Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,113
freethinker, Ruhazwe JR na Nicas Mtei huu uzi nimeuanzisha kwa nia ya kutoa shukrani zangu kwa wana CC na member wote wa JF kwa ujumla.
Mkisoma thread yote kwa makini nadhani mtaona hakuna sehemu yoyote niliyolalamika. Nawaomba malalamishi na ugomvi wenu mfungue thread muanze kuulizana. na kujibizana huko tafadhalini.......
Siku njema.....
mkuu Nicas Mtei wewe ni friend wangu kule upande mwingine(fb),uliwahi kuniuliza swali hili?,nadhani ni vema ungeniuliza direct mimi kuliko kuja kumuuliza mtu mwingine
mara nyingi nakuwemo humu.
Habari zenu wapendwa wanaChitChat??
Awali ya yote napenda kutoa shukrani zangu za kwa Uongozi wa Jamii Forums kwani bila wao kutoa ushirikiano shindano hili lisingefanikiwa.
Kama muonavyo hiyo BADGE (gold membership) hapo pembeni yangu ndio zawadi mliyonitunuku pamoja na airtime.
Pili napenda kuishukuru familia yangu ya Chitchat ikiongozwa na my lovely daddy watu8 ambaye pia alikuwa kampeni manager wangu kwa ushirikiano wa hali na mali. Mama yangu mpendwa measkron na dada zangu wapendwa sweetlady, WiseLady, kaka yetu wa hiyari Davie S.M, cousins ladyfurahia pamoja na FirstLady.
Sijawasahau Chitchat friends ikiongozwa na Erickb52, shostito wa ukwenhe Elizabeth Dominick, Evelyn Salt wote hao niliowataja na ambao sijawataja ila walinipigia kura asanteni saaaana. Sina cha kuwalipa ila mbarikiwe saaana.
Sitakuwa na busara kuwasahau members wooote wa JF walio nje ya Chitchat kwani nina imani kubwa wao ndio waliofanikisha ushindi wangu.....
Nimesubiri sana nitangazwe rasmi ila naona bado nimeamua kujitangaza rasmi kuwa mie ndie natetea taji la MISS CHITCHAT kwa mwaka wa 2012....
Ng'wabeja gheteghete bhakima na bhagosha! Mulungu amsungulile lubango!
na humu pia hujawi kuniuliza private...anyways tutatafutana
Wapendwa katika bwana,msigombane kwaajili yangu.sijisikii sawa kabisa kuona malumbano juu yangu,ingawa natambua hisia za ndani ya moyo wa charminglady hadi kutopelekea kutambua ufanikishaji wangu katika thread yake.lakini pia natambua hisi za ndani ya moyo wa Free Thinker hadi kumpelekea kuyatamka hayo ndani ya uzi huu.all in all nawasihi sana MSIGOMBANE
Una akili sana wewe!
freethinker, Ruhazwe JR na Nicas Mtei huu uzi nimeuanzisha kwa nia ya kutoa shukrani zangu kwa wana CC na member wote wa JF kwa ujumla.
Mkisoma thread yote kwa makini nadhani mtaona hakuna sehemu yoyote niliyolalamika. Nawaomba malalamishi na ugomvi wenu mfungue thread muanze kuulizana. na kujibizana huko tafadhalini.......
Siku njema.....
Hebu tuambie hayo matatizo makubwa aliyopata.
Nawe barikiwa saaaana Mpenda Yesu... Nimesema "nawashuru niliowataja na nisiowataja!!!!
hee hongera my cousin nami nasubiri kwa hamu kubwa kama mwaka huu naweza kushinda hilo taji unikabidhi manyanga hayo ila kinyanyiro ni kingi sijui kama nitashinda best? acha nikupe zawadi hii kiss mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Habari wakubwa kwa wadogo!
Kwa niaba ya charminglady JF Miss Chit-chat 2012, napenda kuchukua fursa hii kuelekeza shukrani zangu za dhati kwa Mungu kwa kutuvusha mwaka 2012 na kuuona mwaka 2013 zaidi sana kwa kumuwezesha charminglady kuchukua taji la JF Miss Chit-chat 2012.
Zaidi napenda kuelekeza shukrani kwa mkuu Ruhazwe JR, kaka Mungu aendelee kukupa uzima na siha njema. Shukrani pia ziwaendee wale wote walitumia muda wao kupiga kura iwe kwa kutumia kompyuta au simu zao, napenda kuwa taarifu kuwa kura zenu hazikupotea bure.
Kiukweli ni ngumu kumshukuru mtu mmoja mmoja maana waliotoa "support" ni wengi mno, ila wengi wao walitokea Jukwaa la MMU, Siasa, Photo, Hoja Mchanganyiko na Chitchat.
Pili shukrani za pekee ziende kwa familia yangu ya Mr.watu8 na Mrs. measkron,watoto WiseLady, charminglady, sweetlady, beibe nasty na Davie S.M. Pia sina budi kumshukuru mkwe wangu C6 na marafikize Nicas Mtei na Erickb52.
Tatu kwa wadau ambao waliweza kufanikisha suala zima la udhamini na ufadhili ambao kwa asilimia kubwa umemwangukia mshindi wa taji hili, ambao nilikutana nao katika harakati za kampeni na ndugu hao kwa moyo mkunjufu wakaweza kutunisha kapu la zawadi, nao ni kaka yangu masopakyindi na mkuu Samaritan
watu8
Charminglady's Campaign Manager
Mkuu watu8, sidhani kama nastahili hiyo pongezi kiongozi ila nisisite kuonyesha shukurani za dhati kwa kuonyesha moyo wa kipekee wa kushukuru hata kwa hicho kiwango kidogo, ubarikiwe sana.
Pili, unaweza kama ni tukio dogo lakini kuna kitu unajifunza kupitia kuratibu hizo kampeni, kila uzoefu unaoupata unakua na faida kama sio sasa baadae.
Mwisho kabisa nitume hongera kwa Miss charminglady kwa kutwaa taji 2012 na mkuu Ruhazwe JR kwa kuratibu mchakato. Mungu akitujalia tutafanya vizuri zaidi wakati mwingine.
Mbarikiwe sana