Minister of Energy & Mineral Resources, William Mganga Ngeleja SLEEPING in 2011 EITI Meeting

Nilitegemea kuwaona marais wengine wakiwa karibu na Kikwete!!!!
Hapa si angeenda mwakilishi tu<<<<<<<<<<<>>>>>>>>>>>>>>>>
 
Sorry, naomba nitoke nje kidogo. Of course hata huyo asiyesinzia naye amelala tu si unaona kabisa anaangalia picha tu. Well, nitaomba kusaidiwa in case hii obsrvation yangu si sahihi.

Kwa haraka haraka simwoni rais mwingine zaidi ya our cheap president. Hivi kwanini hakumwacha huyo anayelala hapo aende peke yake? Hiki kikao si cha marais I'm sure waandaji hawakumtarajia ndio maana unaona wamemrundika hapo maskini. Its high time rais wetu awe na aibu kidogo mbona alishasafiri sana alipokuwa minister hachoki tu? Mbali ya hasara tunayopata lakini pia tunonekana hamnazo sisi wote inakuwaje rais anakuwa na muda mwingi hivi wa kuzurura?

Hii nchi inaoboa sana.
Kikao kilikuwa cha mawaziri Kikwete kwa kupenda sifa akajikaribisha kuna siku atakuja kukosa kiti asimame kama wale jamaa nyuma.
 
jamani huo mkutano ulifanyika mchana na huku tz ni usiku ndio maana ngeleja alikuwa amelala, muoneeni huruma ajazoea...lo
kweli JK ana ugonjwa wa kusafiri, hao wote hapo ni senior official wa nchi zao na si marais lakini yeye katia timu. kwa nini asingemuacha ngeleja aende mwenyewe.
au labda JK anaogopa mawaziri wake wanalala sana ndio maana na yeye inabidi aende
 
mbona kiti cha mende..ooooopss!!!!!!!!! membe kipo wazi?
nadhan usingizi ulimkamata then akazuga anaenda toi.....


hawasikiliz hata mada zinazotolewa..hata kikwete hapo anazuga hasomi wala nini....anachowaza hapo ''mbona hawamalizi hawa???'''
 
Jamani,

Hiyo ni Kamera tu alikaa upande akachukua wakati mheshimiwa ameinama. Au wakati anapiga kope (eye twinkling). Thread inataka kuleta uchochezi usio na maana. Swala la kujadili ni hili lifuatalo:
Nafikiri akili yako iko obsessed kwa ushabiki mtu anaonekana kabisa amelala wewe unasema anapiga kope duh.

03_11_8cu1nz.jpg
 
JF,
Tuangalie taswira na mazingira ya hiyo conference, si bure mkutano na taasisi hii haina mashiko kwa uchumi wetu wa Tanzania, hasahasa tukiwa hatuna viongozi wazalendo wa kweli wenye mapenzi mema na maendeleo ya sekta ya madini kufaidisha Wa-Tanzania kiuchumi.

Hapo wamejaa madalali wa kimataifa a.k.a Mabenki, Wafanyabiashara wakimataifa, Wenye Migodi wa Kimataifa, Wanasheria wa kimataifa wakiangalia namna gani waendelee kufaidika na maliasili zetu kutokana na sera mbovu za madini zinazomwagwa hapo mkutanoni toka nchi zisizo makini.
 
Hapa inaonyesha Mkwere kakasirika sana,yawezekana ngeleja katoa hewa chafu bila kujitambua.
 
Hapa inaonyesha Mkwere kakasirika sana,yawezekana ngeleja katoa hewa chafu bila kujitambua halafu Jk amejaribu kumshtua bila mafanikio hivyo akaamua kupotezea kwa kuperuzi kajitabu chake.
 


Mkao huu unaonyesha wazi kabisa ni conference ya kawaida ambayo hata wahudhuriaji wake si mawarais au mawaziri bali executives wa taasisi, na sitoshangaa kuwa they are not even senior executives. Ingekuwa ni marais ingekuwa Summit na mkao wake usingekuwa wa namna hii kama vile watu wanavunja kamati ya harusi.

Nimejaribu kumwangalia Ngeleja strait kati ya ngeleja na jamaa aliye kushoto kwake kuna mzungu kama vile anamwangalia JK, sijui jamaa anawaza nini, kumwona rais wa nchi kubwa kama TZ eti anahudhuria kikongamano cha junior officers kama hicho. Jk is not even there, hicho kitabu anachosoma ........ni kama hakihusiani na mkutano huo maana hakuna mwingine aliyeshikilia kitabu kama hicho.

Ngeleja seems to be bored, alichokikuta sicho alichotegemea. Imagine waziri unaambiwa utakutana na maprofessor badala yake unakutana na wahudumu wa ofisi. Ndicho anachowaza poor Ngeleja, wala hajasinzia hapo. anajisikia aibu mno maana inaonekana hakuna hata waziri mwingine yeyote kutoka nchi zingine, ni yeye tu. Poor him


ngereja ndo kapiga mbonji kabisa.. alafu mbayuwayu anazuga na kijarida... i gues kitakuwa cha katuni
 
GreatThinkers,

Hawa ndio viongozi wanaoongoza taifa letu.

