Mishahara ya Wabunge TZ, KE na UG

Mishahara ya Wabunge TZ, KE na UG

Kama ata mishahara unakopa na bado unashabikia posho iongezwe sasa ela ya kulipa izo posho itatoka wapi?
Ivi kenya na Uganda nao wanakopa bank na mifuko ya jamii kulipa wafanyakazi mishahara
 
maisha yamepanda kwa nchi nzima na sio dodoma peke yake na hii ni kutokana na uchumi wetu ulivyo kwa sasa kila kukicha unazidi kuporomoka hivyo ni jambo la busara kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wote na sio wabunge peke yao.
 
Uganda: 19,000,000 Million Ugsh (12,512,184.99 TZS),190 million shillings (125,552,859.19 TZS) per MP to purchase cars

Kenya:
Below is a Kenyan MPs total salary per month

Basic salary = Sh. 395,000
A minimum commuted mileage = Sh. 75,000

Entertainment allowance = Sh. 60,000
Extraneous allowance = Sh. 30,000

House allowance = Sh. 70,000

Monthly car maintenance allowance = Sh. 247,000.

Gym membership allowance = Sh. 2,000.
Vehicle fixed cost allowance = Sh. 336,000
Committee meeting allowance = Sh. 40,000

Constituency allowance = Sh. 50,000
TOTAL TAX FREE = Sh. 1,305,000 (23,819,188.69 TZS)

TANZANIA:
7 million per Month, office of the legislator are stationeries, water, power and telecommunication and all this costs 735,000/- per month.90 MILLION Shilling per MP to purchase car.Daily sitting allowance of TSh70,000 and per diem of TSh55,000.


My take:
Kama tofauti ni kubwa kati ya wabunge wa Tanzania,Kenya na Uganda na ni Tanzania pekee wabunge wanapokea pesa kidogo sana kwa nini wasiongezewe zaidi.Ni halali yao kudai malipo zaidi na kazi zao majimboni ni zaidi ya tunavyofikiria.

Umeangalia KULA tu.... Ungeonyesha na mavuno ya hizi nchi mfano pato la taifa kwa mwaka, wanakusanya kiasi gani cha kodi nk. tungeweza kufanya a fair comparision. Otherwise inakuwa haina mashiko hoja yako.
 
Tatizo wabongo we are not creative,always tunaangalia upande mmoja wa shilingi.hivi kwa nini tunaubinafsi kiasi hiki?the only solution ni mageuzi.
 
Uganda: 19,000,000 Million Ugsh (12,512,184.99 TZS),190 million shillings (125,552,859.19 TZS) per MP to purchase cars

Kenya:
Below is a Kenyan MPs total salary per month

Basic salary = Sh. 395,000
A minimum commuted mileage = Sh. 75,000

Entertainment allowance = Sh. 60,000
Extraneous allowance = Sh. 30,000

House allowance = Sh. 70,000

Monthly car maintenance allowance = Sh. 247,000.

Gym membership allowance = Sh. 2,000.
Vehicle fixed cost allowance = Sh. 336,000
Committee meeting allowance = Sh. 40,000

Constituency allowance = Sh. 50,000
TOTAL TAX FREE = Sh. 1,305,000 (23,819,188.69 TZS)

TANZANIA:
7 million per Month, office of the legislator are stationeries, water, power and telecommunication and all this costs 735,000/- per month.90 MILLION Shilling per MP to purchase car.Daily sitting allowance of TSh70,000 and per diem of TSh55,000.


My take:
Kama tofauti ni kubwa kati ya wabunge wa Tanzania,Kenya na Uganda na ni Tanzania pekee wabunge wanapokea pesa kidogo sana kwa nini wasiongezewe zaidi.Ni halali yao kudai malipo zaidi na kazi zao majimboni ni zaidi ya tunavyofikiria.

Mkuu tumekusoma vyema, tumekuelewa, isipokuwa unakosea sana kuangalia upande mmoja tu kama rungu la kimasai. Tafadhali geuka angalia na upande wa pili, uchumi wa kenya uko juu kuliko wa wetu, elimu yao iko juu zaidi, idadi ya watu kwao iko chini, thamani ya pesa zao iko juu mara 18 zaid ya pesa zetu nk. Hoja yako ingekuwa na mantiki kama kupanda kwa mishahara ya wabunge ingeenda sambamba na kupanda uchumi wa nchi. Wabungu wetu lazima wajifunze kuwa wachumia nchi na sio wachumia matumbo yao wenyewe tu kama walivyo sasa. Elimika mkubwa acha ushabiki wa usiokuwa na mantiki. Sawa!!!
 
