Miraa/ Mirungi/ Khart/Gomba inauzwa wapi hapa Dar?

Miraa/ Mirungi/ Khart/Gomba inauzwa wapi hapa Dar?

Status
Not open for further replies.
we jamaa sjui vp! unaulizia veve hadharani? kweli hamnazo teh teh!...Hapa bongo hiyo makitu ni marufuku kama bange. Ila bei yake ategemee juu kidogo, nadhana 18-20K kwa kilo! Uliza wenyeji, kuna maeneo maalum gomba lnapatkana-utakuta wakongwe wanachanja na kusaga kama kawaida! teh teh FULL HANDAS!

Miraa haijapigwa marufuku bongo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom