Minister of Energy & Mineral Resources, William Mganga Ngeleja SLEEPING in 2011 EITI Meeting

Ipo haja waziri kivuli bungeni naye awe anaenda kwenye conference kama hizi kwa ufadhili wa chama chake, ili atuletee data kamili ( hata kama ni kutuma mwakilishi itasaidia kuwaumbua zaidi hawa viongozi).

hapo umenena mkuu, hawa jamaa sio watu wa kuaminika tena, vichwa vyao haifikirii nchi kabisa!!
 
Hivi hata ingekuwa ni wewe; ukaona umati wa watu pale Mwanza, Kahama na Bukoba. Na hapo bado Mbeya na Arusha. Je ungefanya nini zaidi ya kutafuta kitrip cha kupumzisha akili?
 
Mbona simwoni yule askari jeshi(body guard) wake ambaye huwa muda wote kasimama nyuma yake kama boya? Au huyo askari jeshi (body guard) wake kazuiwa getini?
 
Here it is more than the way I see.
While others are concentrating some are sleeping and the rest is busy reading pamphlets.
 
Sorry, naomba nitoke nje kidogo. Of course hata huyo asiyesinzia naye amelala tu si unaona kabisa anaangalia picha tu. Well, nitaomba kusaidiwa in case hii obsrvation yangu si sahihi.

Kwa haraka haraka simwoni rais mwingine zaidi ya our cheap president. Hivi kwanini hakumwacha huyo anayelala hapo aende peke yake? Hiki kikao si cha marais I'm sure waandaji hawakumtarajia ndio maana unaona wamemrundika hapo maskini. Its high time rais wetu awe na aibu kidogo mbona alishasafiri sana alipokuwa minister hachoki tu? Mbali ya hasara tunayopata lakini pia tunonekana hamnazo sisi wote inakuwaje rais anakuwa na muda mwingi hivi wa kuzurura?

Hii nchi inaoboa sana.

Bobby....Sio kweli kwamba mkwere hakupaswa kuhudhuria hii yeye pia anahusika.....soma hii The 5th EITI Global Conference in Paris is now underway. Heads of states, government leaders, companies and civil society organisations are gathered today and tomorrow at the OECD in Paris to share how EITI has led to improvements in their country and how to shape the future of the EITI.

As an international forum, the Conference is a platform where EITI Board Members, International Secretariat and EITI stakeholders can discuss key issues with each other, the broader international community, while engaging new countries to join the effort in transparency over financial revenue in the extractive sectors. Source ya hii habari ni Paris 2011 | Extractive Industries Transparency Initiative
 
Mbona simwoni yule askari jeshi(body guard) wake ambaye huwa muda wote kasimama nyuma yake kama boya? Au huyo askari jeshi (body guard) wake kazuiwa getini?

hahaha...mkuu wewe ni mkali. Mawazo yako ni mazuri kweli na yana-hit home. mlinzi anaona wazungu hawawezi kumdhuru...hahahaha!!
ndo shida ya mwaafrica hiyo...
 
Ni aibu kwa waziri na mkuu wake wa nchi kufanya vitendo kama hivyo hapo juu...... kweli tunasafari ndefu......
 
Huyu bana hamnazo, ameshindwa kujibu madai ya CDM kaishia kulalamika, na alipo washauri watanzania wasihudhurie maandamano, ndo kawachochea na kuwafumbua macho!
 
Hii ni aibu kubwa sana..
ni kweli Paris kulivyokaa kujirusha ..mhh! inaelekea jamaa alikesha usiku kucha akiruka majoka na totoz za kifaransa
 
attachment.php


Jamani jamani raisi wa nchi anakuwa branded na Name Target ama kweli Kikwete hamnazo. Huo Mkutano angeweza hata wakilishwa na yule Mbunge wa Viti maalumu.
aibu sana aisee!...
 
Huu ni uvamizi wa mikutano isiyokuhusu kwa lugha ya waandishi ni ukanjanja... hii nchi basi yaani hata rais ni kanjanja huenda hapo kajitambulisha kama Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco.
 
Huu ni uvamizi wa mikutano isiyokuhusu kwa lugha ya waandishi ni ukanjanja... hii nchi basi yaani hata rais ni kanjanja huenda hapo kajitambulisha kama Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco.

hahahahahaha!
 
Jamani,

Hiyo ni Kamera tu alikaa upande akachukua wakati mheshimiwa ameinama. Au wakati anapiga kope (eye twinkling). Thread inataka kuleta uchochezi usio na maana. Swala la kujadili ni hili lifuatalo:

Raisi Kikwete akifuatana na Membe (MB) na Ngeleja (MB) walienda Ufaransa kuhudhuria mkutano ulioandaliwa na EITI (Extractive Industries Transparency International) yaani mtandao wa kimataifa unaotetea uwazi kwenye mapato yatokanayo na rasimali chimbwa yaani Madini, vito, gasi na mafuta. Mzee Bomani ndiyo anayosimamia chapter ya Tanzania.

