frenderPH
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 619
- 806
Habari zenu wana Jamii Forum. Poleni kwa changamoto na mchaka mchaka wa utafutaji pesa na kadhalika.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi mwenzenu katika hili jukwaa la Urembo, mitindo na Utanashati nahisi nnashida ambayo inanitesa sana saivi ni takriban miaka minne.
Yani iko hivi, shida ninayoipitia ni kwamba kila nikitoka kuoga nahisi kuwashwa washwa kwenye ngozi kila mahali ya mwili wangu hata sometimes nikitaka kuoga naanza kua na mawazo.
Yani kila nikimaliza kuoga nawashwa karbia dakika 15 au 20, kila sehemu ya mwili inawasha lakini hauvimbi wala nini. Na baada ya hizo dakika 15 au 20 za kuwashwa kuisha naendelea na maisha freshi tu kama hakukua na tatizo lolote.
Nimesha badilisha kila aina ya sabuni na madodoki nikihisi pengine labda chanzo ndo hiko lakini hii hali bado inanisumbua vibaya mno.
Sasa wadau wangu wa Jamii Forum hasa katika hili jukwaa kwa wale ambao wameshapitia hii hali na ambao hawajapitia lwa ujumla. Naombeni ushauri nifanyeje ili niondokane na hii hali maana inanitesa sana.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi mwenzenu katika hili jukwaa la Urembo, mitindo na Utanashati nahisi nnashida ambayo inanitesa sana saivi ni takriban miaka minne.
Yani iko hivi, shida ninayoipitia ni kwamba kila nikitoka kuoga nahisi kuwashwa washwa kwenye ngozi kila mahali ya mwili wangu hata sometimes nikitaka kuoga naanza kua na mawazo.
Yani kila nikimaliza kuoga nawashwa karbia dakika 15 au 20, kila sehemu ya mwili inawasha lakini hauvimbi wala nini. Na baada ya hizo dakika 15 au 20 za kuwashwa kuisha naendelea na maisha freshi tu kama hakukua na tatizo lolote.
Nimesha badilisha kila aina ya sabuni na madodoki nikihisi pengine labda chanzo ndo hiko lakini hii hali bado inanisumbua vibaya mno.
Sasa wadau wangu wa Jamii Forum hasa katika hili jukwaa kwa wale ambao wameshapitia hii hali na ambao hawajapitia lwa ujumla. Naombeni ushauri nifanyeje ili niondokane na hii hali maana inanitesa sana.