Mizengo Pinda atangazwa kuwa Waziri Mkuu tena

baba wa watu ni civil servant aliyebobea.nyakati nyingine tunahitaji watu aina hiyo kwenye nafasi ya uwaziri mkuu
 
Sifa zooooooote anazo! tatizo............................................................remotely controlled.
 
Mizengo Kayanza Peter Pinda is, once more the Prime Minister

To approve his appointment the parliament had a vote; total votes -328, Yes -277, No - 49, damaged were 2.
We also got Hon Job Ndugai as depute house speaker.

Source - TBC1
 
Spika Anne Makinda akimtangaza mheshimiwa Mizengo Pinda kuwa waziri mkuu mteule. Baada ya kura kutangazwa matokeo yalikuwa hivi:
Jumla ya kura zilizopigwa 328.
Kura za ndiyo 277 = 85.4%
Kura za hapana 49 = 14.9%
Kura zilizo haribika 2 = 0.2%
Inawezekana kura zilizo haribika zikawa za EL na RA?
Nawasilisha!!
 
Binafsi nimefurahi kuwa taifa halitaingia gharama zisizo za lazima. Naamini mkuu wangu Gembe atakubaliana nami katika hili, pamoja na kuwa mwanzo alinihabarisha kuwa Pinda nisimtarajie lakini 'inshallah' karejea.

Ni bora mara mia ya Pinda kuliko kuletewa kiumbe mpya ambaye atakuwa anajifunza kazi hii ngumu

Invisible,
Kipi bora, taifa kuingia gharama za kumhudumia waziri mkuu mstaafu asiyekuwa na inputs yoyote au kuwa na waziri mkuu mpya anayeweza kufanya maamuzi mazito yenye tija kwa taifa kwa mfano kuamuru baadhi ya idara za TRA kufanyakazi masaa 24 kuongeza ufanisi wa kuondoa mizigo bandari ili kukuza pato la taifa? n.k. Hiyo ya kumhudumia waziri mkuu mstaafu is just a peanut ukilinganisha na pesa zinazopotelea hewani.
 
Mizengo Pinga atajwa kuendelea kuwa waziri mkuu wa Tanzania. Baada ya jina lake kupendekezwa na rais Jakaya Kikwete, na kusomwa bungeni na spika wa Bunge, Anna makinda, wabunge walimpigia kura kumuidhinisha. Bw Pinda amepata zaidi ya asilimia 80 ya kura zilizopigwa. Naibu spika wa bunge amechaguliwa Job ****** kutoka CCM.
 
Invisible,
Kipi bora, taifa kuingia gharama za kumhudumia waziri mkuu mstaafu asiyekuwa na inputs yoyote au kuwa na waziri mkuu mpya anayeweza kufanya maamuzi mazito yenye tija kwa taifa kwa mfano kuamuru baadhi ya idara za TRA kufanyakazi masaa 24 kuongeza ufanisi wa kuondoa mizigo bandari ili kukuza pato la taifa? n.k. Hiyo ya kumhudumia waziri mkuu mstaafu is just a peanut ukilinganisha na pesa zinazopotelea hewani.

hiii imekaa vizuri
 
Invisible,
Kipi bora, taifa kuingia gharama za kumhudumia waziri mkuu mstaafu asiyekuwa na inputs yoyote au kuwa na waziri mkuu mpya anayeweza kufanya maamuzi mazito yenye tija kwa taifa kwa mfano kuamuru baadhi ya idara za TRA kufanyakazi masaa 24 kuongeza ufanisi wa kuondoa mizigo bandari ili kukuza pato la taifa? n.k. Hiyo ya kumhudumia waziri mkuu mstaafu is just a peanut ukilinganisha na pesa zinazopotelea hewani.
Waziri Mkuu wa kufanya wonders mnazozitamani HAYUPO KWA SASA, labda tujaribu tena baadae! Ndo maana sikuwa naona sababu ya kulisababishia gharama za kuweka mtu mwingine ambaye ni obvious wengi angewashtua na kuwakera kwa uteuzi wake na ni wazi angepitishwa na wabunge wa CCM kirahisi tu wakishirikiana na wabunge wa vyama dada.

