Akinitega nawekaKwanini mkuu
Naungana na wewe mkuu.Mnaendekeza ujinga tu, hakuna cha mbinu wala babake mbinu. Uwezi ukasema kila mwanamke anayekutaka unamkubali, wewe utakuwa hauko timamu au bado upo kwenye kula ujana kipumbavu.



Kunuka mdomo sio issue mkuu. Unavaa zako barakoa unakula mbususu kama kawa.Nimewah kukatalia pisi mbili kipindi niko chuo. Ukisikia pisi pisi kweli mpaka nikiwaambia washkaji zangu hawaamini hata wao hawaamini kama niliwakatalia.
Kuna mmoja tulianza mazoea kipindi iko ndo tumeanza first year mpaka akasababisha nikaachana na manzi angu ambae huwa najuta kumpoteza baada ya kuchukizwa na ukaribu tuliokuwa nao maana ilikua too much.
To make it short, huyu dada alifanikiwa kulala kwangu zaidi ya mara 5 and we didi foreplay so many times but mashine iligoma kusimama sababu sikuwa na hisia nae.
Mwingine alikua rafiki wa manzi angu ambae nimewah kuleta uzi wake humu.
Huyu manzi kuna kipindi alipata sup namimi nilikua around chuo by then maana sikusafiri nilibaki kufanya field tukawa tunawasiliana before hajaja ukizingatia ni shem wangu akawa anadai akija nikampokee stendi nikakubali. Siku anakuja nilienda kumpokea akasema hana pakufikia anaomba afikie kwangu nikamkubalia.
Kiufupi,.. huyu dada alikua ni bonge moja la pisi lakini mashine iligoma kusimama licha ya mbinu zake zote maana nilishapata habari kuwa ana umeme na kweli nikiunganisha dots nikajua ni kweli ukizingatia nilishaponea chupuchupu kuukwaa huo ugonjwa hisia zangu zikastack kabisa and good enough siku zilzofuata aliingia period ndo ikawa ponapona yangu alvomaliza sup akaondoka.
Ila kusema kweli nilijutia maamuzi yangu
Huyo manzi wa pili alokua shem wangu nmefanikiwa kupita nae juzi. Saiv anauza ubuyu na anafanya delivery. Juz alipost ubuyu status nikamwambia aniletee akaja geto tukapiga show moja ya kibabe.
Saiv tunadate ila mguu mmoja ndani mwingine nje
Huyo wa kwanza kwakweli apana ni pisi kali kweli kweli na imetulia lakini inanuka mdomo na sijawah kuiambia na sjui naanzia wapi ila naitamani haswaa, now anakaa jirani na mkoa ninaokaa na inanipenda sana. Nipeni mbinu
PENYE MITI HAPANA WAJENZI
Huko sio kuwakatalia ni vile tu mashine imefeli,Nimewah kukatalia pisi mbili kipindi niko chuo. Ukisikia pisi pisi kweli mpaka nikiwaambia washkaji zangu hawaamini hata wao hawaamini kama niliwakatalia.
Kuna mmoja tulianza mazoea kipindi iko ndo tumeanza first year mpaka akasababisha nikaachana na manzi angu ambae huwa najuta kumpoteza baada ya kuchukizwa na ukaribu tuliokuwa nao maana ilikua too much.
To make it short, huyu dada alifanikiwa kulala kwangu zaidi ya mara 5 and we didi foreplay so many times but mashine iligoma kusimama sababu sikuwa na hisia nae.
Mwingine alikua rafiki wa manzi angu ambae nimewah kuleta uzi wake humu.
Huyu manzi kuna kipindi alipata sup namimi nilikua around chuo by then maana sikusafiri nilibaki kufanya field tukawa tunawasiliana before hajaja ukizingatia ni shem wangu akawa anadai akija nikampokee stendi nikakubali. Siku anakuja nilienda kumpokea akasema hana pakufikia anaomba afikie kwangu nikamkubalia.
Kiufupi,.. huyu dada alikua ni bonge moja la pisi lakini mashine iligoma kusimama licha ya mbinu zake zote maana nilishapata habari kuwa ana umeme na kweli nikiunganisha dots nikajua ni kweli ukizingatia nilishaponea chupuchupu kuukwaa huo ugonjwa hisia zangu zikastack kabisa and good enough siku zilzofuata aliingia period ndo ikawa ponapona yangu alvomaliza sup akaondoka.
Ila kusema kweli nilijutia maamuzi yangu
Huyo manzi wa pili alokua shem wangu nmefanikiwa kupita nae juzi. Saiv anauza ubuyu na anafanya delivery. Juz alipost ubuyu status nikamwambia aniletee akaja geto tukapiga show moja ya kibabe.
Saiv tunadate ila mguu mmoja ndani mwingine nje
Huyo wa kwanza kwakweli apana ni pisi kali kweli kweli na imetulia lakini inanuka mdomo na sijawah kuiambia na sjui naanzia wapi ila naitamani haswaa, now anakaa jirani na mkoa ninaokaa na inanipenda sana. Nipeni mbinu
PENYE MITI HAPANA WAJENZI
Mkuu Yusufu alikimbia ubakwaji sio ushawishi. Kuna utofauti mkubwa hapo.Yusufu pekee aliweza kuchomoka ktk dhambi hii, alikamatwa na mke wa waziri mkuu azini naye lakini alifanikiwa kukimbia na kumwachia vazi lake ambalo yule mama alimwonyesha mume wake eti Yusufu alitaka kumbaka. Tumheshimu Mungu.
Tofauti yake ipi, maana Yusufu alipewa kusimamia mambo yote ya familia ile, akisaidiana kwa ukaribu na mke wa bosi wake. Nafikiri kujaribu kumkamata kwa nguvu ilikuwa baada ya kushindwa kumshawishi kwa njia za kawaida!! Aliruka viunziMkuu Yusufu alikimbia ubakwaji sio ushawishi. Kuna utofauti mkubwa hapo.
Nyege zipo 24/7 unless uwe mgonjwaWanaume wenzangu, kwa nini ni ngumu Sana kuchomoa mtego wa mwanamke akikutaka kimapenzi?
Wanawake wakitongozwa wengi huweza kupangua mashambulizi tofauti kabisa na upande wa pili. Yaani mrembo akutake na akuwekee mtego Matata unachomokaje?
Ladies labda mtuuzie mbinu za kivita, Kama kuhonga tunajua hamuwezi, ni kwanini wanaume wengi hawatoki kwenye mtego?
Kuna watu watakuja kusema wana msimamo nami nitawaambia aidha Siyo pisi Kali au hajakutaka. Akikutaka huchomoki nakwambia.
Uzi tayari
Kuchomoka kwenye purukushani ya vile ni kusema tuwa umekimbia kubakwa, sio kushawishiwa. Kama Samson angebaki na msimamo kwa Delila tungesema amekwepa kiunzi cha tongozo la mwanamke.Tofauti yake ipi, maana Yusufu alipewa kusimamia mambo yote ya familia ile, akisaidiana kwa ukaribu na mke wa bosi wake. Nafikiri kujaribu kumkamata kwa nguvu ilikuwa baada ya kushindwa kumshawishi kwa njia za kawaida!! Aliruka viunzi
Sasa we unaogopa hilo tu?Ukichomoa anakuzushia jogoo hawiki.
Ndiyo alikuwa naoKwenye maandiko yusuphu alikufa akiwa na watoto? Isije ikawa alikimbia kuficha aibu