Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

Niliacha, nikapewa laana nyingi sana na niliyempiga kibuti... ila smtms naona kama zile laana zinanirudia vile, though not sure
 
Niliachwa kwa kuandikiwa barua yenye matusi mengi, akapewa mtu mwenye mdomo mchafu aniletee ikiwa haijawekwe kwenye bahasha, kabla haijafika kwangu jamaa zangu karibu wote wakawa wameshaiona. Mi nilivyopewa huku jamaa akichekea kichinichini nikauchuna tu-baada ya kipindi kama miezi mitatu hivi demu akaachana na jamaa yake nikawa napewa papuchi kama nimesusiwa, ndipo nikaambiwa jamaa ndie aliyeaagiza barua iandikwe na ndiye aliyekuwa anasema nini kiandikwe.Demu kwa kuwa alikuwa anataka ndoa na anajua mimi sikuwa muoaji basi akakubali.
 
mmh.nakumbuka nliachwa kisa rafk yangu.aliniacha kstaarabu tu akanvuta sehemu akanambia B cute naomba tuishie hapa kwa mahusiano yetu.nlkubal coz hata hakunidnya na kpnd hcho hata ckuwa na smu.so skuumia.bt nkaambiwa anadate na rafk yangu,hata skuwachukia coz huyo rafk yangu namjua.wakadinyana mara kbao wakafumwa na watu.lakn mwanzon mwa 2010 to12 akawa ananiomba msamha nlmkubali.nkamzoesha kumjal kwa sana,smu na sms kla dakka yaan full malovee wthn 2 weeks akanogewa.ilkuwa sku ya promise tudnyane kwa mara ya kwanza,nlkwenda as i promise him bt alvoanza kupandsha mzuka nkamwambia F handsome boy listen to me very careful,mapenz yetu leo yamefka mwsho...i get no feelings upon u.tuktoka hapa aint ur girl...alilia sana saana lakn mtoto wa kke nliamua.yote hii kumpa funzo unaposhkwa,jshklie...
 
Nilifanya uchunguzi wangu nikajua amempa mwanamke mwingine mimba,
Nilipo muuliza alikataa,mwishowe akaja kunifahamisha kuwa he's getting married and he's so sorry about everything!
Jamani...smh!!!
Ukija kupenda tena unakuwa na mapenzi ya kuvizia.. No wonder ndoa hazidumu siku hizi, kuoa mtu alopitia kashkash hivi, mapenzi yake hayawi pure!!
 
mmh.nakumbuka nliachwa kisa rafk yangu.aliniacha kstaarabu tu akanvuta sehemu akanambia B cute naomba tuishie hapa kwa mahusiano yetu.nlkubal coz hata hakunidnya na kpnd hcho hata ckuwa na smu.so skuumia.bt nkaambiwa anadate na rafk yangu,hata skuwachukia coz huyo rafk yangu namjua.wakadinyana mara kbao wakafumwa na watu.lakn mwanzon mwa 2010 to12 akawa ananiomba msamha nlmkubali.nkamzoesha kumjal kwa sana,smu na sms kla dakka yaan full malovee wthn 2 weeks akanogewa.ilkuwa sku ya promise tudnyane kwa mara ya kwanza,nlkwenda as i promise him bt alvoanza kupandsha mzuka nkamwambia F handsome boy listen to me very careful,mapenz yetu leo yamefka mwsho...i get no feelings upon u.tuktoka hapa aint ur girl...alilia sana saana lakn mtoto wa kke nliamua.yote hii kumpa funzo unaposhkwa,jshklie...

Lakini alimega, ama?
 
Bahati mbaya sijawahi kuachwa!! Mara zote me huwa ndo ninaacha!! Sure am telling you!! So i don't have any experience!!
 
Jamani...smh!!!
Ukija kupenda tena unakuwa na mapenzi ya kuvizia.. No wonder ndoa hazidumu siku hizi, kuoa mtu alopitia kashkash hivi, mapenzi yake hayawi pure!!

Ukipata mwingine akakupenda, akakujali, akakupa amani na furaha, kidogo kidogo baada ya muda unaamini na kupenda upya.
Ndio inavyokuwa.
Sharti awe mvumilivu tu.
 
Ukipata mwingine akakupenda, akakujali, akakupa amani na furahi, kidogo kidogo baada ya muda unaamini na kupenda upya.
Ndio inavyokuwa.
Sharti awe mvumilivu tu.

Si mpaka awepo huyo wa kupenda kiasi hicho!!!!!
Mapenzi na upendo wa dhati umeingiwa na virusi!!!!
 
wana - JF, ktk haya mahusiano ya Kimapenzi, ktk kuachwa na wapenzi, nyie mliachwa kwa style gani? Mimi ktk mahusiano kadhaa niliachika hivi:


Kuna mmoja tulipendana sana, yaani sana, huyu nilisoma nae A- level, na kikubwa nilichomvutia ni upstairs, nilikuwa nakimbiza sana ktk combination yng ambayo na yeye, alikuwa anasoma! Tulikuwa boarding school, pamoja na mapenzi ya dhati ambayo nilipendwa na huyu kiumbe, F 5 na 6 sikuwahi kupewa papuchi.


Alikuwa na kauli yake "kuwa na subira J, katika siku ya ajabu, nitakupa vitu vya ajabu" Nilikuja kuachwa siku ya kwanza ya Orientation ya 1st yr kisa nilihoji kwa nini anaambatana na mkaka 1 na kila nikiwakuta wanaongea ki-external (kilugha) Niliambiwa mwanzo na mwisho wako leo kunifuatilia!


Huyu alikuwa wa kitaani Moro, nikiwa chuo DSM, alikuwa akija kuniletea papuchi! aalinipigia simu nirudi moro, kuna shida ya dharula, nikafikia hotel badala ya home. Alikuja kunipa penzi chupu chupu niwehuke! Kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 9, kila nikilala, naamshwa! mpk nikamuuliza ******** una nini leo? mbona si kawaida yako? Asubuhi akaniogesha kwa mara ya kwanza, tusharudisha chumba tunatembea, akanambia "leo home inasomwa barua yangu ya posa" nilikuwa natafuta namna ya kukuaga! Mimi hoi!


Mwenzangu mwana-JF, naomba kupata mbinu zilizotumika wakati unaachwa kwa namna 1 ama nyingine! Kama vp pita kimya kimya!
Mi niliambiwa we wakusoma utanipa nini kuja gundua amepata kibopa muuza samaki outing za dar nairobi. kwangu kipindi hicho hata buku shida
 
Nilifanya uchunguzi wangu nikajua amempa mwanamke mwingine mimba,
Nilipo muuliza alikataa,mwishowe akaja kunifahamisha kuwa he's getting married and he's so sorry about everything!

dahhh I can imagine vile ulijisika
 
Back
Top Bottom