Mitihani ya Big Results Now ni Big Failure Now

Mitihani ya Big Results Now ni Big Failure Now

Kama wanafunzi wenyewe wana akili kama zako, hata walimu wangeambiwa wakeshe madarasani sidhani kama wataelewa.
Kama unaona walimu walifeli basi subiri uone moto wake.Unawafahamu walimu wa UPE au unaandika tu ili na wewe uonekane kuwa leo umechangia kwenye hoja hii?
Tumia akili yako.Ukishauriwa kuandika kitu, kabla ya kuandika,changanya na zako.

Ok mnachotaka kufanya ni kuongeza idadi ya wasio na akili ili watanzania wazidi kutawaliwa. Hwbu niambie mnataka kulipwa shilingi ngapi ili muone kuwa mnathaminiwa na muanze kufanya kazi.
 
Acha ujinga wako kuna mtu alimulazimisha kwenda ualimu? si kwasababu ya kufeli kwako sekondari, leo unataka ulipwe mshahara mkubwa wakati hata kufundisha hujui.

Mbona enzi ya UPE wale walimu waliofundisha bila manung'uniko ndio wmetoa maprofesa bora? wanafunzi mnaowafundisha hata kuongea kiswahili hawajui . kama hutaki kazi acha kabebe mizigo sokoni

Mbona jazba ndugu yetu?!

Kwanza acha lugha za kijijini, JF iko mjini usiichafue, sio ALIMULAZIMISHA, next time andika ALIMLAZAMISHA, sawa?

Wewe kama unaishi enzi za UPE hiyo ni wewe. Mwalimu anastahili kulipwa vyema ili tupate matokeo mazuri. Hao unaosema walizalishwa na UPE wakawa maprofesa wazuri ndio nani hao? Hawa kina Lipumba?
 
Mbona jazba ndugu yetu?!

Kwanza acha lugha za kijijini, JF iko mjini usiichafue, sio ALIMULAZIMISHA, next time andika ALIMLAZAMISHA, sawa?

Wewe kama unaishi enzi za UPE hiyo ni wewe. Mwalimu anastahili kulipwa vyema ili tupate matokeo mazuri. Hao unaosema walizalishwa na UPE wakawa maprofesa wazuri ndio nani hao? Hawa kina Lipumba?

Sawa nimekuelewa, lakini kumbuka kuwa kulipa mishahara mikubwa pekee hakufanyi ufaulu upande na elimu kuwa bora. bado kuna changamoto nyingi tu mfano upungufu wa walimu, uhaba wa vifaa vya kufundishia, mazingira duni ya kijifunzia na kufundsishia, miundombinu bora. sasa huyo mwalimu anataka kutudanganya kuwa walimu wakilipwa vizuri ndo elimu itakuwa bora, sio kweli. hivi walimu 3 wanaweza kufundisha kuanzia darasa la kwanza hadi la saba na matokeo yakawa mazuri.
 
Ni kweli matokeo makubwa sasa kwa upande wa elimu una mapungufu mengi, lakini walimu tusichukulie mapungufu hayo kuwa ngao ya kudai mishahara mikubwa bila kuangalia na mambo mengine. Chama chenu CWT wanajilipa mishahara mikubwa ili wapate nguvu ya kuwahamasisha kugoma wakati hata siku moja sijasikia wakisaidia mafunzo kazini, mwalimu akipata shida ugonjwa au kufiwa sijaona wakitoa msaada. kimekuwa chama cha wachache kuneemeka wakiwasukumizia walimu kugoma.
 
Acha ujinga wako kuna mtu alimulazimisha kwenda ualimu? si kwasababu ya kufeli kwako sekondari, leo unataka ulipwe mshahara mkubwa wakati hata kufundisha hujui.

Bora nihifadhi tu comment yangu inaweza kuwa "harsh" sana. By the way are you pinda?
 
Sawa nimekuelewa, lakini kumbuka kuwa kulipa mishahara mikubwa pekee hakufanyi ufaulu upande na elimu kuwa bora. bado kuna changamoto nyingi tu mfano upungufu wa walimu, uhaba wa vifaa vya kufundishia, mazingira duni ya kijifunzia na kufundsishia, miundombinu bora. sasa huyo mwalimu anataka kutudanganya kuwa walimu wakilipwa vizuri ndo elimu itakuwa bora, sio kweli. hivi walimu 3 wanaweza kufundisha kuanzia darasa la kwanza hadi la saba na matokeo yakawa mazuri.

