Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
<br />miss top modo, ni <br />
Miss pesornalitz<br />
Miss ubwabwa<br />
Miss mahips <br />
Majina tafadhar
<br />
Wife vipi mbona kimya tena?
<br />miss top modo, ni <br />
Miss pesornalitz<br />
Miss ubwabwa<br />
Miss mahips <br />
Majina tafadhar
Hahahah...mbavu sina!!Unachagua kutumia lugha gani? Kiswahili Tafazari. Tuna mrima kilimanjaro na pili mrima uliopata nafasi namba tatu hii inaonyesha Mrima wa kilimanjaro upo juu kama huyu mrembo!,
<br />sasa ndugu,ww uzalendo wako unaonesha kwa kukodolea hiyo miss vodacom kwenye tv? ina maana ungekuwa na ticket ungeenda pamoja na huzuni zako? naona kama huu uzi uko kiuchochezi zaidi,manake ningetegemea ungekua kwenye swala nzito kuwaombea ambao wako majini mungu awatunze na waokoaji wapate nguvu ya kuendelea kuwasaka!<br />
na wasiwasi wako hasa ni nini? kuwa kuna uhusiano wa miss tz na hii ajali ama?<br />
<br /><br />
<br />
<br />Miss TZ 2011 bibie Salha kwa kuwa umepatikana siku ya janga la taifa tunakuomba uende Z'bar kuwapa pole wafiwa na iwe assignment yako ya kwanza baada ya hapo nitaonana na Lundenga tuonane rasmi