kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 496
Makinda anahaki kuwapigania wabunge kuongezwa mishahara yao,kama jkiongozi wao,Bunge sio serikali,wabunge siku zote wamepiga kelele kuongezwa kwa mishahara ya wafanyakazia wakul;aumiwa ni serikali sio mama makinda,she is right kwa alilofanya