Mkuu hii comment ilikuwa yako Mkondakaiye? Nafikiri hii ya juu ilikuja baada ya kuamka vizuri, thanks kwa kujirudi, ndio uungwana

Acha ujinga wako kuna mtu alimulazimisha kwenda ualimu? si kwasababu ya kufeli kwako sekondari, leo unataka ulipwe mshahara mkubwa wakati hata kufundisha hujui.

Mbona enzi ya UPE wale walimu waliofundisha bila manung'uniko ndio wmetoa maprofesa bora? wanafunzi mnaowafundisha hata kuongea kiswahili hawajui . kama hutaki kazi acha kabebe mizigo sokoni
 
Last edited by a moderator:
Big results now - is this a moto; objective; goal; mission; or vission?
How does it feature into the Ministry's goals and the 2013/14 education plans and budget?
 
Big result now haiwezekani kama walimu hawatathaminiwa ikiwemo kutendewa haki hasa katika kugawana keki ya taifa.
 
Mkuu hii comment ilikuwa yako Mkondakaiye? Nafikiri hii ya juu ilikuja baada ya kuamka vizuri, thanks kwa kujirudi, ndio uungwana

Comment zote ni zangu, ni kweli ile ya kwanza niliitoa kwa jazba kwasababu kuna watu wanadhani kuwa kulipwa sana ndo matokeo ya elimu bora, wana sahau kuwa kuna mambo mengine yanayotakiwa kufanywa.
 
Mbona jazba ndugu yetu?!

Kwanza acha lugha za kijijini, JF iko mjini usiichafue, sio ALIMULAZIMISHA, next time andika ALIMLAZAMISHA, sawa?

Wewe kama unaishi enzi za UPE hiyo ni wewe. Mwalimu anastahili kulipwa vyema ili tupate matokeo mazuri. Hao unaosema walizalishwa na UPE wakawa maprofesa wazuri ndio nani hao? Hawa kina Lipumba?


Nimejikuta natabasamu bure.....
 
Sera ya elimu Tanzania ni ipi?imefanyiwa tathmini na kubaini mapungufu yepi?
Tukipata majibu ya haya maswali ndo tuje na kaulimbiu yenye kuleta tija na si "big result now"
Kwenye kilimo walikuja na "kilimo kwanza" watu wakala shavu ya kuleta vijitrekta vidogo lakini hadi sasa kuna njaa ya kutisha kwa watanzania na uzalishaji umeshuka hadi kuleta mfumuko wa bei kupanda.
Hatua tuliyofikia kwa upande wa elimu baada ya miaka 50 ya uhuru ni ya kusikitisha.Mh.Mbatia alikuja na hoja bungeni waka mpuuza hadi sasa amebakiwa nayo.
Nimefanya utafiti katika Elimu kipengele nilichokiangalia cha kujiendeleza ki taalamu kimetupiwa kisogo.Walimu waliomaliza chuo miaka ya themanini hawajapatiwa mafunzo kazini kwa karibu kipindi chote cha utumishi wao,unatarijia tija?
"big result" Dar es salaam hotelini?
Tunacheza,tutajilaumu kumpuuza/kumkejeli/kumdharau mwalimu.
 
We unahangaika nini nchi ishauzwa?nenda class mara mbili kwa mwezi then wait for the full salary!FULL STOP.

kwanini umekuwa mwalimu hapa nikulaumu mawazo yako kuliko kumuonea third part ambaye ni mwanafunzi..
 
We unahangaika nini nchi ishauzwa?nenda class mara mbili kwa mwezi then wait for the full salary!FULL STOP.

Kazi mojawapo waliopewa maafisa elimu, wakaguzi na wakuu wa vyuo ni kufuatilia shule zinazofanya vibaya na kuchukua hatua kwa walimu wasiofundisha. So kama unaona ualimu haulipi acha hiyo kazi.

 
Kazi mojawapo waliopewa maafisa elimu, wakaguzi na wakuu wa vyuo ni kufuatilia shule zinazofanya vibaya na kuchukua hatua kwa walimu wasiofundisha. So kama unaona ualimu haulipi acha hiyo kazi.

Usinitishie wakaguzi na maafisa elimu wewe!
 
Home
[h=2]Amid `Big Results Now` campaigns:
DC orders school buildings changed into health facility![/h]
 
Je katika mazingira haya ya kufundishia na kujifunzia, hili linawezekana? Au ndiyo siasa katia ELIMU?
 
Back
Top Bottom