mine is a long story i cant tell maana huyo mshenzi alie ni mwaga he is also a jf member ipo siku ntamtolea uzi atoe macho humu
amekumwaga mmwage hadharan mpwa
wapo watu wanachezea maisha ya watu sana imeika wakati mungu kuingilia kati afadhali nyie uchumbani m nilingia chaka mpaka kwenye ndoa
nikakimbia ndani ya mwezi mmoj
baada ya wiki ya ndoa niliulizwa tuweke vitu mezani tuandke mr n mrs
niliposhauri na kwake akadai hana hata mkeka nkamwambia basi tutawandkia watoto
akanza kutoka jion na gari yangu anarud sa sita !!!naongea kwa uchungu
mbaya anarud amelewa cikuwah kumwona anakunywa 2yrs ya urafiki
alipoaribu siku moja niko airport nasubiri kutoka ananfwata mtu kaka mkeo anasafir hata kumuaga nkamwambia umemfananisha
kufika counter za swiss namwona anapanga begi kwenye scale asbh tumeagana poa kabisa kumbe ana visa ya shengena cku nyingia wapendwa ndoa nh
cikumfwata zaidi aliporudi baada ya wiki 2 nkachapa lapa nahapo ilikuwa mwisho wa maisha yetu akaenda mahakaman kuomba talaka akapewa
leo ninafamilia bora nimeoa tena na watoto wazur
maombi yangu mungu amempa mume mwema waishi kwa aman
ukimwagwa usimwombe mabaya mwombee mema kila jambo linamakusui ya mungu