Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

Mitandao ya simu: Kuna nini nyuma ya pazia?

hii tabia ya kutuongezea dakika za maongezi halafu wanaweka mb. 8 wanataka watanzania tupoteze muda mwingi kuongea kuliko kutafiti habari za kidunia
 
Nakuomba usiifanyie promo zantel. Ukifanya ivo watu wote watamiminika zantel na kuharibu myandao. Zantel ni rahisi kwasababu wanavuta wateja tuuu.
Please tuachieni zantel yetu ,tunachuruza ma data tu bila mushkeli msije tafadhali!
 
Haina ubishi na ujinga wa sasa unapewa mb 8 Voda iwe buku au jero pumbavu huu ni uxen*** g
 
Nakumbuka kuna siku Chief-Mkwawa alisema haya yote yanafanywa na TCRA kwasababu mabadiliko hasa kwenye menu za mitandao yote yanaratibiwa na TCRA na yanatokea ndani ya siku moja kwa pamoja. Sasa kwa mb 8 utafanyia nin nazo?? Hawa TCRA wanataka nin kwa watanzania??
Tatizo tu hapa ni hali yetu ya kiuchumi tu na wametuzoesha hivyo na sie tukaji-adjust hivyo kulingana na ofa zao za unanunua kifurushi unapata dakika, sms na bundle vinginevyo unaweza ukanunua kifurushi cha internet na ukapata bundle za kutosha ukaepusha hata salio lako lisiliwe maana voda nao sms ya kifurushi inakuja baada ya bundle kuwa imeisha na salio kama ulikuwa nalo linakombwa ndio inakuja sms ya kifurushi kimeisha
 
Makampuni ya sim tz ni wanyonyaji sana tena
 
Asee nilikua sijui bhana nimejiunga na tigo leo asubuhi kifurushi cha 499 nidownlod nyimbo nimedownlod moja tu inakuja masage nimebakiwa na mb 5 nikapiga simu customer nilichojibiwa ndo nakikuta hapa now naperuzi kwa mb 1 tu!
 
Hivi kuna sababu gani gharama za Internet kuwa juu kwa kiasi hiki? Hawa viongozi hawaoni wala wahasiki. Facebook na Google wanataka internet iwe bure Leo haya makampuni ya simu wanapunguza data. Internet sio luxury jamani ni kitu muhimu kuna vijana sisi hatuna kazi tuna tafuta kazi online hivi Mb 8 zinatosha? Basi na sisi October kura zetu hazitatosha.
 
airtel watafanya soon, hiyo ndiyo tabia ya 'oligopolists'-a move by one giant oligopolist is followed by others.

Mbona tayari kwenye YATOSHA? haifai tena maana ni majanga, mi nimehamia *149*81#
 
Back
Top Bottom