesha jinsi gani ccm haiwajali wananchi wake.inawaoma kama wapumbavu fulani wasiofaa kuishi katika nchi hii kwahiyo kila jambo hupanga wao kwa manufaa yao.nimekuwa nikisema watanzania wengi kwakuwa ni maskini wakiugua hawanamatumaini ya kuishi kwani hospitali huduma mbovuuu!lakini wao ccm hutibiwa ulaya sasa nikuulize wewe simiyu hiki chama kinawajali wananchi?wanaokichagua nao ni ma mburula kama ulivyo wewe,utasikia eti ccm imenilea,ukimuona anayesema hayo kachooooookaaa!nitaichukia ccm na watu wake daima.