YoungCorporate
JF-Expert Member
- Apr 30, 2010
- 391
- 113
Nimekaa Nairobi, kule miraa inauzwa kila kona kwenye viosk na ni wazi Government haina tatizo nayo. Sasa hapa Tanzania nasikia huuzwa kwa kufichwa fichwa!
Nauliza hapa Dar inauzwa wapi? Mwenye kujua anieleze plz. Kuna jamaa yangu amekuja kunitembelea sasa yeye bila veve siku haiendi..
Nauliza hapa Dar inauzwa wapi? Mwenye kujua anieleze plz. Kuna jamaa yangu amekuja kunitembelea sasa yeye bila veve siku haiendi..