Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

Mimi niliachwa hivi wewe uliachwa vipi?

Kwa akili yako ulitaka nikujibu vipi? Mbeya ni yupi kati ya aliyesoma akahisi inamuhusu na kujifanya anajua kiasi cha kutolea maelezo au aliyeandika kile anachokifahamu?

mbona unamaneno ya kimbea sana kwani wewe ni mliberali?
 
mmh.nilikaa nae for mor than two years na ndie alientoa bkra but alpo malza fom six akawa anadate na mdada mwngne.nlgundua baada ya kuona sms zake baada ya kuzma smu for two days alzokuwa nam.thou nliziona sms bt still.alikataa na kunivunjia.line yangu baada ya kujua nmeichukua ile namba.nlmwacha nkachange.namba bt.sjui aliipata wap miez kumi ilyopta amekuwa aknsumbua sana mpaka nlpochange tena namba.nliumia coz alkuwa first boy to hav sex with.namchukia kulko shetani.
 
mine is a long story i cant tell maana huyo mshenzi alie ni mwaga he is also a jf member ipo siku ntamtolea uzi atoe macho humu

lolz... Sista fanya hima...!!!
Kumbe jf nasi tunayaanzisha humu humu...teh!!!
 
Nili proove ana bwana mwngne nikamvumilia kwa miaka kadhaa skendo zake zkazidi. Nlichofanya nikaaga washkaji naenda kwa manz mwngne nlievutiwa nae wadau wakamtonya demu aje kufumania. Ile kuja ananiita nafika maskani anauliza ulikuwa wap nkamuambia kwa mwenzio soo mm na ww itakuwa mwsho koz nmekuchoka. Alijuta kuja.
 
Kuachwa kwingine mtu anakuwa kimya tuu Hata Humuelewi. Uko Kama unasubiri Meli airpot. Akikuona Hata unasalimiwa anahoji who's that while hasomeki. Bora kuvunja ukimya Hata Kama chungu kumeza!!
 
Kuachwa kwingine mtu anakuwa kimya tuu Hata Humuelewi. Uko Kama unasubiri Meli airpot. Akikuona Hata unasalimiwa anahoji who's that while hasomeki. Bora kuvunja ukimya Hata Kama chungu kumeza!!

tabia yangu hiyo huwa nawaacha kwenye mataa simpigi,no text n.k
 
mmh.nakumbuka nliachwa kisa rafk yangu.aliniacha kstaarabu tu akanvuta sehemu akanambia B cute naomba tuishie hapa kwa mahusiano yetu.nlkubal coz hata hakunidnya na kpnd hcho hata ckuwa na smu.so skuumia.bt nkaambiwa anadate na rafk yangu,hata skuwachukia coz huyo rafk yangu namjua.wakadinyana mara kbao wakafumwa na watu.lakn mwanzon mwa 2010 to12 akawa ananiomba msamha nlmkubali.nkamzoesha kumjal kwa sana,smu na sms kla dakka yaan full malovee wthn 2 weeks akanogewa.ilkuwa sku ya promise tudnyane kwa mara ya kwanza,nlkwenda as i promise him bt alvoanza kupandsha mzuka nkamwambia F handsome boy listen to me very careful,mapenz yetu leo yamefka mwsho...i get no feelings upon u.tuktoka hapa aint ur girl...alilia sana saana lakn mtoto wa kke nliamua.yote hii kumpa funzo unaposhkwa,jshklie...

Ha haaaa we kibokooo safi sana yakomeeee
 
Nakumbuka nilikuwa nasubir majib ya kwenda form five, jamaa alinpenda sana kila wkt tupo pamja mpk job haend ful malovee, bas gafla nkajkuta nina ujauzto, ile kumwambia tu aliwaka hatari, akanitimua akanambia ye ana mke wake anampenda sna, nilihangaika na mimb coz matokeo yalikuwa yametoka nimefaulu ikabd nitoe mimb bila dady kujua, cku nakutana nae stand anashangaa kuona cna mimba af mtoto nimewaka ile mbaya.
c akaanza mara ooh wew ndo mke wangu!! nilimtimua hakuamin. sasa kilchompata, hawez kuzaa tena, na juz tu amezika mwanae kumbe mtot alizaliwa na HIV. so yule mwanaume na mkew wote ni HIV postv, ananiomb msamaha anahc kma nimempa laana coz nlímpenda sna mpk akajua, leo hii anajutia, me mungu kanpa watoto mapacha tena jinsia zote, ye kafukuzwa kaz, ana HIV, hana mtoto tena. Me cmcheki ila namuombea kwa mungu coz kila k2 hutokea kwa sababu. Dunia haina huruma jamani!!!!!
 
dah! sijawahi kuacha wala kuachwa in my life. but sijisifu kwamba mi kidume, kihivyo hapana japo ni kweli mabinti walikuwa wananiona hechibii sana hivyo ilikuwa flagi kuniwini na kuniacha walikuwa hawaamui basi mi nkawa nakuwa mpole tu. ishu iliyokuwa inatokea tulioachana ni kama lifetime experience tu. yani unakula, inatokea unahama mkoa wewe na yeye basi na hakuna simu kipindi hicho.unapotua mkoa mpya unakamua unayekutana nae na ukihama ndo forever hiyo. gosh
 
kuachwa aisee ni ishu jaman nyie watu loo! bt any way yangu mim macho naendelea kusoma ya wenzangu
 
Back
Top Bottom