real toxic
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 533
- 104
"Acha kihelehele"
Hakuna wakati ambao Tanzania ilivunja rekodi kwa uwingi wa watu kufuatilia Bunge kama hili sakata la skendo ya ESROW. Watu walifuatilia ktk TV,radio na hata ktk mitandao
Kuna michango mingi ilitolewa ya wabunge ilikuwa ya busara, vituko,kejeli nk..Kuna misemo ambayo imeiweka Bunge hilo ambayo binafsi na wengine hatutaweza kusahau..hapa chini ni baadhi ya matamko mbalimbali ninayoikumbuka. Kama unayoyo misemo ambayo nimeisahau...jalibu kutupia hapa
Zitto ...serikali ilipata ganzi na ikagandishwa
Lusinde:... unadhani kujiudhuru ni jambo dogo
Lusinde: Leo mnasimama hapa awajibike awajibike, wewe umewahi kuwajibika? unadhani kuwjaibika mchezo?
Lusinde: Mzee Pinda we nenda na kimya kimya yako hadi Mungu atakapokujalia. Habari ya kukutoa hapa haipo.
Lusinde: Mnasema fedha sio serikali sasa kama fedha sio za serikali tangu lini CAG akakagua fedha zisizokuwa za serikali.usinde;..unanibania pua....mimi siyawezi...nimekatazwa
Ole SendekLa;..Profesa Muhongo anajua miamba na sio mambo ya juu
Filiko Njombe; ...Hakuna profesa muongo kama profesa Muhongo
Asumpta; PAC ni ya UKAWA
Mpina: "Ni bahati mbaya tuna Profesa muongo kama Muhongo ambaye ni Waziri wa Nishati na Madini"
Zitto: "Nimekuwa na mgogoro na chama changu lkn kwenye hili wameniunga mkono, kwa mara ya kwanza nimehudhuria kikao cha UKAWA"
Kigwalagwala;...sijawahi kumwona profesa muongo kama Muhongo
Zitto: "Naomba wanaonishughulikia wanishughulikie mimi; mwacheni mamangu apumzike"
Mwandosya ;..serikali tukubali na tujirekebishe na tujifunze
Kafulila: "Tusiache kujadili kifo cha Waziri Mgimwa kisa mwanae hataki; kuna siku Rais atakufa na mwanae atataka tusichunguze"
Zitto;...mimi ni mwanasiasa na nina ngozi ngumu
Makinda;...wasio soma sheria ndio wanaopiga kelele
Makinda;... sitakikusikiliza waswahili
Makinda;...leo mpaka kibuyu cha Escrow kivunjike
Ashki MajnunHakuna wakati ambao Tanzania ilivunja rekodi kwa uwingi wa watu kufuatilia Bunge kama hili sakata la skendo ya ESROW. Watu walifuatilia ktk TV,radio na hata ktk mitandao
Kuna michango mingi ilitolewa ya wabunge ilikuwa ya busara, vituko,kejeli nk..Kuna misemo ambayo imeiweka Bunge hilo ambayo binafsi na wengine hatutaweza kusahau..hapa chini ni baadhi ya matamko mbalimbali ninayoikumbuka. Kama unayoyo misemo ambayo nimeisahau...jalibu kutupia hapa
Zitto ...serikali ilipata ganzi na ikagandishwa
Lusinde:... unadhani kujiudhuru ni jambo dogo
Lusinde: Leo mnasimama hapa awajibike awajibike, wewe umewahi kuwajibika? unadhani kuwjaibika mchezo?
Lusinde: Mzee Pinda we nenda na kimya kimya yako hadi Mungu atakapokujalia. Habari ya kukutoa hapa haipo.
Lusinde: Mnasema fedha sio serikali sasa kama fedha sio za serikali tangu lini CAG akakagua fedha zisizokuwa za serikali.usinde;..unanibania pua....mimi siyawezi...nimekatazwa
Ole SendekLa;..Profesa Muhongo anajua miamba na sio mambo ya juu
Filiko Njombe; ...Hakuna profesa muongo kama profesa Muhongo
Asumpta; PAC ni ya UKAWA
Mpina: "Ni bahati mbaya tuna Profesa muongo kama Muhongo ambaye ni Waziri wa Nishati na Madini"
Zitto: "Nimekuwa na mgogoro na chama changu lkn kwenye hili wameniunga mkono, kwa mara ya kwanza nimehudhuria kikao cha UKAWA"
Kigwalagwala;...sijawahi kumwona profesa muongo kama Muhongo
Zitto: "Naomba wanaonishughulikia wanishughulikie mimi; mwacheni mamangu apumzike"
Mwandosya ;..serikali tukubali na tujirekebishe na tujifunze
Kafulila: "Tusiache kujadili kifo cha Waziri Mgimwa kisa mwanae hataki; kuna siku Rais atakufa na mwanae atataka tusichunguze"
Zitto;...mimi ni mwanasiasa na nina ngozi ngumu
Makinda;...wasio soma sheria ndio wanaopiga kelele
Makinda;... sitakikusikiliza waswahili
Makinda;...leo mpaka kibuyu cha Escrow kivunjike
Hii ndio ilinivunja mbavu kuliko, na kukatishwa tamaa na kauli ya Mshana kuwa "nina shaka na UCCM wa wajumbe wa PAC". Kanakwamba wote ni CCM, au hata wanaCCM wako kule kulinda maovu....!kangi lugola:mhe mwenyekiti naomba nivae kininja ili nisiwatazame usoni wezi wa escrow