Miti inakua kutoka wapi? Mbona hatuoni shimo pale ulipotoka?

Mkuu kama umeishia Kidato cha nne swali lako halina maana kwani tayari ungekuwa na majibu.

Ili mti ukue utahitaji mambo Yafuatayo;
I. Udongo
2. Maji
3. mwanga

1. Udongo
Kidato cha nne Kama sio cha tatu kuna topic inaitwa "Soil" Kwa Kiswahili ndio huitwa UDONGO.
Udongo Una components/composition zake kama
i. Mwamba wa asili/mother rock/inorganic materials, hii ndio hutoa Madini/mineral kama madini ya chuma, calcium n.k lakini pia ndio ita-determine rangi ya udongo husika. Kama ni mweusi, mwekundu, au mweupe utatokana na Rangi ya mwamba wa asili
ii. Organic material (mimea na wanyama waliokufa kwenye udongo) hawa husaidia mmea kupata chakula kitamu chenye virutubisho vya ukuaji wa haraka.

iii. Water/ Maji haya hutumika kulainisha na kufanya decomposition ya mchakato wa utengenezaji wa udongo na chakula kwaaajilo ya mimea Kwa kushirikiana na Jotoridi(temperature) kusababisha chemical reaction

iv. Living Organisms/viumbe hai. Hapa kuna viumbe wadogo kabisa wanaoishi ndani ya udongo(macro and micro Organism)

V. Air/ hewa especially oxygen. Kwenye Udongo pia kuna hewa ya Oxygen na Carbon dioxide. Hewa ya Oxygen inasaidia wadudu wadogo waishio udongoni kupumua na kuwafanya waishi vizuri wakiwa udongo. Hewa na maji huingia udongoni kupitia soil space ambazo huitwa Soil pores (Soil porosity).
N.k
Udongo ndio chakula cha mti. Kwenye udongo kuna madini ambayo yanaumuhimu katika mmea kulingana na Aina ya mmea.
Kuna madini ya chuma, sulphate, nitrogen, calcium etc.

Kuna kitu kinaitwa Soil Formation. Yaani Kwa kimatumbi Kujitengeneza Kwa udongo.

Majibu ya swali Lako ndio yapo hapa.
Udongo unatabia ya kujizalisha/kujitengeneza kama ilivyo Kwa viumbe vingine. Ingawaje udongo bado haujatanabaishwa Kama kiumbe hai lakini unabaadhi ya tabia za viumbe hai kama kujizalisha (Reproduction/kuji-zalisha)

Soil formation ndio hufanya mtu hata uking"olewa usione uwiano wa chakula kilichotolewa udongoni kwenda kwenye mti na lile shimo lililobakia ardhini baada ya mti kung'olewa.
Hii ni Kwa sababu mtu unapokula virutubisho vya udongo, udongo nao unajizalisha.

Zingatia, ukuaji wa mimea na Miri kwenye mimea ni moja ya sababu inayopelekea uzalishaji na ukuaji wa udongo Kwa haraka na urahisi zaidi.

Hii ni tofauti na Maeneo yasiyo na Miti au mimea haya udongo haujizalishi Kwa haraka na ni rahisi kupata madhara kwani udongo unakuwa uchi. Kumbuka mimea na Miti ndio vazi la udongo.

Ili udongo usipate madhara ya weathering, mass wasting, soil erosion, basi itapasa mimea na Miti iwe juu yake kui-cover.

Kwa hiyo jibu la swali lako itakupasa uwe na Concepts kuhusu Udongo katika mambo haya;
i. Soil
ii. Soil composition
iii. Soil components
iv. Soil Formation
v. Soil profile

Ni Kama kwenye ngozi yako, ukiumia na kuchimbika, mwili unafanya mchakato wa kujitengeneza eneo Hilo Kurudi kama awali

Nafikiri Kwa kiasi kidogo utakuwa umepata majibu.
Mtu kama huyu jibu hili halimfai hawezi kukuelewa mkuu
 
Hueleweki na swali lako, kwani hujui kuwa mizizi iko chini ardhini au wajitoa ufaham
 
Go and ask bacteria called giberellae fujicroi which produces giberelic acid
 
Mkuu kama umeishia Kidato cha nne swali lako halina maana kwani tayari ungekuwa na majibu.

Ili mti ukue utahitaji mambo Yafuatayo;
I. Udongo
2. Maji
3. mwanga

1. Udongo
Kidato cha nne Kama sio cha tatu kuna topic inaitwa "Soil" Kwa Kiswahili ndio huitwa UDONGO.
Udongo Una components/composition zake kama
i. Mwamba wa asili/mother rock/inorganic materials, hii ndio hutoa Madini/mineral kama madini ya chuma, calcium n.k lakini pia ndio ita-determine rangi ya udongo husika. Kama ni mweusi, mwekundu, au mweupe utatokana na Rangi ya mwamba wa asili
ii. Organic material (mimea na wanyama waliokufa kwenye udongo) hawa husaidia mmea kupata chakula kitamu chenye virutubisho vya ukuaji wa haraka.