Hawa ndio tunaowategemea wajenge uchumi wetu na kuondoa giza totoro

Mbele ya bosi amepiga kamvinyo kidogo amelala fofofo

kiongozi kama huyu akiambiwa apishe wengine, hakubali na bosi wake hasemi lolote

Imetumika kodi yetu kumlipa huyu na kumsafirisha.

Amka Tanzania, Ondoa viongozi vilaza

03_11_8cu1nz.jpg
 
Kama mawaziri ndio wanalala hivi kwenye mikutano kumbe basi ndiyo maana Mkwere anakwenda kuwakilisha mwenyewe. bure kabisa!
 
Yaani hii picha inaeleza vitu vingi sana kuhusu Tanzania. Inaonekana kabisa Rais Kiwete hafatilia kile kinachozungumzwa pale. Fikiria ni yeye peke yake ameshika kabrasha sijui lanini maana Waziri wake Ngeleja hana na wenzake wote hawana. Atakuwa anasoma nini?Hayuko kwenye mkutano huyu. Pengine anaiwaza CHADEMA huku Tanzania jinsi inavyotishia utawala wake!!!!!!
Kikwete hakustahili kwenda kwenye mkutano huu. Kwenda kwake hukoi NI KUKIMBIA MATATIZO YA WATANZANIA ambayo amekiri kuwa YAMEMSHINDA YEYE NA CCM YAKE tangu enzi za mwalimu.

Ngeleja naye kakimbia MATATIZO YA DOWANS NA MGAWO WA UMEME ambayo yamemwandama kila kukicha.Inaonekana kwamba hapa Tanzania hapati kabisa usingizi kwasababu ya mgawo wa umeme na Dowans na NDIYO MAANA KULE KAKIMBILIA ANGALAO akapumzike kidogo NDIYO MAANA AMELALA FOFOFO. HAJUI NINI KINAENDELEA!!!!.

Maskini Tanzania nchi yangu,mbona hatuna Viongozi kabisa. Ee Bwana Yesu utusaidie na utuepushe na huu utawala mbovu wa CCM. Amen.
 
no mater what hat mimi ninamtetea Ngereja hapoa hajalala jamani,labda anatafakali tu giza lililopo huku Bongo,kweli wana tukera ila jamani tuwe realistic hapo Ngereja hajalala

Kama wewe ni mwenda kanisani utajua kabisa kuwa Ngeleja amelala. Jinsi alivyofunga mikono na alivyokunja uso sio kutafakari huko na kama alikuwa anatafakari I am sure angeona mpiga picha na kujiweka sawa, alivyoweka miguu yake na mikono ni exactly watu wanavyolala kanisani wakati wa mahubiri
 

With Minister like Ngeleja no wonder mpaka sasa hivi serikali ya JMT haijui Tsh 50 bilioni zilizolipwa na makampuni ya madini
kama kodi na ushuru FY 2008/09 ziko wapi?

Hii ndiyo nchi ya amani na utulivu, wcha tuendelee kupiga usingizi wa PONO wakati wenzetu wanakimbia.
 
Bobby....Sio kweli kwamba mkwere hakupaswa kuhudhuria hii yeye pia anahusika.....soma hii The 5th EITI Global Conference in Paris is now underway. Heads of states, government leaders, companies and civil society organisations are gathered today and tomorrow at the OECD in Paris to share how EITI has led to improvements in their country and how to shape the future of the EITI.

As an international forum, the Conference is a platform where EITI Board Members, International Secretariat and EITI stakeholders can discuss key issues with each other, the broader international community, while engaging new countries to join the effort in transparency over financial revenue in the extractive sectors. Source ya hii habari ni Paris 2011 | Extractive Industries Transparency Initiative

FP thanks a lot kwa clarification yako. Ninakubaliana na wewe kwenye hayo maelezo yako lakini still sioni tangible sababu ya JK kuhudhuria considering matatizo kibao tuliyonayo kwa sasa. Head of states kwenye meeting hii walikuwa wa3 tu, wa Mozambique, wetu na wa nchi nyingine hatasikuwa naifahamu jina na infact ninashindwa hata kuikumbuka sasa pamoja na memory nzuri niliyonayo. You would be surprised kwamba huenda Museveni, Kibaki, Kagame, Nkurluzinza (spell), Kabila, Bingu Wamutharika, Rupia na wengine walialikwa pia lakini analysis ilifanyika ikaonekana wanaweza kuwakilishwa. so lazima rais ahudhuria kila anapoalikwa, ushumi wetu hauruhusu. Kuna thread nyingine humu in speech ya mkwere please itafute uisome then utaelewa kwanini sioni logic ya rais kwenda kwenye mting hii.

