Jenchede
JF-Expert Member
- Jul 22, 2014
- 238
- 495
Habari za leo wanajukwaa. Heri ya siku ya pasaka.
Najua humu kuna wataalam mbalimbali, naomba kujua kwa mkoa wa iringa je miti ya mitiki inaweza kustawi?
Katika kupambana nimefanikiwa kununua shamba la hekari 20 katika Halmashauri ya Mafinga. Na malengo ni kupanda miti. Nimekua nikipitia jukwaa hili nikasikia mitiki nayo inathamani sana. Nilitamani kujua mazingira ya huko yanafaaa kwa kilimo hicho ili kwenye shamba hilo nichanganye miti yote milingoti, na mitiki
Kwa wenye ufahamu naomba kujuzwa juu ya hilo
Sent using Jamii Forums mobile app