kamanda5ch
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 210
- 285
Hamia airtel bana,saka kifurushi cha maana piga *148*88# kuna vifurushi vya Mungu wangu (OMG)
Airtel ndio wezi kabisa ,juzi nilinunua bundle la 2.5GB usiku halafu sikutumia internet then ausubuhi nikacheki mail ,bundle likakata, nikaona poa nikanunua tena 2.5GB nikacheki mail na fb na jf kidogo kesho yake asubuhi limekata sasa hivi na laini yenyewe nimeitupa