Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,318
- Thread starter
- #121
Sawa...Wapinzani wanokosa adabu wanapotaka kujilinganisha na Rais Magufuli.
Sawa...Wapinzani wanokosa adabu wanapotaka kujilinganisha na Rais Magufuli.
Topic closed!Kuna jirani yangu nipo nae hapa anadai ni bora mtoto aanzie elimu ya msingi katika Private School ili apate msingi bora wa lugha ya kiingereza hata akienda secondary anaelewa masomo kwa ufasaha.
Sijui nitumie mbinu gani ili uelewe kuwa JPM ndio Rais ajaye?Topic closed!
huyu anayesema sina Mgombea? Halafu Leo kumbe ndio kawatuma hawa wakagombee huku na huko?? Mtu mmoja ndimi mbiliSijui nitumie mbinu gani ili uelewe kuwa JPM ndio Rais ajaye?
Nami nawaza hiiPrimary msomeshe shule za kawaida, Sekondari mpeleke Private, then A-level atajipeleka mwenyewe shule za serikali baada ya kufaulu vizuri Olevel.
Kama mimi tu kumbe.Nami nawaza hii
Tena saaaana.Huyu JP Magufuli ana uwezo mkubwa sana ujue?
Njoo nikupe fomu ya CCMTena saaaana.
CUF hawana jipya ZanzibarSawa...
Lissu anajifanya hawajui Watanzania, aibu atakayopata anaweza akakimbia Nchi.Tena saaaana.
Asante Rais Magufuli wa ushujaa wako na Mafisadi lazima yanune.Tena saaaana.
Huyo ndiye Magufuli, anamwaga mapesa Wananchi tupate huduma bora.Sawa...
Magufuli anajenga stiglers gorge ambayo ilimshinda mkoloni.Tena saaaana.
Mabeberu yameanza kumpigia JPM magoti. Tuliwaonya Magufuli hajaribiwi.Sawa kaka. Asante. Ngoja niwasikilize na wengine wanasemaje
Magufuli anapeleka umeme kila kijiji mkoloni alishindwa.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu watanzania;
Upi ni wakati sahihi wa kumsomesha mtoto katika Private School kwa mzazi wa kipato cha chini? Primary Level au Secondary Level?
View attachment 1527163
Ninapoongelea mzazi wa kipato cha chini kwenye muktadha huu nina maana kwamba ni yule ambaye anatamani mtoto wake asome katika Private School ila hawezi kumudu gharama za kuanzia darasa la kwanza mpaka form six. Yeye anaweza kumudu Level moja tu baaas.
Kama mtoto atasoma primary level katika Private School basi secondary level atasomea katika shule ya Serikali na vice versa.
Kuna jirani yangu nipo nae hapa anadai ni bora mtoto aanzie elimu ya msingi katika Private School ili apate msingi bora wa lugha ya kiingereza hata akienda secondary anaelewa masomo kwa ufasaha.
View attachment 1527164
Classmate wangu Beautiful Nkosazana yeye alikuwa anadai eti ni bora mtoto akaanza Primary Level katika shule ya serikali ili akienda Secoary katika Private School anakuwa tayari amekomaa vema kiakili na anaweza kujimudi.
HII IMEKAA VP NDUGU ZANGU?
WEWE UNANISHAURIJE KAKA/DADA YANGU?
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mbona unapanic? hupendi maendeleo anayoleta Rais Magufuli.Sawa kaka. Asante. Ngoja niwasikilize na wengine wanasemaje
Tumpongeze Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa kuzalisha wasomi wazalendo kama Rais Magufuli.Sawa kaka. Asante. Ngoja niwasikilize na wengine wanasemaje
NaaamTunapendekeza Rais ajaye awe na haiba kama za Magufuli aendeleze ukuaji wa uchumi wa kati.