SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Mkuu kama unataka gomba, gomba gold, miraa ama kangeta pale mitaa ya Ismail hotel, ama ukizunguka kariakoo huwezi kukosa. Ila angalia handas ya gomba esp. gomba la Arusha/Namanganimekaa nairobi kule miraa inauzwa kila kona kwenye viosk na ni wazi govt haina tatizo nayo. Sasa hapa tz nasikia huuzwa kwa kufichwa fichwa, nauliza hapa dar inauzwa wapi?? Mwenye kujua anieleze plz. kuna jamaa yangu amekuja kunitembelea sasa yeye bila veve siku haiendi....
Bongo miraa haiuzwi in the open lakini iko sana