Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
That is little kwa taasisi za serikali kama TRA,FCC,Ewura,Takukuru.... nk.Usiogope
Mbona taasisi nyingi zinalipa na huo ni mshahara wa kawaida sana aisee
Huo ni wivu wa kijinga kabisa ninahisi hata wewe ungependa ulipwe hivyo lakini ndiyo hivyo tena bahati ya mwenzio usiilalie nje.Wakuu, hii mamlaka ya serikali inayoendeshwa kwa kodi za wavuja jasho ina unyeti sana kiasi cha watumishi wake kuenjoy pepo duniani?
Cjajua Taasisi zingine kama TRA mishahara yao ikoje ila nimeijua mishahara ya SUMATRA hadi nimeshangaa. Huenda sijafahamu unyeti wa mamlaka hii ila wanaoijua watatueleza.
Rafiki yangu amemaliza pale IFM akichukua Accouting, amepata ajira mwanzoni mwa mwaka huu katka mamlaka ya SUMATRA na kwa macho yangu amenionyesha Salary Slip yake daah, ni Milioni 1.53 kwa mwezi.
Wakuu hii mishahara inapangwa na ofisi ya utumishi au wanajipangia wafanyakazi wenyewe wa Mamlaka?
Mbona mshahara mdogo sana huo.
Kuna watu nchi hii wanapokea milioni 40 kwa mwezi wameajiriwa.
we yaelekea uko halmashauri...kiuhalisia huo ni mshahara mdogo sanaSumatra Kuna neema
Wakuu, hii mamlaka ya serikali inayoendeshwa kwa kodi za wavuja jasho ina unyeti sana kiasi cha watumishi wake kuenjoy pepo duniani?
Cjajua Taasisi zingine kama TRA mishahara yao ikoje ila nimeijua mishahara ya SUMATRA hadi nimeshangaa. Huenda sijafahamu unyeti wa mamlaka hii ila wanaoijua watatueleza.
Rafiki yangu amemaliza pale IFM akichukua Accouting, amepata ajira mwanzoni mwa mwaka huu katka mamlaka ya SUMATRA na kwa macho yangu amenionyesha Salary Slip yake daah, ni Milioni 1.53 kwa mwezi.
Wakuu hii mishahara inapangwa na ofisi ya utumishi au wanajipangia wafanyakazi wenyewe wa Mamlaka?
Mkuu hamna mwalimu anaelipwa hiyo hela hata mwenye certificate yuko around 420kJamaa ni mwalimu mshahara ni 350,000/= na bachelor yake lazima ashangae.