Hapa ni sebuleni kwangu, si mtandaoni.
Naongelea mtandaoni kwenye source iliyotolewa hapa, Deutsche Welle.
Najua Pinda ni tutusa, ila haya mambo kama kasema kweli atajipatia taji la ututusa zaidi. Wananchi wakikupa dhamana ya uongozi, ama unawatumikia mpaka mwisho, ama unasema kazi imenishinda unaachia wengine.
Kusema "kazi imenishinda lakini nitakuwepo kuwepo tu mpaka 2015" ni ujuha uso kifani.
Ndiyo maana napata tabu kuamini kwamba huyu Mizengo Pinda ni juha kiasi hicho kweli. Na kila nikiitafuta habari siioni ingawa imethibitishwa na "watu" wawili hapa.Mmoja akisema kwamba imetoka "Deutsche Welle".
Direct quote ni muhimu ili tupate maneno yake mwenyewe alivyoyapanga bila mtu kututafsiria, maana tafsiri inaweza kuongeza au kupunguza maana.
Why 2015 and not now? Kwa nini mzee avumilie hadi 2015 wakati hata usingizi unakua haupatikani jamani? Namhurumia mzee wa watu kwa kweli. Mimi sijui kuvumilia. Ningekuwa nishajitoa. Mwee!
Jamani kwanini tunarudia habari hizi? alisema mwenyewe hatagombea tena Ubunge huu ni wa Mwisho kwake...
Alitangaza alipokuwa anachukua form ndio maana hakuwa na Mpinzani...
SIO CHA AJABU JAMANI - LETENI HABARI MPYA... CCM INATUNYIMA HABARI MPYA INAONEKANA...
Mnafiki tu huyo pinda. Eti mtoto wa mkulima.
analima lami huyo