Misamiati na Misemo iliyotia fora wiki hii kuhusu Escrow

Misamiati na Misemo iliyotia fora wiki hii kuhusu Escrow

Kwa mujibu wa matukio yaliyotukia wiki hii hapa nchini, ifuatayo ni misamiati iliyotia fora:

1. FOMULESHENI
2. Majizi
2. Tumbiri
3. Singasinga
4. Mafisadi
5. Ashiki
6............

Mnaweza kuongeza mengine mpaka tupate orodha kamili ya misamiati hiyo.
:israel:

Lusinde Kibajaji hajui Kingereza
 
Hili limetia fora. Hivi maana yake nini nami ikiwezekana nianze kulitumia? Mpaka sasa naogopa kulitumia sijui maana yake! Ajuaye tafadhari.

Hahahahahaaaaa Mpwa kama unashindwa kulitumia basi utakua una ASHKI majinuni sio bure..... Kwa kweli sijui maana halisi. Japo ASHKI ni hamu, Majinuni naskia ni kitu kibaya....
 
Mheshmiwa spika, mweshmiwa mwenyekiti, kamati ya p.a.c
 
Kwa mujibu wa matukio yaliyotukia wiki hii hapa nchini, ifuatayo ni misamiati iliyotia fora:

1. FOMULESHENI
2. Majizi
2. Tumbiri
3. Singasinga
4. Mafisadi
5. Ashiki
6............

Mnaweza kuongeza mengine mpaka tupate orodha kamili ya misamiati hiyo.
:israel:

Rumbesa ya fedha.
 
Hahahaha, yani mie nikigombana na mke wangu hufungua tu JF yani nitacheka mpaka hasira zote zitaniisha, JF noooma
 
Back
Top Bottom