Minister of Energy & Mineral Resources, William Mganga Ngeleja SLEEPING in 2011 EITI Meeting



Mkao huu unaonyesha wazi kabisa ni conference ya kawaida ambayo hata wahudhuriaji wake si mawarais au mawaziri bali executives wa taasisi, na sitoshangaa kuwa they are not even senior executives. Ingekuwa ni marais ingekuwa Summit na mkao wake usingekuwa wa namna hii kama vile watu wanavunja kamati ya harusi.


Nimejaribu kumwangalia Ngereja strait kati ya ngereja na jamaa aliye kushoto kwake kuna mzungu kama vile anamwangalia JK, sijui jamaa anawaza nini, kumwona rais wa nchi kubwa kama TZ eti anahudhuria kikongamano cha junior officers kama hicho. Jk is not even there, hicho kitabu anachosoma ........ni kama hakihusiani na mkutano huo maana hakuna mwingine aliyeshikilia kitabu kama hicho.

Analysis yako imetulia sana! Big UP. Why should the two be there anyway? Kazi tunayo Wa-TZ kuna mambo kibao ya kuaddress hapo home lakini awahusika busy na safari.
 
Mi nampongeza kwa kutokuwa mnafiki, hivi ndivyo alivyo, cha msingi tuanza kujadili, hivi zile PESA za Epa tunajua alitumia kuhonga watu apendwe, nyie mlompenda at that time mlipewa mgao wenu? kama bado andamaneni mpate chenu then ndo mjiunge kundi letu tulomkataa from the beginning!!!
 
Hivi ni sahihi kumvalisha Rais wa nchi name tag? Mbona hakuna Rais mwingine? yaani tumechoma JET-A1 kibao kurusha G55 kwa upuuzi huu?


Haki kabisa, maana hiyo haikuwa Summit. Summit ndiyo huudhuriwa na marais. Swali tunalopaswa kujiuliza ni kwa nini JK alikwenda kwenye kimkutano cha junior executives kama hicho, inakuwaje Rais wa nchi kama TZ ambayo ni kubwa mara nne zaidi ya Uganda and mbili na nusu zaidi ya kenya kuhudhuria mkutano wa ma-Personal Assistants wa makatibu wa mawizara kutoka nchi mbalimbali.

anaidhalilisha taasisi ya Urais. I am sure hata Dr Bilali angeambiwa kwenda kwenye kimkutano hicho asingekubali kwenda.
 
Jk hana tofauti na Judge mmoja aliyehudhuria mkutano wa makarani wa mahakama kule Zurich akajikuja yeye pekee ni judge walimshangaa sana LOL
 
Kikwete ameenda kufanya nini huko? Mbona anadhalilisha cheo cha rais?[/QUOTE

Naona kama kweli hapo alipokaa yeye tu ndiye RAIS, sina uzoefu na protocali za huko majuu, lakini nadhani angekaa karibu na marais wenzake.
 
Minister of Energy & Mineral Resources, William Mganga Ngeleja SLEEPING in 2011 Global Extractive Industries Transparency Initiative (EITI) Meeting Taking Place in Paris, France.
 

Attachments

  • nGELEJA.jpg
    nGELEJA.jpg
    53.6 KB · Views: 173
Kuna mada ambayo JK atapresent kwenye mkutano huu, lakini kama rais angehudhuria siku ile ya presentation yake tu. Naona ameshika kabrasha anajaribu kukariri aliyoandaliwa kupresent.
 
Kweli hatuna rais! Nadhani kabla rais hajaenda kuhudhuria hizo semina zake za nje awe anatupa theme na aina ya wahudhuriaji wa hizi semina. Kwa kweli JK anatudhalilisha!
 
lala baba, maisha yenyewe yako wapi?........umeme haupo na uliopo bei juu,madini yanaibwa,dowans,jimboni kwako,familia,nguvu ya umma vyote vinakupa mawazo so that usiku hulali..LALA BABA UPUMZIKE...................
 
Kuna mada ambayo JK atapresent kwenye mkutano huu, lakini kama rais angehudhuria siku ile ya presentation yake tu. Naona ameshika kabrasha anajaribu kukariri aliyoandaliwa kupresent.

Ni kweli akiwa mtoa mada alipaswa kwenda siku ya mada yake na sio kwenda kukaa na vijana kama hao, ilhali sisi huku tunamheshimu sana kama Mkuu wa Kaya.
 
Back
Top Bottom