iii. Water/ Maji haya hutumika kulainisha na kufanya decomposition ya mchakato wa utengenezaji wa udongo na chakula kwaaajilo ya mimea Kwa kushirikiana na Jotoridi(temperature) kusababisha chemical reaction

iv. Living Organisms/viumbe hai. Hapa kuna viumbe wadogo kabisa wanaoishi ndani ya udongo(macro and micro Organism)

V. Air/ hewa especially oxygen. Kwenye Udongo pia kuna hewa ya Oxygen na Carbon dioxide. Hewa ya Oxygen inasaidia wadudu wadogo waishio udongoni kupumua na kuwafanya waishi vizuri wakiwa udongo. Hewa na maji huingia udongoni kupitia soil space ambazo huitwa Soil pores (Soil porosity).
N.k
Udongo ndio chakula cha mti. Kwenye udongo kuna madini ambayo yanaumuhimu katika mmea kulingana na Aina ya mmea.
Kuna madini ya chuma, sulphate, nitrogen, calcium etc.

Kuna kitu kinaitwa Soil Formation. Yaani Kwa kimatumbi Kujitengeneza Kwa udongo.

Majibu ya swali Lako ndio yapo hapa.
Udongo unatabia ya kujizalisha/kujitengeneza kama ilivyo Kwa viumbe vingine. Ingawaje udongo bado haujatanabaishwa Kama kiumbe hai lakini unabaadhi ya tabia za viumbe hai kama kujizalisha (Reproduction/kuji-zalisha)

Soil formation ndio hufanya mtu hata uking"olewa usione uwiano wa chakula kilichotolewa udongoni kwenda kwenye mti na lile shimo lililobakia ardhini baada ya mti kung'olewa.
Hii ni Kwa sababu mtu unapokula virutubisho vya udongo, udongo nao unajizalisha.

Zingatia, ukuaji wa mimea na Miri kwenye mimea ni moja ya sababu inayopelekea uzalishaji na ukuaji wa udongo Kwa haraka na urahisi zaidi.

Hii ni tofauti na Maeneo yasiyo na Miti au mimea haya udongo haujizalishi Kwa haraka na ni rahisi kupata madhara kwani udongo unakuwa uchi. Kumbuka mimea na Miti ndio vazi la udongo.

Ili udongo usipate madhara ya weathering, mass wasting, soil erosion, basi itapasa mimea na Miti iwe juu yake kui-cover.

Kwa hiyo jibu la swali lako itakupasa uwe na Concepts kuhusu Udongo katika mambo haya;
i. Soil
ii. Soil composition
iii. Soil components
iv. Soil Formation
v. Soil profile

Ni Kama kwenye ngozi yako, ukiumia na kuchimbika, mwili unafanya mchakato wa kujitengeneza eneo Hilo Kurudi kama awali

Nafikiri Kwa kiasi kidogo utakuwa umepata majibu.
Kwamba udongo unajizalisha ndiyo maana hatuoni shimo mti ulipotoka!!!?
 
😂😂mkuu kwani ww unakua unatoka wapi? Yani unakula ugali zinaongezeka nyama how ?
Mti huchukua nutrients kutoka ardhin Kisha huchanganya na air na sunlight hapo panatokea chemical reaction ambayo huform kitu tofaut ndo zle nyama za mtu kama ulisoma chemia kidogo form 1 characteristics of compound hua difference characters na zile components zilizo unda izo tofaut hua kote chemical na physical ndio chumvi chumvi,maji na air and sun vinaform mbao kwa urahisi tuseme zile ni byproduct za mti Yani kama ww ukienda chooni vle
Mimi nikila naona kabisa vitu vikiisha. Usifananishie na mtu. Lakini kiasi unaanza kueleweka. Sasa sehemu kubwa ya mti inatoka hewani au ardhini? Mbona hatuoni shimo pale chini kama ambavyo mimi naona unga ukiisha?
 
Kwamba udongo unajizalisha ndiyo maana hatuoni shimo mti ulipotoka!!!?

Nimekupa concept ya soil composition
Katika hizo composition ndipo chakula cha miti na mimea inapopatikana
Mimea haili tuu madini/miamba inakula pia wadudu waliokufa na mimea iliyooza.

Nikakutajia concept ya Soil formation.
Kwamba udongo unajizalisha hasa ukiwa na mimea na miti.
Zingatia mimea na miti inavuta Kwa ukaribu viumbe wengine Kama wadudu na kuangusha majani ambayo huoza.

Kwani wewe hukufika Kidato cha nne?
Maana swali ulilouliza linajibiwa na mtoto wa Kidato cha tatu au cha nne.

Swali lako ni Sawa uulize nywele ya binadamu ukiivuta kutoka kwenye ngozi Kwa nini haiachi shimo?

Udongo unajizalisha Kama ilivyo ngozi.
 
Mimi nikila naona kabisa vitu vikiisha. Usifananishie na mtu. Lakini kiasi unaanza kueleweka. Sasa sehemu kubwa ya mti inatoka hewani au ardhini?

Kingine,
Miti mikubwa uliyoiona haikui Kwa siku moja, inakula virutubisho kidogo kidogo na kukua polepole bila hata ya macho yako kuona.

Hoja yako ingekuwa na nguvu Kama miti hiyo mikubwa ingekuwa inakua Kwa siku moja.
Lakini inakula polepole na virutubisho huchukuliwa polepole.

Sio kama wewe unavyokula Ugali.
 
Nimekupa concept ya soil composition
Katika hizo composition ndipo chakula cha miti na mimea inapopatikana
Mimea haili tuu madini/miamba inakula pia wadudu waliokufa na mimea iliyooza.

Nikakutajia concept ya Soil formation.
Kwamba udongo unajizalisha hasa ukiwa na mimea na miti.
Zingatia mimea na miti inavuta Kwa ukaribu viumbe wengine Kama wadudu na kuangusha majani ambayo huoza.

Kwani wewe hukufika Kidato cha nne?
Maana swali ulilouliza linajibiwa na mtoto wa Kidato cha tatu au cha nne.

Swali lako ni Sawa uulize nywele ya binadamu ukiivuta kutoka kwenye ngozi Kwa nini haiachi shimo?

Udongo unajizalisha Kama ilivyo ngozi.
Umeamua tu kutengeneza swali lako na kujibu. Sijauliza mimi maswala ya soil formation. Mti wa kilo laki tano unatoka wapi? Mbona ulipoota hatuoni kilo laki tano zimetoka ardhini?
 
Kingine,
Miti mikubwa uliyoiona haikui Kwa siku moja, inakula virutubisho kidogo kidogo na kukua polepole bila hata ya macho yako kuona.

Hoja yako ingekuwa na nguvu Kama miti hiyo mikubwa ingekuwa inakua Kwa siku moja.
Lakini inakula polepole na virutubisho huchukuliwa polepole.

Sio kama wewe unavyokula Ugali.
Mimi nikiweka gunia labda kumi za mahindi ndani na kilo elfu kadhaa za nyama na kuanza kula ugali nyama kwa miaka kadhaa, nitaona ninavyokua na ghala la msosi linavyopungua. Sasa mti tunaona unakua tu kwenda juu lakini hatuoni ghala likipungua
 
Mimi nikiweka gunia labda kumi za mahindi ndani na kilo elfu kadhaa za nyama na kuanza kula ugali nyama kwa miaka kadhaa, nitaona ninavyokua na ghala la msosi linavyopungua. Sasa mti tunaona unakua tu kwenda juu lakini hatuoni ghala likipungua


Sasa nakushauri leo, chukua sahani mbili, moja iwe imejaa wali maharage, kisha ipime gramu au kilo zake.
Alafu sahani ya pili iwe tupu.
Kisha Kula chakula chote, alafu baada ya masaa Matano mpaka Saba utakunya.
Kanye hayo mavi yako kwenye Ile sahani ilivyokuwa tupu. Alafu yapime mavi yako yanagram au kilo ngapi.
Yatapungua gram kadhaa lakini sio gram nyingi Sana.

Hivyo ndivyo miti inavyofanya kazi katika udongo na nature inavyofanya kazi
 
Mimi nikiweka gunia labda kumi za mahindi ndani na kilo elfu kadhaa za nyama na kuanza kula ugali nyama kwa miaka kadhaa, nitaona ninavyokua na ghala la msosi linavyopungua. Sasa mti tunaona unakua tu kwenda juu lakini hatuoni ghala likipungua
Udongo sio chakula cha mmea bali some elements and molecules ambazo haviwezi affect ujazo wa Udongo vikiwa vinatumiwa na mmea
 
Umeamua tu kutengeneza swali lako na kujibu. Sijauliza mimi maswala ya soil formation. Mti wa kilo laki tano unatoka wapi? Mbona ulipoota hatuoni kilo laki tano zimetoka ardhini?

Nimekujibu mbona.

Swali lako ni lakitoto na wanawaza watu wajinga ambao hawajaenda Shule.

Ni Sawa uulize mbona dunia haizidi uzito ilhali idadi ya watu na wanyama inaongezeka kila iitwapo leo?

Hujasoma Nitrogen Cycle, Carbon Cycle, hydrological Cycle n.k.

Mimea inatoa chakula udongo na kukirudisha udongoni,
Halikadhalika na Wanyama, iweje useme huoni shimo? Au huoni Ardhi ikiisha?

Ndio maana nikakuambia mti Kama ungekuwa Kwa siku moja na hiyo Kilo Mia tano basi swali lako lingekuwa na mantiki kidogo.
Lakini unakua taratibu na kuchukua nutrients kidogo kidogo, kisha udongo nao unajidhalisha kidogo kidogo kuupa mti chakula.

Hujiulizi ni Kwa nini baadhi ya miti inakufa ikiwa michanga?
 
We ukinyoa mavuzi tele ushawahi kuona mashimo kwenye hicho kibumbumbu chako?
JamiiForums-2064770016.jpg
 
Mizizi inachukua nafasi ya udongo (minerals, nutrients) unaobadilishwa kuwa mti.

Kwani hujawahi kukuta mti umeng’olewa (kuanzia miziz yake), then ukaona BONGE la shimo utadhani pameangukiwa na kimondo cha Mbeya?
 
Back
Top Bottom