Mitihani ya Big Results Now ni Big Failure Now

Mitihani ya Big Results Now ni Big Failure Now

"Big Result now" without big Salary now, without big government accountability now, without Chadema now is "big Problems now"
Watch out there is no fact on the plan but rather a fiction. I will be back to tell you how far is it a fiction.
Kaa mbali na CCM ni Hatari
 
"Big Result now" without big Salary now, without big government accountability now, without Chadema now is "big Problems now"
Watch out there is no fact on the plan but rather a fiction. I will be back to tell you how far is it a fiction.
Kaa mbali na CCM ni Hatari

Mkuu kama unazo details kuhusu huu mzimu Big Results Now naoumba utuletee maana tumekuwa tunausikia tu hata walimu wenyewe ambao ndiyo source kubwa ya kufanikisha Big Results wanasikia kwenye bomba.

Hii BRN ni nini hasa na mikakati ya wanafunzi kufaulu kwa 60% ni ipi maana waziri amewalisha kiapo Maafisa elimu wote wa mikoa wafikishe hiyo pass rate na mkoa utakaoshindwa kufikisha wahusika watavuliwa madaraka.

Tunasubiri kwa hamu urudi kutoa ufafanuzi kama ulivyoahidi. Asante
 
To ensure the implementation of the FYDP I (2011/2012 –2015/2016), the Government through a Cabinet Retreat held in Dodoma from 22-24October, 2012 established a strong and effective system to oversee, monitor andevaluate the implementation of its development plans and programmes based on Ma laysian’sBig Fast Results approach .

To implement this the Government entered into consultancy agreement with the Performance Management andDelivery Unit (PEMANDU) from the Prime Minister’s Department of Malaysia. Thisinitiative has been branded as “Big Results Now”(BRN) – Tekeleza sasa kwa Matokeo Makubwa ; Je hii kitu itakuwa na matokeo chanya kama waliyoyapata wenzetu wa Malysia na haitatuangusha kama Kilimo kwanza inavyosuasua. Toa maoni yako
 
Tumeshuhudia hivi karibuni nchi yetu ya Tanzania ikishadadia kwa mtindo wa copy and paste falsafa ya 'big result now" kutoka nchini Malaysia. Huu ni mpango mrefu wa maendeleo nchini humo ambao umeleta mafanikio katika sekta zote. Watazania kupitia viongozi wetu tumebeba kama ilivyo tukitaraji falsafa tupu itapike maendeleo kama tuloshuhudia kwa wenzetu. Mfano hvi karibuni nmesikia Waziri wa elimu na msaidizi wake wakishadadia falsafa kisiasa pasipo kujua kuwa matokeo bora yanatokana uwekezaji wa fedha, usimamizi madhubuti ambapo kinyume chake ni porojo za uchaguzi. Huwezi kupata mavuno ya maana bila kutumia njia za kitaalamu. Huwezi zungumzia matokeo mazuri ya elimu bila kugusia mishahara ya watumishi wa elimu, mafunzo kazini kuwajengea uwezo, vitendea kazi, uboreshaji wa mifumo ya kufundishia na kujifunzia, teknolojia ya habari na mwasiliano pamoja na usimamizi madhubuti. Hatutataki siasa za uchaguzi, tunataka uwekezaji katika sekta za afya, kilimo na elimu.
 
Huo mkakati ni maneno kama maisha bora kwa kula mtanzania, kilimo kwanza etc ata kwenye kanga yapo,utekelezaji F
 
Mi naona kuna Bad Results Now..
Maji Shida.jpg
 
Hivi jamani ni kweli huu ni mtihani wa Taifa au jamaa katuwekea kanyaboya tu hapa?

Mimi nimejaribu kuangalia kwa harakaharaka baadhi ya maswali katika kiingereza na hisabati ni balaa!

Mifano;
Swali la 34 kiingereza; ................ furniture is know as_________
hapo kwenye red pamekosewa ilitakiwa iwe 'known'

Swali la 24 hisabati; hakuna jibu sahihi pale kwenye kuchagua , ile herufi 'A' imefia wapi?
Swali la 30 '' ; liko sawa.
Swali la 31 '' umepewa ujazo tu, utapataje kipenyo bila ya kuwa na urefu wa mche?
Swali la 32 '' jibu sahihi n = 139deg. kwenye kuchagua haipo.

Kwa hali hii taifa litakuwa na wasomi wa aina gani?
 
Haya tuendelee;

Hisabati
Swali la 38 lile umbo mimi nashindwa kulielewa je mtoto wangu ataelewa? je ni mraba wa cm14 kwa cm14 na robo duara nne zenye kitovu katika kona za mraba? kama ni hivyo jibu sahihi kwa eneo lenye kivuli sqcm42.062 nimetumia programu fulani kwenye kompyuta.

Swali la 39, huwezi kupata jibu maana parameters hazitoshi kufanyia kazi, nimejaribu hata kutumi a geometry kwenye program ya computer imeshindikana kuipata thamani ya K
 
Kama hali ndio hii katika mashule basi tunategemea nini? Low Result au Big Result
1236231_518437111573621_1878709074_n.jpg
 
Hawa akina mulugo na kawambwa wanapayuka tu wao wameambiwa wapayuke wasilolifahamu. Wanatii amri ya wakubwa.
 
Hizi agenda za raisi wetu ni nzuri na zenye malengo mazuri na taifa ila watendaji ndio tatizo katika mipango hii.
 
siku zote tatizo uanza kwenye uongozi kama uongozi mbovu ata aje nani bado matatizo yatakuwepo kwa hiyo tatizo ni serikali ya magamba wao ndio tatizo wa hii elimu sio tatizo kama Mbatia ameongea sana uongozi ukamuuza ndo matokeo wao wanawaza bashara zao za madawa na vitalu za madini na gas akuna kingine
 
Naomba mnieleweshe wajuzi. Hivi hii big results now ni nini? Sera yake inamalengo yapii? Au ndio mpango wa kuwa pasisha wanafunzi woote ili kuleta matokeo yatayovunja record ya dunia
 
Baada ya ccm kukosa majibu ya maswali mengi, wakajua Mtz ongea lugha tofauti tu, atasema ndiyo mzee. Bigi Rizalti Nao ni usemi mpya kuwa, Mpumbaze kwa kelele aone unafanya kazi.
Mh. Muhongo alipolisemea nilidhani tayari umeme wa gesi tumepata kumbemmmh.
Naomba nikuambie, HAINA SERA YEYOTE. Walikaa lini na wapi??? Kuna azimio la Arusha, Zanzibar na hata wapi, hilo ni azimio la wapi? Labda Bagamoyo kwa Kawambwee. Mtabaki Labda Labda tu...
 
Mi naomba niwaambie kitu kimoja kuna watu binafsi wameona ndio nyakati za kuchuma pesa. Wanajitangaza kupitia slogan hii na wapo wanamipango ya kutafutia sponsor mambo yao kwa kupitia slogan hii.
 
Naichukia hii kauli kuliko shetani. Kama wameshindwa kufanya kazi waache. Maneno tu hata kwenye kanga yapo.
 
Ni usanii tu Mkuu, hakuwezi kuwepo na BRN katika nchi inayoongozwa na mafisadi, majangili na wauza unga.


Naomba mnieleweshe wajuzi. Hivi hii big results now ni nini? Sera yake inamalengo yapii? Au ndio mpango wa kuwa pasisha wanafunzi woote ili kuleta matokeo yatayovunja record ya dunia
 
Back
Top Bottom