Mishahara kuchelewa, kipimo kingine cha uwezo wa Rais Samia

Naona tayari ATM zishasoma, awamu hii watanzania wanajiongoza kupitia mitandao,

Mama kaziake kuangalia upepo unaelekea wapi then ana toa maagizo.
Mh!!! It's an Interesting move ,let's see if it works.
 
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili Awamu ya Pili au la.

Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.

View attachment 1828726
Oh kumbe; nawe ni mwendeleza legacy. " It is a petty issue. You cannot judge on a one point event. After all; salaries for this month have been paid before month-end".
 
Hata ukilipwa tarehe 30 mshahara bado haujachelewa
serikali ina kz nyingi kwa taarifa za chini ya kapet mshahara utachelewa sbb kulipa malimbikizo na vyeo vipya wataanza kulipwa mwezi huu
 
Haijwahi kutokea wafanyakazi wamekaa miaka 5 bila kuongezwa mshahara
Tunalinganisha na miezi ya sita iliyopita. Haijawahi tokea mwezi wa 6 mshahara wake ukawa haujalipwa kabla ya tarehe 24.
 
Haijawahi kutokea miaka mitano kupita bila wafanyakazi kupandishwa madaraja
Tunalinganisha na miezi ya sita iliyopita. Haijawahi tokea mwezi wa 6 mshahara wake ukawa haujalipwa kabla ya tarehe 24.
 
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili Awamu ya Pili au la.

Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.

View attachment 1828726
Siku ya mshahara ni tarehe 30 kila mwezi weye wataka uwahi ili iweje
 
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili Awamu ya Pili au la.

Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.

View attachment 1828726
ati tarehe 01hadi 30 ni mwezi na siku kumi ila tarehe 23.hadi 24.ya mwezi unaofuata ndio mwezi kamili.kalenda!
 
Back
Top Bottom