tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 499
Nasikitishwa kila kukicha kampuni hii ya simu za mikononi kuibia wateja wake , na kubadili vifurushi vyake vya muda wa maongezi na internet kila kukicha najua lengo ni kuwaibia watanzania tu, yaani hiinchi yetu imekuwa kama amna utawala (serikali) nasikitika sana kampuni kufanya vyovyote watakavyo mbona tigo na airtel wametulia sana , acheni wizi kama biashara mmeshidwa ondokeni!!