Misamiati na Misemo iliyotia fora wiki hii kuhusu Escrow

Misamiati na Misemo iliyotia fora wiki hii kuhusu Escrow

nafuta kauli lakin ukwel ndo huo...hyu mama nlikua cimjui ila ndo nmemjua ss kwamba anatembea na maji juu ya mabega yake...
 
Mnyika: hatuwezi kuwa sehemu ya kutetea MAJIZI!
 
...... na majizi yooote yaliyotajwa humu.......
 
attachment.php
Hahahaha..."MTEMI" ENDREW CHENGE
 
"Waheshimiwa msipoacha kupigana vijembe, mi naweza kuamua kunyanyua mzigo na kuondoka zangu"~Zungu..
 
Tutawashitaki kwa Mungu,ikishindikana tutawashitaki kwa shetani.Sendeka akimnukuu baba wa Taifa.
 
hivi mimi mnanitakia nini?jamani kumbuka ninatatizo nimeishaingilia muhimili mmoja wa mahakama..ntakuwa mgeni wa nani t,tafuteni lengweji wa kuweka hapo ili isionekane tumeingilia excutive..
.anna makinda
 
"Ni rushwa tu humfanya mwanamke kuwa mwananume na mwanaume kuwa mwanamke" by Ole Sendeka
 
Lusinde:Nasari nyamaza,'nadhani unanifahamu'mi sio saiz yako...'na nyie serikali eti pesa sio za serikali,sasa cag alienda kufanya nini huko,kwa nini asiende kumkagua METL?'Haha haa mzee wa kibajaji.
 
hahaha! VIJISENTI tu hivyo...na bado anaendelea kuvuna! ama kweli tz ni shamba la bibi.

Yaani nam admire huyu bwana! Hana wasi na anajiamini vibaya! He is so smart unajua kuna mtu anarudia mabaya the same style mpk mnabaki vinywa wazi!
Duh hilo lumbesa sijui alikatiza nalo mitaa gani!
Sijui Sumaye naye aweza haya manake naye kapita Harvard!
 
hivi mimi mnanitakia nini?jamani kumbuka ninatatizo nimeishaingilia muhimili mmoja wa mahakama..ntakuwa mgeni wa nani t,tafuteni lengweji wa kuweka hapo ili isionekane tumeingilia excutive...anna makinda
umenikumbusha mbali A.Makinda anaongea kama yupo ubenani!
 
Sendeka: Profesa Muhongo amezoea kuchunguza miamba chini ya ardhi...mambo yanayofanyika juu ya ardhi hayawezi. Hahahahahaha! Hapa Sendeka alimbalaza Le Profeseri mpaka nikamuonea huruma Prof wa JK.
 
Sandarusi,,,, Niko very fresh Aahahahaha chezea bi kiroboto wewe!!
 
Back
Top Bottom