Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
Qn. 50. What year did Karume died?:faint:
huu ni mtihani wa visiwani?
Qn. 50. What year did Karume died?:faint:
Dr F. Ndugulile;
Tuna matatizo kwenye mfumo wetu wa elimu ikiwa ni pamoja na mfumo wa mitihani. Kuna mambo mengi yanayohitaji majibu:
1. Je mitihani tunayotunga inazingatia mitaala? Nani anacheki hili?
2. Je kuna kitengo kinachosimamia ubora wa mitihani na uhakiki?
3. Je kuna uhakiki katika usahihishaji wa mitihani?
4. Je kuna tathmini yoyote unayofanyika baada ya mitihani kufanyika?
Nilitarajia Tume ya Pinda ingekuja na majibu, lakini mpaka sasa imekuwa kimya.
Sasa Hapo Ww Gambaz Hayo Maswali Unamuuliza Nani Ayajibu?
Unafiki Mbaya Sana Ww Dr..
kwann Kipindi Mbatia Anawasilisha Hoja Yake Hukuumuunga Mkono?
leo Unakuja Na Viswali Vyako Vya Kindergaten Hapa Kwenye Jamvi!
ww Unalalamika,
Marcopolo(jk) Analalamika,
Kawa-mbwa Analalamika,
Prof Mulugo Analalamika,
Wananchi Wanalalamika,
Walimu Wanalalamika,
way Forward Ni Nn?
Kwa hiyo Wanafunzi wanatakiwa kujibu kwa kuangalia walichodhani kinakusudiwa au kwa kilichoandikwa kwanye karatasi ya mtihani?
Wapo saw a hapo. Maana huo mtihani wanataka kuu test katika baadhi ya shule that's why UKAITWA TEST EXAM.
Kama wanafunzi wenyewe wana akili kama zako, hata walimu wangeambiwa wakeshe madarasani sidhani kama wataelewa.Acha ujinga wako kuna mtu alimulazimisha kwenda ualimu? si kwasababu ya kufeli kwako sekondari, leo unataka ulipwe mshahara mkubwa wakati hata kufundisha hujui.
Mbona enzi ya UPE wale walimu waliofundisha bila manung'uniko ndio wmetoa maprofesa bora? wanafunzi mnaowafundisha hata kuongea kiswahili hawajui . kama hutaki kazi acha kabebe mizigo sokoni