Miongoni mwa maswali ya UONGO na KIJINGA

Miongoni mwa maswali ya UONGO na KIJINGA

acha kujichanganya tunazungumzia Mungu kuumba ayo mambo ya shetani yametoka wapi ? acha kutoa maelezo ambayo ayaitajiki


Kumbe uelewa wako una mashaka.

Mimi nimejumlisha juu ya uwezo wote wa Mungu ikiwemo na kuumba pia,

Kwa kifupi niseme tu hivi; Mungu anaweza kuumba/ kufanya chochote atakacho ,KILE AMBACHO KIMO NDANI YA HEKIMA NA KANUNI ZAKE, NA HAWEZI KUUMBA/KUFANYA VILE VILIVYOMO NJE YA HEKIMA NA KANUNI ZAKE.

Usisahau Maneno "hekima na kanuni" zake ndiyo masharti. Kwasababu Mungu haumbi vitu hovyo hovyo.
 
1. Hashindwi na jambo maana yake kwake hakuna linaloshindikana , sasa anaposhindwa kuumba kitu kilichomzidi au kama yeye maana anashindwa
Hivi ushawahi kujiuliza kwanini kuna usiku na mchana tu na hakuna cha tatu yake ?

Au kwanini jua kila siku linachomoza mashariki na kuzama maharibi na kwanini isiwe kinyume chake ?

Hashindwi na jambo ndio,na ndio maana kina mambo yeye mwenyewe amejizuia kuuafanya sio kwamba hawezi bali amejiharamishia na hakuna kinachomzidi,yaani hakuna atakach kiumba chenye kumzidi yeye,ndio maana hilo swali linabakia kuwa la uongo na hakuna kitu kama hicho.
 
Kumbe uelewa wako una mashaka.

Mimi nimejumlisha juu ya uwezo wote wa Mungu ikiwemo na kuumba pia,

Kwa kifupi niseme tu hivi; Mungu anaweza kuumba/ kufanya chochote atakacho ,KILE AMBACHO KIMO NDANI YA HEKIMA NA KANUNI ZAKE.

Usisahau Maneno "hekima na kanuni" zake ndiyo masharti. Kwadababu Mungu haumbi vitu Hovyo.
Duuh wewe kweli kichwa maji tunajadili "UWEZO " wa Mungu wako kuumba kitu kilichomzidi uwezo , wewe ata ujui tunajadili nini hapa, swali uwezo huo anao ?
 
Hivi ushawahi kujiuliza kwanini kuna usiku na mchana tu na hakuna cha tatu yake ?

Au kwanini jua kila siku linachomoza mashariki na kuzama maharibi na kwanini isiwe kinyume chake ?

Hashindwi na jambo ndio,na ndio maana kina mambo yeye mwenyewe amejizuia kuuafanya sio kwamba hawezi bali amejiharamishia na hakuna kinachomzidi,yaani hakuna atakach kiumba chenye kumzidi yeye,ndio maana hilo swali linabakia kuwa la uongo na hakuna kitu kama hicho.
"Hakuna atakacho kiumba chenye kumzidi yeye ", hii kauli inamaliza kabisa kuwa kumbe kuna vitu hawezi kuumba , hivyo swali ni la ukweli na jibu tumepata
 
"Hakuna atakacho kiumba chenye kumzidi yeye ", hii kauli inamaliza kabisa kuwa kumbe kuna vitu hawezi kuumba , hivyo swali ni la ukweli na jibu tumepata

Kutokuumba hivyo vitu ndivyo kunaonyesha ukamilifu wake na uwezo wake wa kuumba.

Kwahiyo kufikiri ya kuwa Mola hawezi ni kufikiri kwa kitoto,sababu kuna mipaka amejiwekea yeye mwenyewe,ndio maana nikakupa mfano kule mwanzo ya kuwa Mola amejiharamishia Kudhulumu kwahiyo hadhulumu,kisja nikakupa aya huko juu.

Kwake ameshajiwekea utaratibu na hakuna kinacho toka katika milki yake.

Hivyo basi swali linabaki kuwa ni la uongo,sababu muulizaji hajui anachokiuliza.

Hivi anae jiwekea mipaka,huwa anaitangulia mipaka au mipaka humfata aliyeweka mipaka ?
 
Kutokuumba hivyo vitu ndivyo kunaonyesha ukamilifu wake na uwezo wake wa kuumba.

Kwahiyo kufikiri ya kuwa Mola hawezi ni kufikiri kwa kitoto,sababu kuna mipaka amejiwekea yeye mwenyewe,ndio maana nikakupa mfano kule mwanzo ya kuwa Mola amejiharamishia Kudhulumu kwahiyo hadhulumu,kisja nikakupa aya huko juu.

Kwake ameshajiwekea utaratibu na hakuna kinacho toka katika milki yake.

Hivyo basi swali linabaki kuwa ni la uongo,sababu muulizaji hajui anachokiuliza.

