Miti ya aina ya mitiki inaweza kustawi Wilaya Mufindi?

Miti ya aina ya mitiki inaweza kustawi Wilaya Mufindi?

Mitiki haikomai hata miaka 50! Sijawahi kuona sehemu wamevuna mitiki!
Duuh! Kazi kweli kweli. Jirani yangu kapanda 2010 taari anavuma Magogo makubwa Sana. Inategemea unapanda wapi, hali y hewa, mwinuko Toka usawa wa bahari, wastani wa Mvua na rutuba shambani.
 
Zipo dawa za kupunguza miaka so miaka nane Hadi kumi unavuna
Naweza PATA shamba la kuotesha miti pinus au milingoti Wilaya ya Mafinga na Bei ipoje kwa hekari? Nataka hekari 5 nilime,nifuge na kujenga nyumba humo humo
 
Back
Top Bottom