Mishahara ya viongozi wetu Wa siasa ni kidogo sanaHonestly Rais wa Tanzania kulipwa 9m ni kudhalilisha taasisi husika, binafsi sitaki kuamini km jiwe analipwa pesa hiyo!
For rumors ni Kwamba Tanzania president is on the highly paid Presidents in Africa!
Ilitoka 12m mpaka 9Mbona kwenye ile hotuba ya ikulu jiwe alisema kuwa kwa mwezi mshahara wake ni 9mil
Ha haingekua ni vyema sana ungetoa na lengo la kutaka kujua iyo mishahara. ila kwa kifupi kujua kwako au kwetu kuna asilimia kupelekea kutokea kwa mtafaruku hivyo sio vyema kujua.
Hii ni kweliKuna mtu TANZANIA analipwa milioni 5 kwa mwezi
Anapewa ulinzi bure
Anatembelea gari za serikari
Anatibiwa bure
Hakatwi kodi yoyote ile
Ila sasa kuna walimu wanalipwa 400.000(lakin NNE)
Anaishi kwenye nyumba ya kupanga
Anakatwa kodi kama zote vile
Anadaiwa na
Bodi ya mkopo
Nssf
Chama cha walimu
Labda na NMB or CRDB (Mkopo wa kumalizia kibanda chake)
Humu humo utakutana na Tala au branch (wakati mshahara ulipochelewa kutoka)
Alafu unampa nyongeza ya sh 5000 kiukwel life is not fair jaman
Samahani kwa kueleweka vibaya...
Sikufikiri kwamba ulikuwa unanipinga
Kwa hili sote tuko gizani Bob
Kuna mtu TANZANIA analipwa milioni 5 kwa mwezi
Anapewa ulinzi bure
Anatembelea gari za serikari
Anatibiwa bure
Hakatwi kodi yoyote ile
Ila sasa kuna walimu wanalipwa 400.000(lakin NNE)
Anaishi kwenye nyumba ya kupanga
Anakatwa kodi kama zote vile
Anadaiwa na
Bodi ya mkopo
Nssf
Chama cha walimu
Labda na NMB or CRDB (Mkopo wa kumalizia kibanda chake)
Humu humo utakutana na Tala au branch (wakati mshahara ulipochelewa kutoka)
Alafu unampa nyongeza ya sh 5000 kiukwel life is not fair jaman
Once given the opportunity to serve in one of those offices, i doubt if you're still going to have the same mind, regarding publicizing your salary.this information should be publicly available. salaries of all officials, all who are at the top!
Kama hivyo ndivyo kazi ipo kweli kweliHalafu akistaafu mafao yake hapaewi kwa wakati na pengine yalikopwa na walewale wa milioni 5 na pengine wasizirudishe
Ni kweli, lakini sio kwa Tanzania hii. Na hapa ndipo watu wanapata kiu ya kusukuma accountability in public entities and positions. Haya yote yanakuwa addressed na katiba mpyaSwali zuri sana na nadhani Ikulu watakapo kamilisha site yao ni vizuri wakiziweka habari hizi wazi kwa wananchi kuziona... Waajiriwa wote wateuliwa na rais ni vizuri tukifahamu mishahara yao!
Mpaka leo mwanajf bado hajui maana ya uongozi bora na uwazi!!!ingekua ni vyema sana ungetoa na lengo la kutaka kujua iyo mishahara. ila kwa kifupi kujua kwako au kwetu kuna asilimia kupelekea kutokea kwa mtafaruku hivyo sio vyema kujua.
Ili iweje?Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.
Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?
Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
Mayu kweli mwanadamu si mtu wakumwamini hata kidogo.Inabidi kwanza tuachane na utaratibu wa wabunge kujiidhinishia maslahi yao wenyewe; hii haiendani na mantiki yeyote ya kawaida, achalia mbali utawala bora!
Nasikia unaenda kugombea ubunge, najua utashinda. Ukiingia bungeni anza na hii hoja.Inabidi kwanza tuachane na utaratibu wa wabunge kujiidhinishia maslahi yao wenyewe; hii haiendani na mantiki yeyote ya kawaida, achalia mbali utawala bora!