Misamiati na Misemo iliyotia fora wiki hii kuhusu Escrow

Misamiati na Misemo iliyotia fora wiki hii kuhusu Escrow

Kwa mujibu wa matukio yaliyotukia wiki hii hapa nchini, ifuatayo ni misamiati iliyotia fora:

1. FOMULESHENI
2. Majizi
2. Tumbiri
3. Singasinga
4. Mafisadi
5. Ashiki
6............

Mnaweza kuongeza mengine mpaka tupate orodha kamili ya misamiati hiyo.
:israel:

Mmezoea kuona wazungu wakitupga waswahili masele kacheza dili kawapiga shida iko wapi hapo ?
 
nafuta kauli il a ukwel ndio huo

jf rahaaaa.......
 
Nimeisoma Sredi hapa busatini iliyoshushwa na Member anaekwenda na username tpaul , akidondoa misamiati iliyo heat Bunge la escrow .

Mimi nishuke na baadhi ya semi ambazo kimtazamo , naamini zimekimbiza .

SEMI :-
1 .
"Mfumo mzima wa Serikali , ni kama ulipigwa ganzi , ama uliganzishwa"
- By Deo Filikunjombe

2 .
"Mlikaa Kunduchi beach , mkaanza kugawana fedha za Serikali kama chakula cha njaa"
- By Ole Sendeka.

3.
(Akim'quote Mwl Nyerere , Filikunjombe alisema) :
"Tukianza kuwavumilia Masultani wa kuchaguliwa , tutapanda Masultani wa kuzaliwa."
4 .
"Kuna wanaofikiri ukishakua Sultani, utakufa Sultani , nadhani wanakosea!"
5.
"Watu wa mfano wa Rashidi Kawawa ni wachache sana duniani , na hawazaliwi kila siku"
6.
Akim'quote Thabit Kombo Filikunjombe alisema :

"Ongea uwongeavyo , lakini wacha/weka akiba ya maneno"
7.
"Ni rushwa pekee inayofanya mwenye macho asione! Mwenye maskio awe kiziwi , na huweza kumfanya mwanaume akawa mwanamke , na mwanamke kuwa mwanaume"
- By Ole Sendeka.
8.
"Waliomuua Yesu, baada ya kumuua walimfunikia shimoni/pangoni jiwe kubwa sana na kuhakiki asingewezatoka kivyovyote vile! Lakini wauwaji walipoondoka kwenda Galilaya , walimkuta Yesu kafika Galilaya kabla yao"
- By Kangi Lugola.

'
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nivalie kininja, ili nisiwaonee haya mafisadi, wakati nawachambua.
by Kangi Lugola
 
Back
Top Bottom