Hivi anae jiwekea mipaka,huwa anaitangulia mipaka au mipaka humfata aliyeweka mipaka ?
Amejiekea mipaka baada ya kujua ni Dhaifu kuwa akiumba kiumbe kilichomzidi ni hatari kwake au hawezi kabisa kuumba kiumbe cha namna hiyo maana uwezo wake ni mdogo , Mungu asieweza kuumba kitu kilichomzidi huyo ni mchekeshaji tu ,
 
Amejiekea mipaka baada ya kujua ni Dhaifu kuwa akiumba kiumbe kilichomzidi ni hatari kwake au hawezi kabisa kuumba kiumbe cha namna hiyo maana uwezo wake ni mdogo , Mungu asieweza kuumba kitu kilichomzidi huyo ni mchekeshaji tu ,
Ili nikuonyeshe kwamba uongo wa swali hilo uko wapi,naomba ujibu swali hili "Kwanini unataka aumbe kitu kilicho mzidi ?

Ili iweje ? Je akiumba kitu kilicho mzidi ndio kitaonyesha ukamilifu wake au udhaifu wake wa kuumba kitu kilicho mzidi ?

Kuumba kikicho kuzidi maarifa au uwezo huonyesha ukamilifu au udhaifu ?
 
Ili nikuonyeshe kwamba uongo wa swali hilo uko wapi,naomba ujibu swali hili "Kwanini unataka aumbe kitu kilicho mzidi ?

Ili iweje ? Je akiumba kitu kilicho mzidi ndio kitaonyesha ukamilifu wake au udhaifu wake wa kuumba kitu kilicho mzidi ?

Kuumba kikicho kuzidi maarifa au uwezo huonyesha ukamilifu au udhaifu ?
Nje ya mada
Mungu anapendezwa kifo cha kiumbe chake???
 
Duuh wewe kweli kichwa maji tunajadili "UWEZO " wa Mungu wako kuumba kitu kilichomzidi uwezo , wewe ata ujui tunajadili nini hapa, swali uwezo huo anao ?



Wewe ni hamnazo na kama bado ni mwanafunzi huko shuleni mwalimu wako anayo shida kubwa sana.

Sasa angalia kwa makini hapa;

Mungu sifa yake moja ni ; الله احد (Mungu ni mmoja), hivyo umoja au upweke wake (his oness) hawezi akashirikiana na yeyote pia Yeye ni (الله اكبر) Allahu skbar, yaani Mungu ni mkubwa kabisa,

Sasa hizi sifa mbili za umoja na ukubwa wake (His oneness and greatness)- zinamfanya asiweze kuumba kitu kingine kama yeye au zaidi yake na hawezi kufanya hivyo ili kulinda heshima na hadhi na utukufu wake, hapo sasa ndipo utapata point kwamba hawezi kwa ajili ya kulinda STATUS zake, akifanya hivyo basi huyo anakuwa di Mungu yule mkubwa na mmoja ambacho ni kitu kisichowezekana kuwa hivyo kwake kwa ajilibya STATUS YAKE.

Nikupe mfano halisi, akija mtu akakuuliza wewe swali kwamba: "je,unaweza kula mavi??"-- bila shaka jibu lako litakuwa hapana huwezi kula kwasababu akili, hadhi na ufahamu wako unakukataza kufanya jambo hilo, ila wapo watu wanaoweza kula mavi na mtu wa aina hiyo ni lazima akapimwe akili zake.

Ni katika mfano huo ninataka kukuambia kuwa Hadhi, hekima, sifa njema,utukufu nk, wa Mungu ndiyo unaomuongoza katika uumbaji wake, haumbi hovyo hovyo bila malengo au aumbe kitu kitakacho kiuka sifa zake.


Nimefafanua ili ujue concept nzima ya uumbaji, ili uuachane na maswali na majibu ya ndiyo-hapana, (yes-no questions and answers ).


Eti mtu aulize, Mungu anaweza au hawezi??, na jibu liwe anaweza au hawezi, basi!!!, huo ni utoto.🤣🤣
 
Wewe ni hamnazo na kama bado ni mwanafunzi huko shuleni mwalimu wako anayo shida kubwa sana.

Sasa angalia kwa makini hapa;

Mungu sifa yake moja ni ; الله احد (Mungu ni mmoja), hivyo umoja au upweke wake (his oness) hawezi akashirikiana na yeyote pia Yeye ni (الله اكبر) Allahu skbar, yaani Mungu ni mkubwa kabisa,

Sasa hizi sifa mbili za umoja na ukubwa wake (His oneness and greatness)- zinamfanya asiweze kuumba kitu kingine kama yeye au zaidi yake na hawezi kufanya hivyo ili kulinda heshima na hadhi na utukufu wake, hapo sasa ndipo utapata point kwamba hawezi kwa ajili ya kulinda STATUS zake, akifanya hivyo basi huyo anakuwa di Mungu yule mkubwa na mmoja ambacho ni kitu kisichowezekana kuwa hivyo kwake kwa ajilibya STATUS YAKE.

