Lavan Island
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 2,377
- 2,041
Nenda Kwenye jarida la fobes huko ndio utakuta mishahara ya viongozi wengi wakiwemo wakuu wa nchi cha kufanya we andika title na jina la unaetaka kujua salary yake yani mpaka housegirl wa Magu utakuta salary yake imeorodheshwaJamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.
Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?
Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?