Mishahara kuchelewa, kipimo kingine cha uwezo wa Rais Samia

MKUU kweli watumishi wote wakifuata ushauri wako ,je tutakua na ofis za umma zilizo imala kweli,

Nafikili waboreshewe vipato vyao na wapewe chao mapema itasaidia,
Ajira haziwezi kuwa wazi na Kama itatokea hivyo jua hata mshahara utakuwa mnono zaidi na heshima itakuwepo kwa watumishi maana ajira itakuwa inamtaka mtu zaidi maana wapi wachache.. we angalia hata sahivi tu zikitangazwa ajira watu wanaohitajika ni wachache tu ila grupu linaloenda Sasa!.. halafu Mimi sio wakwanza kusema hivi mbona hata serikali yenu inawaambia mjiajili!!.
 
Hiyo ya kubadilisha muundo wa madaraja inahusiana vipi na kuchelewesha mishahara?

Leo mnapewa kisingizio cha "tunabadilisha miundo ya madaraja" kitu ambacho kingeweza kufanyika bila kuchelewesha mshahara. Lakini ni dalili za uzembe na kuturudisha misri.
hujui kitu bro tuliza mshono,watu wanapewa haki zao mwezi huu walizozikosa kwa miaka sita ya bwana hamnazo!!
 
Ajira haziwezi kuwa wazi na Kama itatokea hivyo jua hata mshahara utakuwa mnono zaidi na heshima itakuwepo kwa watumishi maana ajira itakuwa inamtaka mtu zaidi maana wapi wachache.. we angalia hata sahivi tu zikitangazwa ajira watu wanaohitajika ni wachache tu ila grupu linaloenda Sasa!.. halafu Mimi sio wakwanza kusema hivi mbona hata serikali yenu inawaambia mjiajili!!.
MKUU nilichokuuliza na unachojibu tofauti sijakuelewa
 
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.

Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
ndugu zangu mtanikumbuka
 
Kati ya vitu JPM alifanikiwa sana ni kuweka predictability na consistency katika utawala wake, na kwake suala la mishahara ya wafanyakazi hakucheza nalo. Sikutegemea kabisa kama hili la mshahara lingeanza kuchezewa mapema hivi.
Huyu magufuli wenu hatutaki hata kumsikia.
Mshenzi sana yule muuaji.
 
Ni bora ya Samia mchelewesha mishahara kuliko shetani aliyekuwa anawaisha mishahara ambaye ukila mshahara hujui kesho yake kama utakula mshahara tena.
 
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.

Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
Wala sio kigezo sahihi hiki. Umesahau kuwa huu ni mwezi wa mwisho wa mwaka wa fedha? Kuna stocktaking hapa na pale na hivyo lazima malipo yachelewe!!
 
Back
Top Bottom