Hivi ukuwa profisa ndo kujua kila kitu?,
Wajiongeze
Naona profesa umekwazika ππ. Ukweli mchungu... ππUlitaka wafanye nini we mpuuzi
Tanzania haijawekeza kwenye utafiti
1.Ng'ombe wawili wa maziwa(SUA)
2.BAR(UDSM,OUT,UDOM,SAUT,DUCE,MUCE )
3.lodge (Mzumbe,UDOM)
4.Mboga mboga nusu heka (SUA)
5.Bwawa la samaki(SUA)
6.Stationary-vitini vinapatikana hapo na vitabu vyake(vyuo vyote)
7.Daladala (UDSM,OUT,SUA)
8.Saluni(DUCE,UDOM,MAKUMIRA,MIPANGO DOM,MZUMBE)
9.SHULE (Huyu amejitutumua sana ila usimamizi sio mzuri)
Ongeza na wewe unazo zikumbuka
Hahaaaaa, aidhani kama bado ipo. Kuna yule A.J.P Tarimo alikuwa nayo Moja kule Wami Dakawa. Yeye ndio alikuwa anaongoza kwa kunywa kwenye bar yake.Kambarage bar & pub (SUA)
Hadi wanaitwa maprofesa si wanakuwa wameshafanya tafiti kadhaa
Pilipili zina soko nzuri sana India,nigeria .so forex si ndio! Lingine?Bustani ya pilipili, nyanyachungu, karoti na Figiri
Ndio maana biashara zinawashinda. Waendelee kuishi kwa hiyo mishahara
Huna unalojua wewe,Unajua watu mnachekesha sana....
Nataka unitajie huyo mfanyabiashara anayepata faida ya million 72 kwa mwezi...siongelei mauzo mimi...naongelea faida kama faida yaan ushatoa kodi zote....
Tena professor wana semina nyingi sana na unakuta hapo anafundisha kipindi kimoja kimoja vyuo vitano na kila kipindi au lecture ni 1m per month..
Hapo hujahesabu research na wanafamilia wake kunufaika na bima, makazi nk...
Unajua bongo tuna akili ndogo sana
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Achana na huyo mjinga Hana analojua.Mbona hiyo faida ndogo sana, kuna wafanya biashara hulipa mishahara ya wafanyakazi wake zaidi ya milioni 70, sasa kama haitoki kwenye faida analipa kutoka kwenye mtaji.
Je unadhani akishalipa mishahara yeye hubaki na fedha chini ya milion 70?
Ndugu yangu kuna watu wamewwkeza vya kutosha, hebu fikilia mtu mmoja anamiliki gari 300 za kazi, na miradi mingine mikubwa alafu unaongelea faida ya milioni 70, ni hela ndogo sana
Ila tukirudi kwenye mada profesa si mfanya biashara, hatupasi kuwafananisha.
Chuo gani kinawalipa Profesa mshahara milioni 10?
Sasa milion 6 Kwa mwaka si milion 72.
Kuna wafanyabiashara hiyo Hela ni ya mwezi tu.
[
Sio kweli full professor anapokea milioni karibia kumi kwa mwaka.
Sasa milion 6 Kwa mwaka si milion 72.
Kuna wafanyabiashara hiyo Hela ni ya mwezi tu.
Acha uongo mkuu, Hakuna mshahara wa hivyo kwa Prof hapa bongo
Mimi siku zote msimamo wangu ni huu. Nchi yetu tujilaumu sisi wananachi wenyewe kwa kila baya lililopo. Hawa maprofesa wanafanya nini kubadilisha hii hali kama siyo kujikomba kwa viongozi huku wakiwa wamejawa na woga mkuu. Juzi kuna watu alitaka kufanya kongamano la katiba kwenye chuo fulani Mwanza. Profesa Mahalu na usomi wake (nadhani ni sheria) alikuwafukuza huku akisema wanamharibia. Kwa kifupi ni kuwa wananchi pamoja na hao wasomi hatujitambui. Hakuna serikali duniani inayojali wananchi wake bila hao wananchi kuisimamia.
Duuhh huu mshahara wa Tangu lini?Dogo ni mpuuzi anaongea asichokijua! Hakuna mtu anapiga life kama ma professor. Tena hata huo mshahara uliomtajia ni wa lecturer wa kawaida senior lecturers wako 10m na kuendelea!
Huyo kijana atakuwa ni first year kasahau humu pia maprofesa tumoChuo gani kinawalipa Profesa mshahara milioni 10?
Wanalipwa na nani?SUA kuna Profs wanazoa mpaka 15m.
Huna unalojua wewe,
Nenda hapo udsm profesa Hadi anastaafu Hana hata nyumba na wanataka kuongezewa contract. Usipate tabu Nenda hapo udsm.
Kuhusu biashara kama huamini Kuna biashara zinaingiza profit margin ya milion 70 Kwa mwezi Bado wewe ni mtoto mdogo kujua haya
Ndo hapo napotaka kushangaa..Huyo atakuwa hata chuoni hajafika.