Mitihani ya Big Results Now ni Big Failure Now

Mitihani ya Big Results Now ni Big Failure Now

Tuna matatizo kwenye mfumo wetu wa elimu ikiwa ni pamoja na mfumo wa mitihani. Kuna mambo mengi yanayohitaji majibu:
1. Je mitihani tunayotunga inazingatia mitaala? Nani anacheki hili?
2. Je kuna kitengo kinachosimamia ubora wa mitihani na uhakiki?
3. Je kuna uhakiki katika usahihishaji wa mitihani?
4. Je kuna tathmini yoyote unayofanyika baada ya mitihani kufanyika?

Nilitarajia Tume ya Pinda ingekuja na majibu, lakini mpaka sasa imekuwa kimya.
Nawalaani wabunge wote wa CCM ndio wametufikisha hapa,bungeni ndio wengi wanapitisha upuuzi!!
Mlaaniwe!!!
 
Mulugo kazini. Hapo tu ndo mtamtaka kizazi kipya mlugo. Hila ukweli ni kwamba hii nchi sasa inajidhalilisha. na ukute aliyetunga passege hii kalipwa hela lukuki.
Wakuu hiyo ni Composition ya Engilish Language
 
Muda si mrefu watakuja kukama matapishi yao. Watakana huku wakitoa lawama kubwa kwamba, Watanzania wanaichafua inji yao, ilihali matokeo ya udhaifu katika Elimu yanaonekana dunia nzima.
Mauzauza ya nchi hii yanakatisha hata hamu ya kula.
 
Mulugo kazini. Hapo tu ndo mtamtaka kizazi kipya mlugo. Hila ukweli ni kwamba hii nchi sasa inajidhalilisha. na ukute aliyetunga passege hii kalipwa hela lukuki.

Hakika umenena ladies and gentlomen
 
Hivi nchi hii inakwenda wapi maana nimepitia somo la Hisabati na nimepatwa na bumbuwazi jinsi maswali yalivyokosewa mengine hayana kabisa majibu. Kwa mfano
Swali 13. Badili 13/16 kuwa desimali
A 1.1876. B 1.1875. C 1.1785. D 1.2885. E. 1.2875
Uliangalia sehumu waliyopewa wanafunzi haijafika kitu kizima sasa hapo jibu ni nini?

Mkuu nadahni hapo walimaanisha 1+3/16 na sio 13/16
 
Napata wakati mgumu na kizunguzungu ninaposikia wanasiasa wanatangaza huo mkakati wa BRN kwa mbwembwe na porojo, hv tunataka big result wapi? ndugu zangu naombeni ufafanuzi coz hii serikali CCM imewehuka!!! Tunataka big result kwa Waalimu ambao hawajui hatima yao ya maisha? mazingira ya kufundishia magumu? Wanafunzi wasiojua kusoma? shule zisizo na maabara??? mimi najua mpango wenu ni kupata posho baada ya kufeli KILIMO KWANZA kwanini tusingebadilisha huo mpango tukauita MORE ZERO NOW!!!!!!

  • :Cry:
 
Labda watakuja na mkakati wa kupunguza division zero kwa kuwatambua walimu. Kinyume cha hapo ni kutwanga maji kwenye kinu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hii nchi kwa mazingaombwe na vioja inaongoza.mishahara ya walim kiduchu haraf wanakurupukia mambo mengine tena ya kucopy toka malaysia.acha wachezecheze tu bila big salari big sifuri zitaendelea tu.
 
Wangesema Positive Results Now ningewaelewa maana slogan ya Big results Now inaweza kuwa positive au negative,
hata kufeli sana inaweza kutokana na slogan ya big results now but in a negative way.
 
Hiyo big ni very Vague kwani huwezi ku i quantify kwa ufupi haina measuring indicators. Nahisi ni njia ya kuchota fedha uchaguzi 2015 kwani waliopewa semina ya BRN ni wakuu wa Wilaya ambao ni politicians ambao hawana direct touch kwenye miradi ya maendeleo na siyo technical persons.
 
Huyo mwalimu aliyetunga huo mtihani wa Kiingereza katoka wapi? Yaani hii nchi jamani ni majanga yaani kuna makosa mengi ambayo ni dhahiri! Ila sishangai maana watu wenye wanaosimamia mitihani ndo akina Mulugo aka kilaza hali kama hii haiepukiki maana hawezi chagua brilliant persons watunge mitihani! Atachagua wajomba, marafiki na ndugu zake! Hii ni aibu ya mwaka! Kwa kweli wizara ndo inarudisha nyuma elimu yetu!
attachment.php
 
Sio kauli ya kukatisha tamaa wenye slogan hii ya kisiasa na sio kiutendaji. Niseme hii slogan ni mpango unaochekelewa na wapenda posho na ufisadi. Kuhusu Big Result kufanikiwa kwa kweli ni ndoto ndani ya mfumo huu wa mazoea na sio wenye kufuata taratibu za kisheria na uchumi. Commitment za hao wenye kuleta big result hazionekani kabisa hapa. Rushwa na Ufisadi ulioenea nchini, ujangili, madawa ya kulevya, ukwepaji wa kodi wa hali ya juu ndio unao nipa mashaka katika kufanikisha hii dhana. Wenzetu waliotumia hii dhana walifunga mikanda kung'oa maeneo yote yenye harufu ya ufisadi wakaendekeza uwajibikaji na kutooneana haya sababu tuko CHAMA kimoja na wakafanikiwa.

Kama ingekuwa ile Tanzania ya Nyerere nadhani BIG RESULT NOW ingefanikiwa. Kama zilivyofeli jitihada za KILIMO KWANZA na dhana hii itamaliza posho na kubakizwa kwenye mavitabu hasa kwa Tanzania hii ya sasa!!

Nawasilisha
 
kilimo kwanza iliishia wp?maana tuliishia kuona ma vx v8 kwenye kuhamasisha kilimo kwnz
 
Back
Top Bottom