Je, mwananchi unajua maana halisi ya kodi ya mapato?

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Nov 24, 2012
2,977
1,897
Kodi ya mapato au kwa kizungu income tax ni kodi unayolipa katika Faida ya biashara yako.

Je Faida ni ipi kwenye biashara yako?
Faida ni yale mapato ambayo unapata baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji.

Makadirilio ya kodi ya mapato ni nini?
Makadilio ni makisio ya kodi kabla ya Kuanza biashara kwasababu biashara mpya Haina vitabu. Kwahiyo mwisho wa mwaka kama umepata Hasara basi hutalipa chochote kwasababu huna Faida kwa kizungu Zero returns.

Je kwani watu wengi hawalipi kodi?
Wafanyabiashara wengi hawajui kutunza kumbukumbu ya biashara zao hivyo mwisho wa mwaka Hawana ushahidi kuwa biashara alipata Hasara.

Nini kifanyike kwa mfanyabiashara. Mfanyabiashara lazima awape mikataba wafanyakazi, asajiri Magari, matumizi ya mafuta yaani kila matumizi ya biashara yawe wazi ili kurahisisha Mahesabu ya biashara. Baadae Faida watakayopata baada ya kutoa matumizi na mtaji ndio anatakiwa kulipa kodi ya mapato.

Part 2

VAT ni value added Tax kila bidhaa au huduma utalipia 18% ya bei halisi. Mfanyabiashara aliyesajiriwa VAT anakuwa wakala Moja kwa Moja wa TRA kukusanya mapato ya 18% aliyomtoza mteja. Hii kodi mfanyabiashara anamtoza mnunuzi.
Wafanayabiashara wengi hula hii pesa na kuweletea mzigo mkubwa wa madeni. Ni vizuri wafanyabiashara kuweka pembeni kabisa hii kodi. Au weka bank kila siku baada ya mauzo.

Kwanini tunatumia machine ya kutolea listi?
Kufuatilia mawakala wa kodi ya VAT imekuwa ngumu sana kujua mfanyabiashara amekusana kiasi gani kutokana vitabu vya mauzo hutengenezwa holela mtaani.
Serikali ikaja na mpango wa EFD machine ambapo mauzo yote husoma Moja kwa Moja TRA. Kuna mapungufu kwenye hii EFD but tutaongea siku nyingine. Lakini hii ndio dhana nzima ya VAT.

naendelea.........
 
Nenda na kumbukumbu zako TRA halafu uwaambie hamna faida au kidogo na wenyewe wamewekewa malengo.ni taabu
 
Hizi kodi tunazolipa kila siku ndiyo mwisho wa siku utawasikia CHAWA wakisema, Mama amenunua ndege! Mama amemwaga hela za ujenzi wa madarasa nchi nzima!!

Na wakati hela zenyewe zote zimetoka mifukoni mwetu.
Ni kweli lakini kazi ya kodi kwanza ni matumizi ya serikali Bunge na Mahakama. Kinachobakia ndio hujenga barabara na vituo vya Afya.
 
Ni kweli lakini kazi ya kodi kwanza ni matumizi ya serikali Bunge na Mahakama. Kinachobakia ndio hujenga barabara na vituo vya Afya.
Huko juu wana matumizi ya anasa sana kwa kodi zinazotolewa na wananchi

Ova
 
Kodi ya mapato au kwa kizungu income tax ni kodi unayonipa katika Faida ya biashara yako.

Je Faida ni ipi kwenye biashara yako?
Faida ni yale mapato ambayo unapata baada ya kutoa gharama zote za uendeshaji.

Makadirilio ya kodi ya mapato ni nini?
Makadilio ni makisio ya kodi kabla ya Kuanza biashara kwasababu biashara mpya Haina vitabu. Kwahiyo mwisho wa mwaka kama umepata Hasara basi hutalipa chochote kwasababu huna Faida kwa kizungu Zero returns.

Je kwani watu wengi hawalipi kodi?
Wafanyabiashara wengi hawajui kutunza kumbukumbu ya biashara zao hivyo mwisho wa mwaka Hawana ushahidi kuwa biashara alipata Hasara.

Nini kifanyike kwa mfanyabiashara. Mfanyabiashara lazima awape mikataba wafanyakazi, asajiri Magari, matumizi ya mafuta yaani kila matumizi ya biashara yawe wazi ili kurahisisha Mahesabu ya biashara. Baadae Faida watakayopata baada ya kutoa matumizi na mtaji ndio anatakiwa kulipa kodi ya mapato.

naendelea.........
Asante kwa maarifa, hebu tupe na maelezo ya VAT, pia utoe utafauti wake na zinalipwaje kila moja chukukia mfano kwa kiwanda kinacho zalisha bidhaa. Lengo la kukuomba hivyo ili kusaidia uwelewa kwa watu wengi
 
Asante kwa maarifa, hebu tupe na maelezo ya VAT, pia utoe utafauti wake na zinalipwaje kila moja chukukia mfano kwa kiwanda kinacho zalisha bidhaa. Lengo la kukuomba hivyo ili kusaidia uwelewa kwa watu wengi
VAT ni value added Tax kila bidhaa au huduma utalipia 18% ya bei halisi. Mfanyabiashara aliyesajiriwa VAT anakuwa wakala Moja kwa Moja wa TRA kukusanya mapato ya 18% aliyomtoza mteja. Hii kodi mfanyabiashara anamtoza mnunuzi.
Wafanayabiashara wengi hula hii pesa na kuweletea mzigo mkubwa wa madeni. Ni vizuri wafanyabiashara kuweka pembeni kabisa hii kodi. Au weka bank kila siku baada ya mauzo.

Kwanini tunatumia machine ya kutolea listi?
Kufuatilia mawakala wa kodi ya VAT imekuwa ngumu sana kujua mfanyabiashara amekusana kiasi gani kutokana vitabu vya mauzo hutengenezwa holela mtaani.
Serikali ikaja na mpango wa EFD machine ambapo mauzo yote husoma Moja kwa Moja TRA. Kuna mapungufu kwenye hii EFD but tutaongea siku nyingine. Lakini hii ndio dhana nzima ya VAT.
 
Back
Top Bottom