Huyu jamaa anaposafiri, PM, VP na viongozi kibao wakiwapo Dar wanapaswa kumsindikiza na kumpokea akirudi leave alone msafara mkubwa anaokwenda nao. Hii yote ni gharama ya muda na pesa. So kodi zetu zinatumika kumpeleka mtu Paris akalale ameshindwa nini kulala hapa hapa nchini? Jana serikali imeomba kwenye ile misaada watu wanatoa Gongolamboto wainclude vifaa vya shule kwa kuwa haina uwezo wa kununua. Na mishahara siku hizi inachelewa sana mpaka wakusanye kodi za mwezi unaofuata ndio walipe mishahara ya mwezi uliopita. Kifupi government iko hoi kifedha lakini still safari za kipuuzi kama hizi pesa ipo huku ni KUUMWA si bure. Mimi nasema siku zote Kikwete hana matatizo yeyote bali sisi watanzania ndio wenye matatizo makubwa sana sana.
 
Kama mawaziri ndio wanalala hivi kwenye mikutano kumbe basi ndiyo maana Mkwere anakwenda kuwakilisha mwenyewe. bure kabisa!

Shomari sasa hapo anawakilisha nini zaidi ya kuangalia picha kwenye hilo kabrasha? Kwa hao wawili lets be honest hakuna mwenye afadhali. Halafu mm ningekuwa jk kiukweli kabisa ningeikataa hiyo name tag.
 
Jamani,

Hiyo ni Kamera tu alikaa upande akachukua wakati mheshimiwa ameinama. Au wakati anapiga kope (eye twinkling). Thread inataka kuleta uchochezi usio na maana. Swala la kujadili ni hili lifuatalo:

Raisi Kikwete akifuatana na Membe (MB) na Ngeleja (MB) walienda Ufaransa kuhudhuria mkutano ulioandaliwa na EITI (Extractive Industries Transparency International) yaani mtandao wa kimataifa unaotetea uwazi kwenye mapato yatokanayo na rasimali chimbwa yaani Madini, vito, gasi na mafuta. Mzee Bomani ndiyo anayosimamia chapter ya Tanzania.

EITI Tanzania kama itasajiliwa kisheria watatakiwa kila mwaka kutangaza (to publish) na kuanisha mapato yote yanayotokana rasilimali chimbwa inayopata nchi. Sasa hivi tuko kwenye mchakato wa Tanzania kuwa mwanachama wa EITI kama tutatimiza masharti ya kuwa wazi kwenye mikataba na mapato.

Mwaka jana bunge lilipitisha sheria ya madini iliyopingwa sana na upande wa upinzani kwa sababu ya vipengele vya usili katika mikataba na sector hii. Lakini kwa sababu wabunge wa chama chetu ni wengi ikapitishwa. sheria inatoa hata adhabu kwa yule atakaye divulge siri zinazohusiana na mikataba hii. Hivyo basi kabla ya JK kwenda Ufaransa alitakiwa kwanza kuyafanyia mambo haya ya msingi kwanza ili watanzania wawe huru kua access mikataba hii na kujua hasa nini kimewekwa humu. Ngoja niwamegee kidogo tu mapato tuliyopata kutokana na rasilimali chimbwa so far:

Aina ya mapato kwa nchi Shilingi za kitanzania Revenue collected on behalf of the government (hizi ni PAYE na NSSF) 66,129,144,000.00 Total Taxes (yaani Corporate tax, withholding tax, SDL (Skill development levy), import duty, fuel levy ni zero yaani hawalipi na sector specific taxes yaani (loyalties - Mrahaba wa aslimia tatu kama matusi vile?, License na permit fees, mineral concessions, kaprofiti wanakopata TPDC, Local government levy - Zile dollar laki mbili wanazolipwa kule Tarime, Geita na Kahama na devidends inayopata serikali kwenye makampuni kwa sasa hivi ni sifuri) 62,293,938,000.00 Jumla kuu 128,423,082,000.00 Asilimia ya mapato kutoka na kodi ya wafanyakazi wa rasilimali chimbwa 51% Mchango wa kodi za makampuni moja kwa moja 49%

*data hizi ni kwa mwaka 2008: nazo zimepatikana kwa taabu kweli
*Kile wanachodai makampuni wamelipa kwa serikali na kile serikali inachokiri kulipwa vinatofautiana. Sijui wamekunywa? Mtajaza wenyewe, sie tunasonga mbele. Naomba kuwasilisha wana JF.
* Yaani kodi ya wafanyakazi wa migodini na kwenye gas eti ndiyo tegemeo kubwa la mapato ya serikari.
Kwenda ufaransa ni aibu tupu, sijui wanafukuzia masurufu ya safari tu hawa!
Nadhani pamoja na mapungufu ya jk na waziri wake, jambo la kujadili ni hili hapa juu. Kwa muonekano tu tuna hali ngumu
 
Back
Top Bottom