joramjason
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 425
- 132
Sijawahi kutana na Profesa muongo kama huyu. By Kigwangala
Mm ni mwanasiasa ninangozi ngumu sana, nishambulieni muwezavyo. Lakini mwacheni Mama yangu apumzike - by Mh. Zitto.
umesahau , kuna mbunge mmoja alisema
"ashk majinun"
Huyu muda wote alikuwa amezinzia habari ya escrow sijui sicorali hajui, hangetoka usingizini asingeacha aliyoongea Lusinde na Asumpta Mshana, angeongezea kuwa, ikiwa watapinda kumsulubu Pinda, atapindua nchi...haa afadhali komba hakuzungumza, maana angesema kama mawaziri wakijiuzulu yeye ataingia msituni!
Ngoja nivalie kininja, ili nisiwaonee haya mafisadi, wakati nawachambua.
by Kangi Lugola
Sijawahi kutana na Profesa muongo kama huyu. By Kigwangala
Mm ni mwanasiasa ninangozi ngumu sana, nishambulieni muwezavyo. Lakini mwacheni Mama yangu apumzike - by Mh. Zitto.
umesahau , kuna mbunge mmoja alisema
"ashk majinun"
Habibu za rejea.