Gwangambo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 3,637
- 1,208
eksrow ( Mariam Kisangi)Apitielo(Mh Hawa ghasia)
eksrow ( Mariam Kisangi)Apitielo(Mh Hawa ghasia)
Hii ni mifuko ni kama ile yakuwekea mahindi?
Hili limetia fora. Hivi maana yake nini nami ikiwezekana nianze kulitumia? Mpaka sasa naogopa kulitumia sijui maana yake! Ajuaye tafadhari.
Kwa tafsiri ya kamusi ya karne ya 21;Hahahahahaaaaa Mpwa kama unashindwa kulitumia basi utakua una ASHKI majinuni sio bure..... Kwa kweli sijui maana halisi. Japo ASHKI ni hamu, Majinuni naskia ni kitu kibaya....