Uganda: 19,000,000 Million Ugsh (12,512,184.99 TZS),190 million shillings (125,552,859.19 TZS) per MP to purchase cars

Kenya:
Below is a Kenyan MPs total salary per month

Basic salary = Sh. 395,000
A minimum commuted mileage = Sh. 75,000

Entertainment allowance = Sh. 60,000
Extraneous allowance = Sh. 30,000

House allowance = Sh. 70,000

Monthly car maintenance allowance = Sh. 247,000.

Gym membership allowance = Sh. 2,000.
Vehicle fixed cost allowance = Sh. 336,000
Committee meeting allowance = Sh. 40,000

Constituency allowance = Sh. 50,000
TOTAL TAX FREE = Sh. 1,305,000 (23,819,188.69 TZS)

TANZANIA:
7 million per Month, office of the legislator are stationeries, water, power and telecommunication and all this costs 735,000/- per month.90 MILLION Shilling per MP to purchase car.Daily sitting allowance of TSh70,000 and per diem of TSh55,000.


My take:
Kama tofauti ni kubwa kati ya wabunge wa Tanzania,Kenya na Uganda na ni Tanzania pekee wabunge wanapokea pesa kidogo sana kwa nini wasiongezewe zaidi.Ni halali yao kudai malipo zaidi na kazi zao majimboni ni zaidi ya tunavyofikiria.

Wabunge Kenya wana stahili malipo hayo kulingana na kazi wanayo fanya ya kuisimamia serekali Kenya kwa sasa ufisadi ni kitanzi kwa viongozi ukijaribu wabunge hawa kuvumilii utatolewa tu, hii imechangia kodi ina kusanywa vizuri uhumi wao uko juu tofauti na Tanzania wabunge wetu kazi Yao ni kukwapua kiongozi mahiri ni yule anae kwapua zaidi mfano wa wakwapuaji wanaolindwa na dola na wabunge wameshindwa kuibana serekali, ni Lowasa na Richmond Chenge na Rada Rostam na kagoda mkapa na Mikataba ya Madini na uozo kibao sasa wanataka kuongezewa posho kwa kazi gani
 
Hii analysis haijakalimilika kwa upande wa Tanzania. Wabunge wa Kenya & Uganda inajulikana how much wanapata kwa mwezi (all inclusive). Hapa kwetu Tanzania mambo hayajanyooka. Yes, wabunge wana basic salary, lakini hizi seating allowances kwa mwizi zinafikia kiasi gani? Hapa ndio kuna wizi wa mchana kweupe. Tukumbuke wabunge wanalipwa hizi seating allowance kwa kila warsha/ mkutano wanayohudhuria. Yaani ni kama mwalimu kulipwa kwa kila kipindi anachofundisha (mbali za mshahara). Akiwa na vipindi vinne kwa siku analipwa kwa kila kipindi.

Inabidi tukae chini na kujumlisha hizi number ili kupata picha halisi ya malipo wanayopata wabunge wetu. Itashtua wengi.

Kila kitu kinaeleweka,kama hujui hesabu tafuta mtu akusaidie kukokotoa.
seating allowances zinatolewa during sessions na baada ya sessions kuna salary na allowances,zote hazifiki kwa uganda na kenya
 
My take:
Kama tofauti ni kubwa kati ya wabunge wa Tanzania,Kenya na Uganda na ni Tanzania pekee wabunge wanapokea pesa kidogo sana kwa nini wasiongezewe zaidi.Ni halali yao kudai malipo zaidi na kazi zao majimboni ni zaidi ya tunavyofikiria.
[/QUOTE] A Lame conclusion! Kama wewe ni mbunge ama umetumwa kuwatetea ujue si wananchi wote wajinga kiasi hicho...kwanza linganisha hali ya uchumi wa nchi hizo , km pato la taifa nk kabla ya kukubali kutetea wizi na ubinafsi uliopitiliza.
 
Makinda anahaki kuwapigania wabunge kuongezwa mishahara yao,kama jkiongozi wao,Bunge sio serikali,wabunge siku zote wamepiga kelele kuongezwa kwa mishahara ya wafanyakazia wakul;aumiwa ni serikali sio mama makinda,she is right kwa alilofanya

mkuu unakosea unaposema ivo kuwa makinda yuko sawa. Ivi maisha magumu yako kwao tu? We mwl analipwa 122,325 kwa mwezi afu we unasema yuko sawa! Ube kuwa mzalendo mkuu!
 
huyu jamaa kapata wapi hizi data? atupe ushahidi asije akatoka mtu na fikra zake tu akaja kuchanganya watu hapa.
 
Solution ya ongezeko la posho za wabunge mbona ni rahisi.

Walimu wote kuanzia ngazi ya cheti mpaka wahadhiri wa vyuoni kugoma maana maisha yamepanda na nyumba za kupanga maeneo wanayoishi zimepanda sana bei. Bila ya laki 200,000 kwa mwezi hupati nyumba ya kuishi. Kuna ndugu na jamaa zao pia na wanataka kuchangia harusi na misiba.

Madakatari wote na wahudumu sekta ya afya kugoma maana maisha yamepanda na nyumba za kupanga maeneo tunayoishi zimepanda sana bei. Bila ya laki 200,000 kwa mwezi hupati nyumba ya kuishi. Kuna ndugu na jamaa zao pia na wanataka kuchangia harusi na misiba.

Polisi na wafanyakazi wote sekta ya usalama wa raia, jeshi na mahakama kugoma maana maisha yamepanda na nyumba za kupanga maeneo tunayoishi zimepanda sana bei. Bila ya laki 200,000 kwa mwezi hupati nyumba ya kuishi. Kuna ndugu na jamaa zao pia na wanataka kuchangia harusi na misiba.

Naunga mkono hoja mia
 
Wewe mbunge acha zako hizo kazi wanazofanya majimboni mwao ni zipi wakati asilimia kubwa wanaishi dar???wanaenda majimboni wakati wa uchaguzi wee ni wa wapi??naona uko kishabiki zaidi.
 
Don't compare mishahara ya wabunge wetu na ya wengine. Angalia GDP ya kenya kwa mfano....huwezi kulinganisha na ya tanzania. so you are comparing apples and oranges...
 
Mtoa mada nina wasiwasi na wewe,kama sio mbunge basi unafaidika kwa namna moja na mishahara ya wabunge. Uwezi ukatuletea upupu wako hapa kulinganishe kenya na tz ni nchi mbili tofauti.Kenya hawakopi kwenya mabenki kwa ajiri bajeti,sisi tunakopa kwenye tasisi binafsi zenye riba kubwa. Tendo ambalo halijawahi tokea tangia iumbwe tanganyinga. Mpaka hapa tulipo fikia huoni kama tupo hali mbaya kiuchumi? Hata hili kuliona linaitaji phd?Mfano mdogo tu nakupa,una kijana wako anasoma. Hiyo shule anasoma kunavijana wenzake wanagewa pocket money sh 10,000 5,000 na yeye anagewa sh 500.Kesho akirudi nyumbani anakwambia baba na mimi nataka unipe pocket money sh10,000 au sh5,000 kama wenzangu wanazogewa. Huku akijua fiki kama ile pesa anayogewa ni faida yote ktk biashara ya mama ya mandazi. Je kwa upunguani alioufanya,utahisi kama elimu aliyo ipata ina msaada kwake? Je na kama haina msaada kwake unahisi hata kwa wengine elimu yake itawasaidia? .Tafakari
 
Wanasiasa wa Afrca wote ni wezi, sasa unachotaka kutufananishia hapa ni kiasi gani huo wizi unatofautiana, kwa hiyo kama kenya wanaibia zaidi wananchi wao unawashauri wa Tanzania nao watuibie zaidi. Mbunge wa Kenya anamzidi hata senator wa Marekani mshahara, ulishawahi kusikia hao maseneta wanasema mbona Kenya tunawzidi maendeleo lakini wanatuzidi mishahara.

Issue hapa ni wanasiasa wa Kiafrika kujali matumbo yao na kusahau kugawana rasimilimali ya taifa kwa uwiano sahihi.

USA senator's salary = $165,000/year
Kenyan MP earn = $212,904 per year
Canadian MPS =
basic salary of $157,731 per year
England (2009 salaries for MPs) = is £64,766 per annum sijui kama imebadilika ($101,475)




 
Wanasiasa wa Afrca wote ni wezi, sasa unachotaka kutufananishia hapa ni kiasi gani huo wizi unatofautiana, kwa hiyo kama kenya wanaibia zaidi wananchi wao unawashauri wa Tanzania nao watuibie zaidi. Mbunge wa Kenya anamzidi hata senator wa Marekani mshahara, ulishawahi kusikia hao maseneta wanasema mbona Kenya tunawzidi maendeleo lakini wanatuzidi mishahara.