Tatizo linalotukabili kama taifa ni viongozi wetu kujali siasa na kusahau kuwa tunalitumikia taifa hili ambalo ni letu sote. Ukiangalia, Pinda ana uzalendo kuliko walio wengi ambao mnaweza kutamani 'wajaribiwe'

Wengi mnaowaona wakiongea as if wana uzalendo ni wazushi tu, hawana uthubutu mnaodhania wanao!
 
Kwa kusema kweli sikutegemea kama angeteuliwa tena.Kwa kipindi alichokua PM na Pia waziri wa serikali za mitaa hakuna kinachoonekana.Ila akitaka abadilishe mfumo wake wa kuongoza kwa uoga na pia uongozi sio bungeni tu,aje kwa wananchi kuinua na kusukuma miradi ya maendeleo.
Kweli uchaguzi haukujali performance,sualaa si uadilifu pekee yake lazima mtu awe na proven track record ya kuleta mabadiliko katika mchakato mzima wa maendeleo,ndo maana watu walikuwa tayari kufumbia macho makosa aliyofanya magufuli kama anagepata hii nafasim
 
Invisible,
Kipi bora, taifa kuingia gharama za kumhudumia waziri mkuu mstaafu asiyekuwa na inputs yoyote au kuwa na waziri mkuu mpya anayeweza kufanya maamuzi mazito yenye tija kwa taifa kwa mfano kuamuru baadhi ya idara za TRA kufanyakazi masaa 24 kuongeza ufanisi wa kuondoa mizigo bandari ili kukuza pato la taifa? n.k. Hiyo ya kumhudumia waziri mkuu mstaafu is just a peanut ukilinganisha na pesa zinazopotelea hewani.

Hakuna waziri mkuu anayeweza kufanya maamuzi mazito yenye tija kama JK akiwa Raisyule yule wa five years back. Hata angefufuka Edward Moringe Sokoine . Tatizo sio Pinda tatizo ni President

Lowasa alidangaya toto kuonekana ni mchapa kazi lakini behind the scene tunaona muziki halisi aliocheza. Hatutaki watu wa dangaya toto wanajifanya wao ni kwanza kuwatimua wakuu wa wilaya ili wapate publicty huku jikoni wao wanafana madhambi kuliko yale yanayofywa na viongozi walio chini yao .

Binafsi nassupprt Pinda kuchaguliwa tena sababu in my eyes Pinda ni muadilifu. Wish our President naye akiwa muadilifu tunaweza kuona utendaji toafuti na wa tija zaidi wa Pinda.

Hivi katika worst best scenario ukiambiwa kuchagua kati ya hawa kwenye uongozi wa nchi unachagua yupi
A: Mwizi fisadi lakini mchapakazi
B: Mvivu lakini muadilifu
 
Waziri Mkuu wa kufanya wonders mnazozitamani HAYUPO KWA SASA, labda tujaribu tena baadae! Ndo maana sikuwa naona sababu ya kulisababishia gharama za kuweka mtu mwingine ambaye ni obvious wengi angewashtua na kuwakera kwa uteuzi wake na ni wazi angepitishwa na wabunge wa CCM kirahisi tu wakishirikiana na wabunge wa vyama dada.

Tatizo linalotukabili kama taifa ni viongozi wetu kujali siasa na kusahau kuwa tunalitumikia taifa hili ambalo ni letu sote. Ukiangalia, Pinda ana uzalendo kuliko walio wengi ambao mnaweza kutamani 'wajaribiwe'

Wengi mnaowaona wakiongea as if wana uzalendo ni wazushi tu, hawana uthubutu mnaodhania wanao!

You said it all.