EITI Tanzania kama itasajiliwa kisheria watatakiwa kila mwaka kutangaza (to publish) na kuanisha mapato yote yanayotokana rasilimali chimbwa inayopata nchi. Sasa hivi tuko kwenye mchakato wa Tanzania kuwa mwanachama wa EITI kama tutatimiza masharti ya kuwa wazi kwenye mikataba na mapato.

Mwaka jana bunge lilipitisha sheria ya madini iliyopingwa sana na upande wa upinzani kwa sababu ya vipengele vya usili katika mikataba na sector hii. Lakini kwa sababu wabunge wa chama chetu ni wengi ikapitishwa. sheria inatoa hata adhabu kwa yule atakaye divulge siri zinazohusiana na mikataba hii. Hivyo basi kabla ya JK kwenda Ufaransa alitakiwa kwanza kuyafanyia mambo haya ya msingi kwanza ili watanzania wawe huru kua access mikataba hii na kujua hasa nini kimewekwa humu. Ngoja niwamegee kidogo tu mapato tuliyopata kutokana na rasilimali chimbwa so far:

Aina ya mapato kwa nchi Shilingi za kitanzania Revenue collected on behalf of the government (hizi ni PAYE na NSSF) 66,129,144,000.00 Total Taxes (yaani Corporate tax, withholding tax, SDL (Skill development levy), import duty, fuel levy ni zero yaani hawalipi na sector specific taxes yaani (loyalties - Mrahaba wa aslimia tatu kama matusi vile?, License na permit fees, mineral concessions, kaprofiti wanakopata TPDC, Local government levy - Zile dollar laki mbili wanazolipwa kule Tarime, Geita na Kahama na devidends inayopata serikali kwenye makampuni kwa sasa hivi ni sifuri) 62,293,938,000.00 Jumla kuu 128,423,082,000.00 Asilimia ya mapato kutoka na kodi ya wafanyakazi wa rasilimali chimbwa 51% Mchango wa kodi za makampuni moja kwa moja 49%

*data hizi ni kwa mwaka 2008: nazo zimepatikana kwa taabu kweli
*Kile wanachodai makampuni wamelipa kwa serikali na kile serikali inachokiri kulipwa vinatofautiana. Sijui wamekunywa? Mtajaza wenyewe, sie tunasonga mbele. Naomba kuwasilisha wana JF.
* Yaani kodi ya wafanyakazi wa migodini na kwenye gas eti ndiyo tegemeo kubwa la mapato ya serikari.
Kwenda ufaransa ni aibu tupu, sijui wanafukuzia masurufu ya safari tu hawa!

HEEEEE;;KWELI NA WEWE UMELALA MUHESHIMIWA AMELALA KABISA ,MIKONO KAIUNGANISHA IPATE JOTO,MIGUU KAILEGEZA NA KUIUNGANISHA IPATE JOTO,KICHWA KAINAMISHA SHINGO IMENING'INIA,MACHO AMEFUNGA WEWE UNASEMA AMECHEZESHA KOPE

no no no amelala
 
Kikwete ameenda kufanya nini huko? Mbona anadhalilisha cheo cha rais?

Katiba yetu pamoja na vilaka vyake iko wazi kabisa kwenye hili - Rais anaondoka madarakani kama mojawapo amekidharirisha kiti cha Urais ila mibunge mingi ni chicken hearted!!!!
 
Kwanza walio na jukumu la kumlinda rais sijui wanatuambia nini kuhusu usalama wake katika mazingira kama haya? pili ukiwaangalia rais na waziri usoni wamechoaka mbaya. Ila kwavile rais alishawahi kuwa mwanajeshi kamshinda ngeleja kwa kutumia mbinu za midani asisinzie kama mwezake anazuga kwa kupitia document aliyoshika otherwise wangekuwa wote wamesinzia.
 
Katiba yetu pamoja na vilaka vyake iko wazi kabisa kwenye hili - Rais anaondoka madarakani kama mojawapo amekidharirisha kiti cha Urais ila mibunge mingi ni chicken hearted!!!!

Hebu andika kwa herufi kubwa mamneno mazito haya!
 
Ipo haja waziri kivuli bungeni naye awe anaenda kwenye conference kama hizi kwa ufadhili wa chama chake, ili atuletee data kamili ( hata kama ni kutuma mwakilishi itasaidia kuwaumbua zaidi hawa viongozi).

Kumbe hawa wameenda kwa ufadhili wa ccm nilikuwa najua ni kodi za wananchi wa tz, kama ni hivyo itabidi cdm wajitahidi kuwafadhili mawaziri vivuli wawe wanaenda.
 
Back
Top Bottom