Issue hapa ni wanasiasa wa Kiafrika kujali matumbo yao na kusahau kugawana rasimilimali ya taifa kwa uwiano sahihi.

USA senator's salary = $165,000/year
Kenyan MP earn = $212,904 per year
Canadian MPS =
basic salary of $157,731 per year
England (2009 salaries for MPs) = is £64,766 per annum sijui kama imebadilika ($101,475)

Halafu mwisho wa siku wakuu wetu wanatuambia wasiposafiri kwenda kuomba tutakufa njaa. Tuweke itikadi pembeni wote tuseme hapana kwa huu wizi maana unatuumiza wote.




 
Uganda: 19,000,000 Million Ugsh (12,512,184.99 TZS),190 million shillings (125,552,859.19 TZS) per MP to purchase cars

Kenya:
Below is a Kenyan MPs total salary per month

Basic salary = Sh. 395,000
A minimum commuted mileage = Sh. 75,000

Entertainment allowance = Sh. 60,000
Extraneous allowance = Sh. 30,000

House allowance = Sh. 70,000

Monthly car maintenance allowance = Sh. 247,000.

Gym membership allowance = Sh. 2,000.
Vehicle fixed cost allowance = Sh. 336,000
Committee meeting allowance = Sh. 40,000

Constituency allowance = Sh. 50,000
TOTAL TAX FREE = Sh. 1,305,000 (23,819,188.69 TZS)

TANZANIA:
7 million per Month, office of the legislator are stationeries, water, power and telecommunication and all this costs 735,000/- per month.90 MILLION Shilling per MP to purchase car.Daily sitting allowance of TSh70,000 and per diem of TSh55,000.


My take:
Kama tofauti ni kubwa kati ya wabunge wa Tanzania,Kenya na Uganda na ni Tanzania pekee wabunge wanapokea pesa kidogo sana kwa nini wasiongezewe zaidi.Ni halali yao kudai malipo zaidi na kazi zao majimboni ni zaidi ya tunavyofikiria.

Hebu soma ukweli huu hapa chini kabla ya kuendela na haya madai yako
Tanzania’s persistent economic poverty belies its potential wealth. The country[1] has long dwelled in peace, generally avoiding the cross-border conflict and domestic unrest that has undercut several of its neighbors. Its assets and opportunities are vast, including an 800-kilometer coastline, an international port, abundant natural resources, shared regional and international languages, and diminishing trade barriers in its regional markets. Tanzania is the world’s 31st largest country in land mass, with the 30th largest population (more than 40 million).[2] Its territory includes the world’s sixth largest lake and Africa’s highest mountain.

Although Tanzania’s future may more fully incorporate opportunities in trade, tourism, and industrial growth, its present is very much grounded in agriculture. Among all the world’s countries, Tanzania’s gross domestic product (GDP) is the fifth most dependent on agriculture—about 45%.[3] At least 76% of the population works in the agricultural sector. Tanzania has the world’s 18th lowest rate of urbanization: just 25% of its people live in urban areas (although its commercial capital, Dar es Salaam, is the world’s 10th fastest-growing city). Along with five other countries, Tanzania ranks first for having the fewest number of cars per 1,000 people.

Against this backdrop, most Tanzanian farmers work very small plots and grow food for domestic consumption, chiefly, maize, rice, cassava, and various fruits and vegetables. Low productivity on these farms is endemic because, among other reasons, farmers rarely use high-yielding, government-certified seed; rainfall is highly unpredictable
Political and economic changes in Tanzania have occurred concurrently with a long list of government strategies and initiatives, many of which this report references. Donors are the principal drivers of some macro-initiatives, such as the National Strategy for Growth and Reduction of Poverty, particularly with respect to funding.[4] Others emerged more organically, including the National Employment Policy (2008) and Kilimo Kwanza, a 2009 government initiative that aspires, through a 10-pillar, multi-stakeholder strategy, to launch a “green revolution” in Tanzanian agriculture.[5] In recognition, perhaps, of the country’s commitment to reform, Tanzania is the world’s third largest recipient of bilateral and multilateral assistance. Only Iraq and Afghanistan are receiving more aid.
Source: CThis Agriculture-Commercial Legal and Institutional Reform (AgCLIR) report march 2010ommercial Legal and Institutional Reform in Tanzania’s Agriculture Sector
AGENDA FOR ACTION

Draft Report
March 2010


[
 
Uchumi wetu hauruhusu ongezeko la posho kwa wabunge. Hakuna sababu ya kuongeza hizo posho wakati hata mishahara kwa sasa ni mbinde kupatikana!
 
Back
Top Bottom