Mama yako wewe?Mama yako wewe ndio uende ukataje hicho kiungo mbele yake.
Oh kumbe; nawe ni mwendeleza legacy. " It is a petty issue. You cannot judge on a one point event. After all; salaries for this month have been paid before month-end".Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili Awamu ya Pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
View attachment 1828726
Wewe.Mama yako wewe?
serikali ina kz nyingi kwa taarifa za chini ya kapet mshahara utachelewa sbb kulipa malimbikizo na vyeo vipya wataanza kulipwa mwezi huu
Tunalinganisha na miezi ya sita iliyopita. Haijawahi tokea mwezi wa 6 mshahara wake ukawa haujalipwa kabla ya tarehe 24.
Tunalinganisha na miezi ya sita iliyopita. Haijawahi tokea mwezi wa 6 mshahara wake ukawa haujalipwa kabla ya tarehe 24.
Tunalinganisha na miezi ya sita iliyopita. Haijawahi tokea mwezi wa 6 mshahara wake ukawa haujalipwa kabla ya tarehe 24.
Wewe?Wewe.
Si mimi mama ako.Wewe?
Siku ya mshahara ni tarehe 30 kila mwezi weye wataka uwahi ili iwejeLeo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili Awamu ya Pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
View attachment 1828726
Si mimi mama yako?Si mimi mama ako.
ati tarehe 01hadi 30 ni mwezi na siku kumi ila tarehe 23.hadi 24.ya mwezi unaofuata ndio mwezi kamili.kalenda!Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili Awamu ya Pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
View attachment 1828726
Ukichunguza sana huo mwandiko wa mleta mada ni wa kisukuma fuatilieniHuyo atakuwa anasema mwisho wa mwezi july ambapo kuna marekebisho ya mishahara mipya...