Nikupe mfano halisi, akija mtu akakuuliza wewe swali kwamba: "je,unaweza kula mavi??"-- bila shaka jibu lako litakuwa hapana huwezi kula kwasababu akili, hadhi na ufahamu wako unakukataza kufanya jambo hilo, ila wapo watu wanaoweza kula mavi na mtu wa aina hiyo ni lazima akapimwe akili zake.

Ni katika mfano huo ninataka kukuambia kuwa Hadhi, hekima, sifa njema,utukufu nk, wa Mungu ndiyo unaomuongoza katika uumbaji wake, haumbi hovyo hovyo bila malengo au aumbe kitu kitakacho kiuka sifa zake.


Nimefafanua ili ujue concept nzima ya uumbaji, ili uuachane na maswali na majibu ya ndiyo-hapana, (yes-no questions and answers ).


Eti mtu aulize, Mungu anaweza au hawezi??, na jibu liwe anaweza au hawezi, basi!!!, huo ni utoto.🤣🤣
Kwahiyo unatuthibitishia kuwa kitendo cha Mungu wako kuumba kitu kilichomzidi au sawa na yeye STATUS yake inakuwa imeshuka au imepanda ? nataka kujua unaelewa nini juu ya STATUS
 
Nakujibu kwa swali hili swali lako,kwani kifo ni jambo baya mpaka uulize kupendezwa kwa jambo hilo kwa Mola ?
Kwa mtazamo wamwanadamu kifo ni kibaya sana
Je kwa mtazamo wa Mungu kifo anakichukuliaje
 
Ili nikuonyeshe kwamba uongo wa swali hilo uko wapi,naomba ujibu swali hili "Kwanini unataka aumbe kitu kilicho mzidi ?

Ili iweje ? Je akiumba kitu kilicho mzidi ndio kitaonyesha ukamilifu wake au udhaifu wake wa kuumba kitu kilicho mzidi ?

Kuumba kikicho kuzidi maarifa au uwezo huonyesha ukamilifu au udhaifu ?
Nataka kujua uwezo wa Mungu wako kuumba kitu kilichomzidi anao ? hapa ndio penye lengo kama anaweza kuumba kitu icho kweli Mungu wako atakuwa ashindwi na kitu, ila kinyume chake Mungu wako ni mchekeshaji
 
Kwa mtazamo wamwanadamu kifo ni kibaya sana
Je kwa mtazamo wa Mungu kifo anakichukuliaje
Hapa sio wanadamu wote wana amini ya kuwa kifo ni kitu kibaya,kwahiyo lazima tuwaangalie wote hawa na kujua nani mkweli.

Kwa Mola wetu kifo ni haki yetu ili kufikia lengo la kuumbwa kwetu kwa maana baada ya lengo kubwa basi kufikia kilele lazima tufe. Yaani hii ni hatua katika maumbile kama ilivyo hatua ya ukuaji wa mmea au bindamu mweyewe.
 
Nataka kujua uwezo wa Mungu wako kuumba kitu kilichomzidi anao ? hapa ndio penye lengo kama anaweza kuumba kitu icho kweli Mungu wako atakuwa ashindwi na kitu, ila kinyume chake Mungu wako ni mchekeshaji
Hilo swali nimekujibu zaidi ya mara moja. Sasa ili uone kwamba uongo uko wapi,embu jaribu tu kwanza kujibu hayo maswali niliyo kuuliza.

Twende kwa utaratibu mzuri,maana wewe maswali yako tunakujibu lakini yetu hujibu,embu jibu maswali hayo kisha nitakujibu tena swli lako.
 
Hapa sio wanadamu wote wana amini ya kuwa kifo ni kitu kibaya,kwahiyo lazima tuwaangalie wote hawa na kujua nani mkweli.

Kwa Mola wetu kifo ni haki yetu ili kufikia lengo la kuumbwa kwetu kwa maana baada ya lengo kubwa basi kufikia kilele lazima tufe. Yaani hii ni hatua katika maumbile kama ilivyo hatua ya ukuaji wa mmea au bindamu mweyewe.
Mkuu sijajua Quran inasemaje
Lakini Bible inasema kabla ya uasi kifo hakikuwepo ila baada ya uasi wa Adam ndio uwepo wa kifo ukatokea
 
Hilo swali nimekujibu zaidi ya mara moja. Sasa ili uone kwamba uongo uko wapi,embu jaribu tu kwanza kujibu hayo maswali niliyo kuuliza.

Twende kwa utaratibu mzuri,maana wewe maswali yako tunakujibu lakini yetu hujibu,embu jibu maswali hayo kisha nitakujibu tena swli lako.
Swali gani sijajibu ?
 
Mkuu sijajua Quran inasemaje
Lakini Bible inasema kabla ya uasi kifo hakikuwepo ila baada ya uasi wa Adam ndio uwepo wa kifo ukatokea
Unaweza kuniwekea hapa hilo andiko ?

Kwetu sisi Waislamu tuna amini ya kuwa kifo ni kiumbe pia na mwanadamu ni kiumbe wa mwisho kuumbwa,kwa maana hiyo ni kuwa kifo kilikuwepo hata kabla ya mwanadamu kuwepo bali kilinza kifo ndio ukafata uhai.
 
Back
Top Bottom