Hii ni tahadhari ambayo Watanzania wanaoishi ughaibuni wanatakiwa waifanyie kazi kabla ya kuja na fulani fisadi - hafai, fulani safi mpiganaji
 
Invisible,
Kipi bora, taifa kuingia gharama za kumhudumia waziri mkuu mstaafu asiyekuwa na inputs yoyote au kuwa na waziri mkuu mpya anayeweza kufanya maamuzi mazito yenye tija kwa taifa kwa mfano kuamuru baadhi ya idara za TRA kufanyakazi masaa 24 kuongeza ufanisi wa kuondoa mizigo bandari ili kukuza pato la taifa? n.k. Hiyo ya kumhudumia waziri mkuu mstaafu is just a peanut ukilinganisha na pesa zinazopotelea hewani.
Uamuzi kwamba TRA ifanye kazi masaa ishirini na nne kwa manufaa ya taifa si aina ya maamuzi yanayohitajii maamuzi ya PM mkuu wa idara tu anatosha kufanya hiyo operation kama ni ya muda maalum. Kama ni maamuzi ya kisera kwamba kuanzia leo TRA itafanya kazi zake kwa mtindo huo hapo mkurugenzi wa TRA anatosha PM is too far to deal with this small operations.
 
Uamuzi kwamba TRA ifanye kazi masaa ishirini na nne kwa manufaa ya taifa si aina ya maamuzi yanayohitajii maamuzi ya PM mkuu wa idara tu anatosha kufanya hiyo operation kama ni ya muda maalum. Kama ni maamuzi ya kisera kwamba kuanzia leo TRA itafanya kazi zake kwa mtindo huo hapo mkurugenzi wa TRA anatosha PM is too far to deal with this small operations.
J4K....Kaka hapa ndipo unapoona taifa kama taifa linahitaji nguvu kazi Mpya na akili Mpya ya kufikiria. Baadhi ya mambo yanayowezekana kufanyika ndani ya idara husika yanalala.

Ipo haja ya hawa wahusika ktk idara husika wabadilike, wasisubiri order itoke juu ndio wafanye, wanahitaji kuwa wabunifu.labda wawe wanakwazwa na watu waliojuu yao.

Pinda awe makini kufuatilia issues za umuhimu wa Taifa na kuwashughuulikia wazembe na au watendaji waovu wasioweza kudeliver...
 
Wamemnusuru huyu mama, kapita "BILA KUPINGWA"... Demokrasia bado ina safari ndefu sana nchi hii!

Even Pinda kapita bila Kupingwa...!!! Baadhi ya watu walitaka kugombea kupitia "Upinzani" wakazuiwa na Uongozi wa Chama
 
CUF wamepambana miaka zaidi ya 20 na wale mnaowabeza nadhani mmesahau walikotoka na hapa walipofikia si haba; MOJA SHIKA SIO KUMI NENDA RUDI! Wale wafuasi wao walioathirika na harakati za mapambano ndio gharama ya kufikia kule walikokuwa wanaelekea.

Kurudi chama tawala? Maana sasa msamiati mpya ni CCM na vyama dada! Na hakuna jipya Zanzibar zaidi ya Seif kuamua kula pension yake. Nasikitika malipo ya damu ya wanaCUF waliokufa wakidai demokrasia hayajakuwepo
 
J4K....Kaka hapa ndipo unapoona taifa kama taifa linahitaji nguvu kazi Mpya na akili Mpya ya kufikiria. Baadhi ya mambo yanayowezekana kufanyika ndani ya idara husika yanalala.

Ipo haja ya hawa wahusika ktk idara husika wabadilike, wasisubiri order itoke juu ndio wafanye, wanahitaji kuwa wabunifu.labda wawe wanakwazwa na watu waliojuu yao.

Pinda awe makini kufuatilia issues za umuhimu wa Taifa na kuwashughuulikia wazembe na au watendaji waovu wasioweza kudeliver...
Well said brother, tuache kufanya mambo kwa mazoea kwa kuwa mambo yanabadilika kwa kasi kuliko uwezo wetu wa kukabili mwenendo. Cha ajabu bado tunaimba tunataka maendeleo bila kuzingatia mbinu sahihi za kuyapata hayo maendeleo, as if maendeleo ni dua ukiomba yatosha unamsubiri subhana afanye mambo yake "tunahitaji mabadiliko ya kifikra kuhusu utendaji wetu" tupunguze mapokeo kwamba mtu hata kama ni kilaza akishachaguliwa tu kuwa kiongozi anachukuliwa kama think tank fulani, hatujiulizi huyu tulikuwa tunacheza naye bao juzi leo huu u genious ameutoa wapi.
Tuache kufikiria kwamba kila kiongozi anayeishi Dar es salaam anaweza kufikiri kwa niaba yetu huu ni utumwa wa kimawazo, aka 'mental slavey'. Tufikiri na tuamue hatima yetu i mikononi mwetu.
Kazi ya kiongozi ni maamuzi sio utendaji, ni bora kiongozi aamue kwa makosa kuliko kutoamua kwani kutoamua ni kuchelewesha mambo na kuamua kwa makosa ndio njia pekee ya kujua tulipojikwaa kitu ambacho hakiwezi kutokea kama hakuna uthubutu wa kufanya maamuzi.
Kurudi chama tawala? Maana sasa msamiati mpya ni CCM na vyama dada! Na hakuna jipya Zanzibar zaidi ya Seif kuamua kula pension yake. Nasikitika malipo ya damu ya wanaCUF waliokufa wakidai demokrasia hayajakuwepo
Heshima kwako mkuu, ila wapaswa kukumbuka msemo usemao 'kama huwezi kupambana nao jiunge nao' yaani "If you won't fight join them" umuhimu wa unyonge huu ni kwamba, kwa kuwa demokrasia yetu bado ni changa na waliopo madarakani wameapa kutoachia madaraka kwa njia ya box la kura, katika kujiunga nao unajenga ukaribu unaopelekea ushawishi ambao unaweza kuzaa fairness itakayopelekea tume huru ya uchaguzi na nyingine zinazowakabili wapiga kura wako.
Ikumbukwe kwamba wakati huu virungu vimepungua kwa kiasi kikubwa kwenye masuala yahusuyo uchaguzi ZnZ kuliko tulivyokuwa huko nyuma chaguzi zaidi ya tatu.
Mazingira yaliyojengwa na Seif na karume kwa tafsiri yangu Maalim na cuf kwa ujumla ndio washindi wa hili kwani wao ndio waliokuwa loosers bila kujali mabox ya kura yalikuwa yanasema nini katika kila chaguzi.

Tuwe fair na tusifie inapokuwa lazima kwani ukizuia sifa za mwenzio na zako zitazuiwa.
 
Pia anaweza kuwa sheikh yahaya............au kibonde yule kibaraka wa mafisadi na mpotoshaji wa wa clouds fm
 
Waziri Mkuu wa kufanya wonders mnazozitamani HAYUPO KWA SASA, labda tujaribu tena baadae! Ndo maana sikuwa naona sababu ya kulisababishia gharama za kuweka mtu mwingine ambaye ni obvious wengi angewashtua na kuwakera kwa uteuzi wake na ni wazi angepitishwa na wabunge wa CCM kirahisi tu wakishirikiana na wabunge wa vyama dada.

Tatizo linalotukabili kama taifa ni viongozi wetu kujali siasa na kusahau kuwa tunalitumikia taifa hili ambalo ni letu sote. Ukiangalia, Pinda ana uzalendo kuliko walio wengi ambao mnaweza kutamani 'wajaribiwe'

Wengi mnaowaona wakiongea as if wana uzalendo ni wazushi tu, hawana uthubutu mnaodhania wanao!


duh kama ww spika inaonyesha ushachagua side

vyama dada ?


wenyewe wakisikia utakiona ?
 
Back
Top Bottom